Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
Mkutano wa kujadili matatizo ya umeme napenda kukujulisha kwamba kutakuwa na mkutano wa kujadili matatizo ya umeme katika mji wa arusha siku ya jumapili tarehe 23 mwezi wa 8 mahali ni aicc...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
mh!i ain't get ya! clarify ple
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kabla ya kuwa na kompyuta, nilikuwa nasikiliza redio kuhusu muandamo wa Mwezi. Mara nyingi nilikuwa nazipata habari za mwezi kwenye saa 8 za usiku. Kwa hiyo yoyote atakaepata habari za kuandama...
0 Reactions
5 Replies
4K Views
Ninasikitika kuwataarifu Mhashamu Askofu Athony Mayalla wa jimbo la Mwanza amefariki dunia katika Hospital ya Bugando.....! Habari zaidi zitafuata.
0 Reactions
90 Replies
24K Views
Hakika zimesalia siku chache sana kabla waumin wa Kiislamu hawajaanza kufunga mwezi katika mwezi mtukufu wa ramadhwani. kama ilivyobainisha katika Qur'An ((Enyi mlioamini! Mmefaradhishiwa...
0 Reactions
27 Replies
9K Views
Na Suleiman Abeid, Shinyanga HALMASHAURI ya Manispaa ya Shinyanga imekumbwa na kashfa ya ufisadi baada ya kudaiwa kutoa mkopo wa sh. milioni saba benki kwa kughushi nyaraka na kumlipa mshahara...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Tunaangaika kuwapatieni maisha bora kwa kila mtu!!!! Hatulali kwa ajili yenu na ndo maana hata kwenye vikao vya NEC na EE tulitaka kuchapana makonde.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
MAAMUZI yaliyopitishwa wiki hii na Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika kuwadhibiti wanachama, hususani Wabunge wake ambao wamekuwa msitari wa mbele katika kukipaka...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Kule Dodoma leo walimu wa shule za msingi wamegoma na hivi sasa wapo viwanja vya Nyerere Square wakitoa malalamiko yao kwa afisa elimu mkoa juu ya kauli ya kifedhuli ya Mwantumu,yaani shule leo...
0 Reactions
23 Replies
3K Views
Kama WaPemba wangenyamaza kimya kauli hii isingewahi kusikika miongoni mwa WaTanzania wenye dhamana ,haya ni maendeleo ambayo ni ya kuigwa katika kuilinda haki,tusikubali kuonewa wala kunyanyaswa...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Askari mmoja huko mbagala alimpiga mwenzake risasi ya sehemu za nyuma huku ikimuumiza na yeye mkononi. sasa tuseme huyo askari hakufundishwa jinsi ya kutumia hii silaha au ndio mara yake ya...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wana JF mpigieni kura Illuminata Wize, Mtoto wa Kisuma anayetuwakilisha TZ na pia East Africa kwenye mashindano ya miss world 2009 Kong'oli hapa: http://www.missuniverse.com/members/contestants...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Polisi kwa sasa wameweka uzito mkubwa wa kusimamia foleni na magari barabarani (Nawapongeza kwa jitahada zao) nadhani Bw Mwema kama sikosei idadi ya askari barabarani itakuwa imeongezeka maradufu...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
A husband is allowed to starve his wife if she refuses to have sex with him under a new law passed in Afghanistan. A woman must also have her husband's permission to work. The bill applies to...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Nimeshangazwa sana na kiasi kikubwa cha rushwa visiwani hapa.... mimi ni mtumishi wa kutoka private sector...nipo huku kwa kazi maalumu ya siku 14....nimepewe gari T XXX YYY,basi polisi...
0 Reactions
27 Replies
4K Views
Darfur Peacekeepers Probe Crimes Against Women African-UN Mission Sets Up Unit to Investigate Gender-Based Crimes 18 August 2009 The police component of the joint African Union-United Nations...
0 Reactions
0 Replies
869 Views
My lecturer of philosophy used to tell plagiarists that what they were doing was intellectual masturbation. From that, I have coined this definition: any conscious abuse of intellect or...
0 Reactions
6 Replies
14K Views
Natumaini kuwa kila mmoja wenu ni mzima kwa mapenzi yake mola. Tunamshukuru kwa hilo. Leo naomba niwashirikishe mada moja muhimu ambayo ni sisi tu wadau na wenye uchungu na nchi hii tunaweza...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Jameni hodi mie nimekuja kutoka kijijini,Nikasoma huyu kazeti wenu nikafurahi,Sasa nikamuuliza huyu dada kasema nijirejisite ili nipewe ukaribiso,Nimefurahi kweli kweli kama...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
I don't know if this is on point for everyone, but it is for me (PISCES). Anyway enjoy! Read what it says about your sign. VIRGO (The One that Waits) Dominant in relationships. Someone...
1 Reactions
0 Replies
4K Views
Back
Top Bottom