Watanzania wategemee nini kwenye 'PH' ya Liyumba?
Happiness Katabazi
SEPTEMBA 25 mwaka huu, Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar es Salaam, imepanga kusikiliza maelezo ya awali...
Kuna mwanamke mmoja mujiriwa mahali fulani bosi wake amekuwa akimtaka kinguvu. Bibie baada ya kuchoshwa na kero hizo akamshitaki kwa kitengo husika, human capital, uchunguzi ukafanyika na...
Kilimanjaro Association for Tour Operators KIATO website is hacked by TURKISH HACKER and it is a great BEWARE to webmasters. I do not know how they wil get hold of their domain. Anyhow!
TABIA ya Wafuasi wa Vyama vya siasa Kisiwani Pemba kufanyiana vitendo vya hujuma bado inaendelea ambapo sasa imehamia katika kuhujumu mifugo.
Katika matukio mawili yaliyotokea juzi na jana katika...
2009-09-19 09:17:00
Tanesco boss' exit set as job is advertised
THE CITIZEN
Tanesco managing director Dr Idris RashidiThe board had an option to extend Dr Rashidi�s contract by two years...
Jacksonville, Florida, USA, A Kenyan man man faces two sexual battery charges following his arrest in a local nursing home. According to the Jacksonville Sheriff's Office, it happened just after...
Date::9/19/2009Mafisadi wakomba zaidi ya shilingi trilioni moja serikaliniNI FEDHA ZA BAJETI YA WIZARA SITA
Na Mwandishi Wetu
Mwananchi
ZAIDI ya Sh1 trilioni zimechotwa nyakati tofauti...
I have just received this e mail from someone. Thought that I should post it here. Is there anyone with a similar story or experience?
Friends,
Please be careful when going to Dar-es-salaam...
Wadau! Hili limekuwa tatizo kubwa, maana utakuta kila siku waumini wanaambiwa wasije na simu zao makanisani lakini ndy kwanza hawasikii... Simu nyengine milio ni mikubwa n mbaya zaidi utakuta ni...
Last updated at 6:51 PM on 19th September 2009
Enlarge Romell Broom: Veins hard to find
A second attempt to execute a murderer and rapist by lethal injection has been temporarily halted by...
Last updated at 6:51 PM on 19th September 2009
Enlarge Romell Broom: Veins hard to find
A second attempt to execute a murderer and rapist by lethal injection has been temporarily halted by...
jamani naona kama wasichana wengi siku hizi
wanajihusisha na ulesbian so nauliza
hiii ni fasheni imeingia au kuna tatizo kubwa nyuma yake?
je wote wanaojihusisha na tabia hizo za kusagana ni kweli...
Sasa ni saa 2 usiku , mabasi ya mikoani na nchi jirani ndio yanaingia kwa wiki sana , nipo eneo la mbezi , hapa mbezi wahamiaji wengi huwa wanapenda kushukia huko kwa sababu ya fujo kwenye standi...
Habari za uhakika toka kwa raia wa India, aliyepata mkataba wa Kufundisha Sociology UDOM, zinasema kuwa raia wa India wapatao 50, wamepata mkataba wa kufundisha katika Chuo kikuu cha Dodoma...
Date::9/17/2009Mtoto wa Nyerere ashauri Kikwete aache kutoa muda wa mafisadi kupumuaNa Ramadhan Semtawa
Mwananchi
MADARAKA Nyerere, mtoto wa kiume wa Baba wa Taifa, Hayati Julius...
jamani wanajamii, jana na leo nilifanya ziara binafsi katika bandari ya dsm, na haswaa kujua kulikoni baada ya kuwasikia wakongo wanaopitisha mizigom yao hasa magari wakilalamika khusu wizi wa...
MBUNGE wa Ruangwa mkoani Lindi,Sigfrid Ng`itu, jana usiku alihamishiwa katika wodi ya wagonjwa mahututi(ICU) katika hospitali ya Taifa Muhimbili,kwa kuwa hali yake ilizidi kuwa mbaya.
Mbunge...
Nachukua nafasi hii kuwatakia Waisilamu wote na Wana-JF kwa ujumla sikuu njema ya Eid el Fitr.
Sikukuu inategemewa kuwa Jumapili ijayo, tutumie muda huu kushrehekea pamoja na familia zetu na pia...
Jana kwenye Taarifa ya habari ya Runinga ya Channel Ten RC wa Tanga aliwachimba mkwara Watendaji wa Vijiji katika Wilaya ya Handeni kuwa kama hawatasimamia vizuri mazao yanayovunwa sasa na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.