Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
Zingatio 1: Simo katika kabila lolote kwenye hii orodha, sina mgongano wa kimaslahi wa kunifanya kupendelea ama kuchukia makabila niliyotaja. zingatio 2: kuwa ndani ya haya makabila haimaanishi...
20 Reactions
238 Replies
27K Views
Habari za mida hii wakuu Nimekaa najiuliza hapa, kwanini viongozi wamataifa ya nje kama vile ulaya, Asia n.k hawana titles kama zetu Huwezi kukuta Mtu maarufu kama vile Dr. Obama, Dr. Trump, Dr...
20 Reactions
126 Replies
6K Views
Makabila ya Kiuchumi au ya kitajiri Kwa Mujibu wa Mtaka Wachaga Wakinga Wapemba Waha Wanyantuzu/Wasukuma My Take Kama kabila lako halipo kwenye List jihesabu wewe ni Maskini tu. --- MAKABILA 5...
19 Reactions
171 Replies
19K Views
Kwanza poleni na changamoto za kutafuta riziki, Husika na Kichwa hapo juu ninatarajia kwenda kutafuta maisha mkoa wa kagera wilaya ya karagwe tafadhali wale wenyeji ama waliowai kuishi hayo maeneo...
0 Reactions
58 Replies
12K Views
Mimi kazi zangu zinahusisha biashara chuma, bati n.k kwa ufupi vitu vinavyoendana na material hayo, ujumbe wangu huu uwafikie wahusika wa Shirika la Viwango Tanzania (TBS) na Wakala wa Vipimo...
5 Reactions
12 Replies
914 Views
Habari wana JF, Kuna mambo kadhaa natamani kuyajua sababu nimehamishiwa huko kikazi. -Nauli ya basi kutoka Dar mpaka Kagera ni sh ngapi? - Je kuna usafiri wa anga na kutoka Dar inaweza kuwa sh...
2 Reactions
71 Replies
18K Views
Kulingana na RIPOTI KUTOKA OFFICE OF HIGH COMMISSIONER FOR HUMAN RIGHTS (OHCHR)ambayo ni ofisi ya Umoja wa Mataifa inayohusika na kukuza na kulinda haki za binadamu duniani ikiwa inasimamia...
6 Reactions
157 Replies
4K Views
Hii ajali imetupa majonzi makubwa Ajali hii imetupa funzo kuanzia kwenye chanzo, Kwa maana ujenzi na mamlaka zake Uwajibikaji, hapa nazungumzia vibali vya kujenga majengo marefu, Ya nazingatia...
2 Reactions
0 Replies
138 Views
Watu wasiojulikana wametekeleza tukio la mauaji kwa kumuua Isack Mallya (72) mkazi wa Kijiji cha Umbwe Onana, Kata ya Kibosho Magharibi mkoani Kilimanjaro na kisha kutelekeza mwili wake nje ya...
3 Reactions
26 Replies
2K Views
Wasalaam. Kifo ni ahadi ya wote. Mhubiri 7:2. Aheri kuiendea nyumba ya matanga,kuliko kuiendea nyumba ya karamu. Kwa maana huo ndio mwisho wa binadamu wote, naye aliyehai atautia moyoni mwake...
1 Reactions
0 Replies
226 Views
Sina hakika kama tunaweza kugombea tena hii nafasi ya WHO aliyopata mpendwa wetu marehemu Dr. Ndugulile na kama tunatuhusiwa kugombea tena kuna huyu Dr Peter kisenge wa pale Jakaya Kikwete...
3 Reactions
13 Replies
508 Views
Ulevi ni janga na Changamoto inayokabili watu wengi sana.Ulevi huwa unaathiri familia na maisha ya watu. Katika kukabiliana na Changamoto hii ninakusudia kuanzisha Jumuia za Walevi wanaotaka...
1 Reactions
6 Replies
492 Views
Mwanzo kabisa, nikusalimieni, hope nyote ni wazima na wagonjwa mungu akuzidishieni wepesi katika afya zenu ili muendelee na majukumu yenu ya kila siku Pasi na kupoteza muda, niende kwenye lengo...
1 Reactions
16 Replies
531 Views
Huwa najiuliza kipindi kile tunahoji utitiri wa tozo na makato kwenye mitandao ya simu inavosababisha maisha magumu Kwa Watanganyika Mwigulu alitujibu tuhamie Burundi Hii kidplomasia ipoje...
2 Reactions
3 Replies
350 Views
Tanesco Tanesco Tanesco Nimewaita mara tatu kuomyesha Msisitizo. Hii wilaya ya Nachigwea mkoa wa Lindi kwanini mnakata umeme mara nyingi kiasi hiki na Bila Taarifa kamili. Mfano leo mshakata...
0 Reactions
0 Replies
131 Views
Mkuu wa wilaya ya Karagwe Kalanga Lisser,amedhibitisha kutokea ajali ,katika eneo la Kiyanga wilayani humo. Dc Kalanga,ameongea na kasibante radio Bukoba,ambapo amesema kuwa kwa sasa hawezi...
5 Reactions
25 Replies
3K Views
Wana Jamvi nimeskia kwamba kule Tabora, Watu watatu wameuawa na kisha kuchomwa moto na wananchi wenye hasira kali wakituhumiwa kumuua Sagali masanja kwa kumkatakata na panga kisha kumkata titi la...
7 Reactions
29 Replies
1K Views
Nipo nacheki hapa msiba wa Ndugulile, kuacha watoto wawili tu, pamoja alikuwa ana uwezo wa kipesa na cheo lakini kaishia kwenye watoto wawili, watoto wawili hawa naona kawakuza na kuwasomesha...
53 Reactions
315 Replies
10K Views
Umaskini unachosa sana, umaskini unadhalilisha sana, umaskini ni wa kuichukia na kuikimbia, umaskini haufai hata kidogo, kwenye maisha kuna walio bahatika kushika pesa chini ya miaka 30, lakini...
5 Reactions
3 Replies
281 Views
Hii ndo maana halisi ya neno yas sio hiyo mnayo sambaza na kupromo uchoko!
4 Reactions
21 Replies
4K Views
Back
Top Bottom