Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
Kampuni mama ya tiGO Tanzania 'HONORA TANZANIA MOBILE SOLUTIONS LTD' wamefikishwa mahakama ya mwanzo Ilala wakidaiwa fidia ya shilingi milioni 26,880,000/= Shauri hili namba 270/2024 litaanza...
14 Reactions
33 Replies
2K Views
Kwanza nianze kwa kuwapongeza wale wabakaji waliobaka kwa kunufaika na hukumu ya kifungo Cha Maisha baada ya kumbaka kwa kumpiga Mtungo yule Binti wa Yombo mbele na nyuma. Wamevuna walichopanda...
2 Reactions
3 Replies
367 Views
Kuna dhana imejengeka kwa watu wengi na sasa inaelekea kuwa ndo ilivyo Utakutana na mtu akishakuuliza jina tu basi na jibu la imani yako anakua nalo! Sasa kuna hawa wengine wanao amini kama...
3 Reactions
4 Replies
334 Views
Hamjambo, Usiku wa kuamkia leo nimeota nipo kwenye mji mwingine, ni kama "lost city" ambapo hakuna mtu lakini majengo yake ni makasri, kama yale kwenye filamu za katuni, mfano jengo la...
5 Reactions
44 Replies
1K Views
Naam, kama ilivyo katika maisha ya kawaida, kila kitu huwa na pande mbili zinazokinzana, kama vile mrefu na mfupi, mweupe na mweusi, na kadhalika. Vivyo hivyo, imani ina pande mbili: kuamini au...
1 Reactions
2 Replies
300 Views
'You won't find faith and hope down a telescope, You won't find heart and soul in the stars' 'Science and faith' ni albamu ya pili kutoka katika kundi la wanamuziki wa rock kutoka Ireland...
1 Reactions
1 Replies
257 Views
Wakati nyakati za Uchaguzi zinapokaribia ukiwemo wa Serikali za Mitaa 2024, ni rahisi kwa Mwananchi asiye na Taarifa Sahihi kufanya maamuzi yasiyo sahihi wakati akijiandaa na Michakato hiyo hadi...
2 Reactions
1 Replies
250 Views
TBC huwa siwaelewi sehemu ya taarifa ya habari wao wanaweka makala
1 Reactions
10 Replies
408 Views
Kumekuwa na tabia za watu kujiona wanategemewa sana. Watu hawa hawafanyi maendeleo yeyote wala kujijali wao kila siku ni kutunza wenzao na kubaiki meza kwa kujaza bia, wanapaswa kujua, hata wakifa...
2 Reactions
1 Replies
134 Views
Kujistiri kwa mwanamke wa Kiislamu ni mojawapo ya maamrisho ya msingi ambayo yamewekwa na Mwenyezi Mungu ili kumlinda, kumheshimu, na kumtunza mwanamke dhidi ya maovu na machafu ya dunia. Hii ni...
4 Reactions
8 Replies
552 Views
Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarni Mkoa wa Arusha kwa kushirikiana na wakala wa Barabara (Tanroads) Mkoa wa Arusha katika kuhakikisha wanadhibiti ajali za barabarani wameendelea na...
0 Reactions
1 Replies
186 Views
Habari zenu wana JF, Ningependa kujua zaidi na kuwekwa sawa kwenye hii dhana ya kutembelea na kwenda kusafisha makaburi ya ndugu, jamaa na marafiki. Je, kwa kitendo cha kwenda tu kutembelea na...
4 Reactions
22 Replies
8K Views
Kazi ya mapambano na wezi huko Mbeya Bado ni ngumu na inaendelea kupmaba moto. Pia soma > Mbeya : Viongozi 58 wa Vyama Vya Ushirika Watiwa Mbaroni Kwa Kutapeli Wakulima wa Kakao Shilingi Milioni...
1 Reactions
10 Replies
402 Views
"TUWAAMBIE KABLA HAWAJAHARIBIWA" Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya Kamishina Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP), Benjamin Kuzaga Agosti 28, 2024 akiwa ameambatana na Watendaji wa Dawati la Jinsia...
0 Reactions
2 Replies
461 Views
Kwanza nawasalimu. Niende moja kwa moja kwenye hoja yangu yenye swali mwishoni. Mimi nilishaondokwa Na baba yangu mzazi tangu mwaka 2004 Na akazikwa nyumbani kwao mkoa flan hapa hapa Tanzania...
1 Reactions
47 Replies
9K Views
Moshi. Jeshi la Polisi mkoani Kilimanjaro linamshikilia mwanafunzi wa kidato cha pili (miaka 17) kwa tuhuma za kumuua rafiki yake, John Lema (18) chanzo kikielezwa kuwa, mabishano ya umri...
8 Reactions
125 Replies
3K Views
Kwanza matokeo ya utafiti yaliandikwa kwenye magazeti ya jambo na mwananchi. Kwa akili ya kawaida vita iko ukraine, urusi, israel, gaza, Iran wewe mtanzania inakuhusu nini ? Ndio unaona hata...
7 Reactions
16 Replies
491 Views
Wadau..mi kusema cha ukweli sijawahi kupanda ndege toka nimezaliwa. Nataman sana siku moja kuipanda. Umri wangu ni miaka 35. Naomba tuelimishane....siku ya kwanza inakuagaje?..Nikifika pale airpot...
1 Reactions
83 Replies
18K Views
Huwa napenda kuandika humu kama diary yangu maana Basi nilliwahi andika nikiwa na umri wa miaka 22 nilikuwa nishashika hela nyingi kama million 100 na zaidi kutoka biashara nilikuwa...
23 Reactions
42 Replies
3K Views
Habari JF, Mimi nimepata ajali ya Bajaj, Bajaj hii inabima kuwa comprehensive ya 640000/= Bajaj hii ni ya mkopo bima ni alliance insurance limited, Bado nafatilia report kituo Cha polisi...
14 Reactions
127 Replies
7K Views
Back
Top Bottom