Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
“Watu wanaenda Krismasi na nyie wote mlioko hapa mnaenda Krismasi, wapo wa Moshi, wapo wa Arusha, wapo wa Mbeya, wapo wa Iringa na wengine Songea nyumbani kwetu, ulaji utakuwa wa kupitiliza, ulaji...
8 Reactions
45 Replies
2K Views
Katika Uislamu, kuzaliwa kwa Nabii Issa (Yesu, AS) kunahusiana na muujiza mkubwa wa Mwenyezi Mungu. Qur'an inamwelezea Nabii Issa kuwa ni miongoni mwa Manabii watukufu waliotumwa kwa Wana wa...
3 Reactions
41 Replies
968 Views
𝗠𝗳𝗮𝗵𝗮𝗺𝘂 𝗺𝘂𝘂𝗮𝗷𝗶 𝗮𝗹𝗶𝘆𝗲𝗽𝗲𝗻𝗱𝘄𝗮 𝗻𝗮 𝘄𝗮𝗺𝗮𝗿𝗲𝗸𝗮𝗻𝗶 Dunia na maajabu yake kutana na jamaa mmoja anaitwa Luigi Mangione muuaji aliyetokea kupendwa na wamarekani wengi haswa watu wenye hali ya chini baada...
1 Reactions
3 Replies
222 Views
Eti leo bank zipo wazi katika huduma ya western union, naweza nikaipata!?.
0 Reactions
2 Replies
131 Views
Anonymous (a850)
Kwa takribani miezi mitano, Mzabuni aliyechukua tenda ya Ukusanyaji taka katika Mitaa ya Chanika ya Gogo, Bondeni na Polisi wameshindwa jukumu hilo, hakuna taarifa rasmi au maelezo kutoka Serikali...
0 Reactions
0 Replies
206 Views
Wakuu baada kupambana hapa Tabora na kutokuona mwelekeo wowote maisha nimeamua niende Zanzibar. Sasa nimekuja hapa mnipe muongozo jinsi ya kuingia Zanzibar nataka niende huko nikatafute KAZI ZA...
9 Reactions
49 Replies
1K Views
Sikukuu hii imekuwepo kabla ya kuhusishwa na Ukristo. Inasemekana ili ukristo ujivunie waumini ilibidi waiingize kwenye dini na kuihusisha na Yesu. Matokeo yake wazungu wengi wasio na dini...
1 Reactions
3 Replies
180 Views
Napenda kutoa ushauri Kwa taasisi za umma panapokuwa na changamoto au marekebisho ya kimfumo iwe inatolewa taarifa kuwa kuanzia saa Fulani Hadi Fulani kutakuwa na jambo Fulani kwahiyo hamtakuwa...
0 Reactions
1 Replies
78 Views
Habarini za weekend wakuu, leo nimepitia nyuzi mbalimbali zinazohusu forever living products, nikaamua na Mimi niweze kushare kitu kuhusu hii kampuni. Kwanza nakiri kuwa niliwahi kujiunga na...
11 Reactions
61 Replies
6K Views
Kwanza nawasalimu kwa jina la Chama Pendwa CCM.... Yaani penda usipende CCM imebeba matumaini yako kama mtanzania. Tukirudi kwenye lengo la uzi ni kwamba nimeshangazwa sana na watu...
21 Reactions
118 Replies
14K Views
Habari Wandugu! Leo kero yangu ipo kwa wasafirishaji wa abiria Mikoani haswa masafa marefu ya kuanzia masaa sita na kuendelea. Ni kawaida kwa wasafirishaji wa mabasi kutokuwa na vyoo ndani ya...
3 Reactions
5 Replies
331 Views
Aslaam, Kuna wakati kama binadamu unatakiwa ujitafakari. Mim binafsi nimejitafakari na kugundua nimechelewa saana katika maisha. Na Moja yakitu kilichonichelewesha ni hofu. Asikuambie mtu hii...
22 Reactions
57 Replies
1K Views
Moto ambao mpaka sasa chanzo chake hakijajulikana umezuka na kuteketeza Mabanda ya Muuza Mihogo maarufu katika fukwe za Coco Jijini Dar es Salaaam aitwaye Asley Mihogo.a Jeshi la zimamoto na...
7 Reactions
22 Replies
1K Views
Heri ya Xmas Niende kwenye mada kwa Tanzania asaiv huenda bwana DUDU BAYA akawa ndio MSHAURI mashuhuri wa NCHI hii ni baada ya kuona ikitokea sintofahamu yoyote nchini...
1 Reactions
5 Replies
359 Views
Huyu mama amekaa TZ kwa miaka kama 12. Anadai watu wote wa Afrika Magharibi hasa Nigeria na Ghana ni machachari ( agressive) sio wapole wapole kwenye mambo ya msingi ya maisha. Nilimbishia ila...
11 Reactions
49 Replies
2K Views
📖Mhadhara (68)✍️ Katika mizunguko yangu ya leo tarehe 27/11/2024, majira ya saa 14:20 nilifika kwenye duka la nguo la dada mmoja mwenye umri kati ya miaka 30 - 40. Wakati nachagua nguo dada huyo...
6 Reactions
4 Replies
463 Views
Wasalaam wakuu! Kwanza kabisa Nakubaliana na ushauri wote wakitabibu kuhusu aina sahihi ya chakula na namna nzuri ya ulaji kutoka kwa Daktari bingwa na mkuu wa kitengo cha magonjwa ya moyo...
30 Reactions
103 Replies
5K Views
Hili vibe la uchagani na upareni this time sio poa wanangu Yaani toka nimefika huku ni mwendo wa kulewa tu Watu tunalewa hadi miguu inakosa nguvu magari tunasaidiwa kuyadrive oya sio poa Uchawi...
5 Reactions
4 Replies
306 Views
Bila kuanza kutoa huwezi kupokea, hii ni Kanuni ya asili ya ulimwengu aliyoweka muumbaji, hata walimu wa theolojia wanatufundisha kwamba upendo wa Mungu upo maximum and constant haupungi Wala...
0 Reactions
1 Replies
106 Views
1.kuosha vyombo 2.kudeki ndani 3.kutandika kitanda 4.kupika 5.kuogesha mtoto 6.kumfulia mkeo/mpenzi wako nguo NB. Haya yote usifanye isipokua kama mkeo/mupenzi anaumwa serious
9 Reactions
26 Replies
814 Views
Back
Top Bottom