Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
Kuna usemi unasema mtegemea cha ndugue hufa masikini, hiki ninachosema siyo utegemezi, ni kujiwekea mizizi ya baadaye, nina mifano dhabiti ya wachaga, na wahaya kadhaa wamekuwa wakisaidiana ndugu...
2 Reactions
25 Replies
4K Views
Wakuu habari Nina TV ya hisense ambayo ni smart TV Sasa kila nikitaka kuangalia Azam max siwez kulogin Nimeweka na video hapo chini Msaada please
1 Reactions
3 Replies
346 Views
Katika jitihada za kuongeza ajira kwa kundi kubwa la vijana wanao hitimu elimu ya vyuo vikuu, tunaishauri Serikali kupitia wizara husika kurekebisha umri wa kustaafu watumishi wa umma uwe miaka 50...
3 Reactions
16 Replies
840 Views
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Deogratius Ndejembi amesema Wizara yake imeanzisha mifumo ya kielektroniki ya kusimamia sekta ya Ardhi ikiwemo e-Ardhi ili kutoa huduma bora kwa...
0 Reactions
0 Replies
192 Views
Salaam Wanajukwaa, Naomba kero yangu ifike kwa waziri Jumaa Aweso kilio chetu Wananchi wa Singida, SUWASA inatuua. SUWASA inatukandamiza, inatuonea, bili za maji za huku kwetu ni mitaji ya Watu...
1 Reactions
5 Replies
600 Views
Juzikati Oktoba 23, 2024 nilipofika eneo la Mti Mmoja - Monduli (Arusha) nikiwa njiani kuelekea Dodoma nikitokea Arusha, niliona jambo la kushangaza sana, nilishuhudia Wanafunzi wa shule wakinywa...
2 Reactions
14 Replies
864 Views
Je, ungependa kusafisha na kuliwaza akili au ufahamu wako? Kama jibu ni ndiyo basi fanya yafuatayo Piga magoti chini (sio lazima) au pia unaweza kusimama, kisha vuta pumzi na uzuie isitokee (yani...
13 Reactions
86 Replies
4K Views
Licha ya baadhi Viongozi wa ngazi za juu Serikalini kuwaelekeza Watendaji wenye mamlaka katika ngazi mbalimbali kuwaondoa Wafanyabiashara wadogowadogo (Machinga) kwenye maeneo yasiyo rafiki na...
3 Reactions
3 Replies
381 Views
I was raised to move on, I was raised to wake up every morning and try again even when my heart is broken. I was elevated to keep walking even when all I want to do is to hide away, I was taught...
11 Reactions
12 Replies
411 Views
Mara kadhaa napita barabara hii ya kutoka Tegeta kwenda Ubungo-Kimara, sasa ukifika hapo Mwenge mida ya saa moja jioni huwa sielewi utaratibu uko vipi, bahati nzuri huwa siwi wa kwanza kwenye...
0 Reactions
1 Replies
147 Views
Napendekeza kanuni mpya! Kanuni mpya ni kwamba, NIDA moja hairuhusiwi kusajili zaidi ya namba moja kwa mwezi. Sasa mtu NIDA yake ikitumika kufsnys utapeli kwa laini iliyosajiliwa baada ya kuanza...
13 Reactions
104 Replies
3K Views
Katibu Tawala wa Mkoa wa Katavi, Albert Msovera amewataka Wafanyakazi walio katika vituo vya mizani kuhakikisha wanasimamia sheria ya uthibiti ubora wa barabara ya mwaka 2016 ya Afrika mashariki...
1 Reactions
0 Replies
149 Views
Hivi hili tatizo la umeme mkoani Tabora litaisha lini? Hawatoi taarifa kwa wananchi nini kinachoendelea, wanaukata wanavyotaka na wanaurudisha wanavyotaka, mbaya zaidi ukipiga simu makao makuu...
2 Reactions
2 Replies
279 Views
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika Kongamano la Kwanza la Kiswahili la Kimataifa litakalofanyika jijini Havana, nchini Cuba...
0 Reactions
0 Replies
249 Views
Mamlaka za Maji na Usafi wa Mazingira nchini zimeelekezwa kutoa taarifa sahihi kuhusu uendeshaji na utoaji wa huduma kwa kuwa taarifa hizo hutumika katika utekelezaji wa mipango ya Serikali...
0 Reactions
0 Replies
166 Views
Habari Wana Jamiiforums wenzangu, ndugu yenu Mwanongwa katika pilika zangu nikakutana na Stori za kwamba kuna Wafanyabiashara wa Ndizi pamoja na Maparachichi ndani ya Mkoa wa Mbeya wamekuwa siyo...
29 Reactions
61 Replies
3K Views
Kwa Kiswahili kinajulikana kama CHOMBO CHA KUSIMAMIA UBORA TANZANIA (TBS) Jina zuri lakini la kizungu.. Sio tatizo sana Jengo zuri la viwango Mazingira mazuri ya Kazi Vitendea Kazi bora Maslahi...
16 Reactions
29 Replies
2K Views
Kuna baadhi ya Walimu katika Shule ya Msingi Majengo na Shule ya Msingi Songea katika Manispaa ya Songea, Kata ya Majengo Mkoani Ruvuma wamekuwa na tabia ambayo naona sio sawa kwa Wanafunzi...
0 Reactions
3 Replies
319 Views
Back
Top Bottom