Leo nimemuona Rais wa Rwanda akiwasili Mapinduzi Day Zanzibar. Siku tano nyuma kwenye match ya football niliona Waziri na Mkuu wa majeshi msitafu wa Rwanda Bw James akiwa uwanjani Amani Stadium...
Mjumbe wa baraza la mapinduzi la Yemen,Mohammed Ali Houth amejibu azimio la Umoja wa mataifa linaloitaka kuacha kushambulia meli kwenye bahari nyekundu.
Akijibu azimio hilo,kiongozi huyo wa Houth...
Uchumi wa Libya ni GDP 40 billion usd. Population ya Libya ni 7 million.
Kipindi cha utawala wa Gaddafi tuliambiwa wananchi wa Libya walibudumia Mambo mention bure na serikali ya Gaddafi...
Uamuzi huo unatarajiwa kufanyika ili kuwa na nguvu ya kuamua mtu wa kumkamata pindi anapotuhumiwa katika Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC).
Rais wa Urusi,Vladimir Putin ana mwaliko wa...
Iran imerusha drones zake na kurekodi misafara ya meli kubwa za kivita za Marekani.
https://x.com/EbneHava/status/1729892586578452954?s=20
Wachambuzi wanasema huu ni mwanzo wa kufeli kwa ubabe...
Afrika Kusini kaishikia bango Israel. Ngoja tuone kama Israel itarudi nyuma.
Habari kamili;
Sanamu ya marehemu Askofu Mkuu wa Afrika Kusini Desmond Tutu iliyofunikwa kilemba cha Wapalestina...
Huwa mnachokoza Israel, mkijibiwa mnasema wamepiga raia na watoto.... Lebanon walishaonywa kwamba watafanywa kama Gaza.
===
An Israeli strike on a civil defense center in southern Lebanon on...
Netanyahu ametoa mlio..
Netanyahu: At a time when "Israel" is fighting the genocide of its own people, it is accused of genocide
Today, we saw a world turned upside down as we fought terrorists...
Waarabu walitoka kwao Uarabuni wakavamia Ardhi zetu za bara la Afrika nchi za Africa kaskazini ziwe Moroco, Algeria, Libya, Misri, nk, na wanakalia ardhi hizo Kwa nguvu ambazo ni ardhi za waafrika...
Ni Kamanda la vita mda wote ambaye kwa jina ni James Kabarebe.
Kwa msiofahamu, bwana James ndiye Kamanda aliyepata kuhudumu akiwa CDF wa Nchi mbili tofauti ambazo ni Congo na Rwanda.
Kabarebe...
Vyombo vyote vikubwa vya habari vinaonyesha live kesi inayoendelea genocide case iliyofunguliwa na serikali ya Afrika kusini dhidi ya Israeli lakini BBC ni kama hawajui kinachoendelea kwa sasa.
1. Russia na China zilikuwa na uwezo wa kuzuia azimio UNSC dhidi ya Yemen kupitishwa.
2. Siku Moja baadaye kimenuka huko; bila shaka Pana vita kamili sasa.
3. Ikumbukwe kwenye azimio hilo China...
Umoja wa Maaskofu wa Kanisa Katoliki Afrika na Madagascar CECAM umepinga msimamo wa Papa wa kubariki Ndoa za Jinsia Moja.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na CECAM imesema Maaskofu wa Kiafrika...
BREAKING:
[emoji1134][emoji1146] Commander of the IDF's 'Ozal' unit in the Galilee:
'For the first time in the history of our wars with the Arabs, we now find ourselves in a position where we...
Ukiangalia mpaka sasa hivi majina ya Wa Israel ni Yale Yale ya kwenye Biblia
Ukisoma Biblia utakutana na majina mengi ya wa Israel. Mfano ni Ehud Barrack, Ariel Sharon, Benjamin Netanyahu, Shimon...
Egyptian air defense shot down a suspected drone off the Red Sea coast near the resort town of Dahab on Egypt's eastern Sinai coast, two security sources said.
---
A spokesman for...
Katika maeneo lisilofahamika, zinaonekana Jet fighters za Uingereza na Marekani zikirushwa kuelekea eneo ambalo kundi la kigaidi la Hauthi kutokea Yemen lilikoweka kambi.
Kundi la Hauthi limeleta...
Nyumba za Ibada zimetakiwa kufanyika kwa muda usiozidi Saa 2, agizo linalolenga kupunguza kuenea kwa Ugonjwa 2a Kipindupindu nchini humo
Pia, biashara za Vyakula ambavyo vimeshapikwa tayari kwa...
Kama kichwa Cha habari kinavyojieleza wakuu,inashangaza kuona islaer akiendelea kuwachinja waarabu huku mataifa ya kiarabu yakiangalia maangamizi ya wapalestina mithili ya nyumbu wanavyomwangalia...
Papua New Guinea imekusanya vikosi vya usalama baada ya uporaji na ghasia nchini kote. Ufinyu wa ajira na kupanda kwa gharama ya maisha kumezua hali ya kufadhaika katika taifa hilo la Pasifiki...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.