Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
Mwizi, Mwizi, Mwizi... Kusikia hii Yowe kwa watanzania wengi ni kibali cha kuanza kumfukuzia mlengwa na kujichukulia sheria kwa kumshushia kumpiga, kumponda mawe na hata kumchoma bila kumpa nafasi...
28 Reactions
81 Replies
3K Views
Hata hivyo haijajulikana mara moja kama alimaanisha au alitaka kusema Tumaini lipo ndani ya CCM. bado hakuweza kupataikana kutoa ufafanuzi juu ya kauli yake hiyo Alikuwa akiongea katika mkutano...
1 Reactions
13 Replies
825 Views
unaweza kuchukulia poa ila ukweli ni kwamba bwana na mke wake wanaweza panga njama za kula pesa zako. Hizi ishu zimeishafanyika sana sema tu huwa ni chini chini mtaani. Bwana anajua unatembea na...
3 Reactions
8 Replies
456 Views
Ndugu zangu naombeni mnishauri katika hili, nimemaliza chuo bado issue ya ajira nimepanga kachumba kamoja ndo najitafuta hapa kimaisha nabangaiza bangaiza. Nina rafiki yangu tokea chuoni huko...
14 Reactions
138 Replies
7K Views
Nawasalimu kwa Jina la Muungano wa Tanzania! Samahani, naomba kuwasilisha MAONI kutokana na kuwepo kwa changamoto ya kimtandao kuanzia tarehe 11.05.2024 hadi hivi sasa. Hali ambayo inazua...
0 Reactions
40 Replies
6K Views
Hongereni kwa shughuli za ujenzi wa Taifa! Awali ya yote nataka kuangazia maada tajwa ,"cashless economy" inahusu matumizi ya teknolojia na mifumo ya kidijitali na kurahisisha shughuli za kifedha...
0 Reactions
0 Replies
195 Views
Unakutana na mtu anakuwa na hamasa ya kujua Uko wapi siku hizi. Unapouliza hili swali lengo huwa UNATAKA kujua nini na ili iweje? Unapojobu swali hili huwa unazingatia nini?
3 Reactions
14 Replies
666 Views
Leo la majinjioni Leo hii ni eneo la kanisa
1 Reactions
8 Replies
346 Views
Wakuu habari, Nawakumbusha Kwa wale wanao tumia mkono wa kushoto kuwa Leo ni siku yetu 13.Aug . 2024 (Left handers day) Naomba tujuane left-handers, alafu tupe experience kuhusu mkono wako wa...
3 Reactions
40 Replies
817 Views
Hongera bwana Tony Chaula muunda magari. Kutana na Eston Chaula, maarufu kama Tony, kijana aliyeishia darasa la saba lakini anauwezo wa kufikiri muundo wa gari analolitaka na kuliunda kwa...
4 Reactions
34 Replies
1K Views
Ni Jumanne saa 4 asubuhi unahitaji kusafiri siku inayofuata ya Jumatano August 14,2024, ķutoka Mwanza kwenda Kigoma! Unaingia katika mtandao kutafuta usafiri. Jina la kampuni maarufu inayofanya...
2 Reactions
15 Replies
527 Views
Hivi ni kwanini siku hizi watu wengi hawapendi mafanikio ya MTU? Hivi jirani au ndugu na rafiki wanachukiaje mafanikio yako na wakati mtoa riziki ni Mungu. Hizi tabia zimekidhili sana katika...
2 Reactions
8 Replies
2K Views
Pombe na sigara ni kati ya bidhaa zinazoingizia nchi hela nyingi kwa njia ya kodi. Ingawa ni bidhaa iileteayo Serikali ukwasi mkubwa, ina madharabhasi kwa baadhi ya watu hasa masikini. Ilishawahi...
2 Reactions
19 Replies
626 Views
Hivi ile falsafa ya no fear no hate ilikuaga ni scam ee? Iliishiaga wapi kwanza.. Au ilibadilika ikawa ni hate kwendra mbele? Na mbona viongozi na wanachama ni waoga mno saivi, hadi wanaogopana...
2 Reactions
5 Replies
198 Views
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amezindua kituo cha kupokea na kupoza umeme katika Mgodi wa Dhahabu wa Geita (GGM) chenye uwezo wa megawati 34 ambacho sasa...
0 Reactions
3 Replies
270 Views
Kipindi cha Kamanda Tossi Lucas alikuwa bado yuko shule ya vidudu Yule Mwamba aliwadhibiti Wapinzani kisawasawa na Amani ikadumu sijajua yuko wapi zama hizi! Kamanda Tossi 😃
2 Reactions
2 Replies
278 Views
Kama taifa tumetoka mbali aiseee na bado tuna safari ndefu sana Yaani kutoka Mchele Kitumbo kutoka Japan ambao Wananchi walidai ni wa plastic hauna Lishe hadi mchele wa Wamarekani wenye Lishe...
4 Reactions
13 Replies
707 Views
Wadau zaidi ya 1000 kutokea mataifa takribani 40 hususani ya Afrika wanatarajiwa kukutanishwa Zanzibar na Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI), April 2025 katika mkutano wa tatu ambao utalenga...
0 Reactions
0 Replies
230 Views
Wizara ya Madini kwa kushirikiana na Kampuni mbalimbali za uchimbaji na uchakataji madini inatarajia kuanzisha miradi mikubwa ya kimkakati itakayohusisha mnyororo mzima katika Sekta ya Madini...
1 Reactions
0 Replies
166 Views
Ninapozungumzia uwezo ni ule wa kufanya kazi kwa ubunifu na kipekee ukilinganisha na watu wengine. Iwe ofisini, au Nyumbani kuna watu hawaamini kuwa mtu fulani anaweza kufanya kitu fulani na hata...
2 Reactions
1 Replies
164 Views
Back
Top Bottom