International Forum

News and Stories from rest of the World
Tarehe 18 Desemba ni siku ya maadhimisho ya miaka 45 tangu sera ya mageuzi na ufunguaji mlango ianze kutekelezwa nchini China. Katika kipindi hicho, China sio tu imefanikiwa kujiinua kiuchumi, na...
1 Reactions
3 Replies
373 Views
Waziri wa Uchumi na Viwanda Yasutoshi Nishimura, Waziri wa Mambo ya Ndani Junji Suzuki, Waziri wa Kilimo Ichiro Miyashita na Katibu Mkuu wa Baraza la Mawaziri Hirokazu Matsuno wamejiuzulu asubuhi...
1 Reactions
9 Replies
892 Views
Mzuka wanajamvi. Poland yadai na kujigamba kuwa hamna ubakaji, wizi na uhalifu ukilinganisha na mataifa jirani na mengine ulaya wenye waislam wengi wahamiaji. Wanajisifu na kujigamba kwa kuzuia...
12 Reactions
25 Replies
2K Views
Kile kikosi cha Israel kilichoteka bunge la Gaza na kupiga picha kadhaa wengi wao wameangamizwa[emoji1313][emoji1313][emoji1313] The 13th battalion was the same battalion that occupied the Gaza...
6 Reactions
38 Replies
2K Views
Hakuna taifa la Waarabu lenye utayari wa kuwajibika kwenye kuijenga Gaza na kuilinda baada ya Israel kuisambaratisha, wote wamegoma. Hivyo Israel itabidi ipakalie kimabavu baada ya kusafisha...
4 Reactions
36 Replies
2K Views
Israel imeanza Majaribio ya Kujaza Maji ya Chumvi kwenye Mahandaki walimojificha Hamas Marekani yasema Zoezi hilo likifanyika Uyahudi inaweza kupunguza ushawishi wake duniani kwani yatakuwa ni...
15 Reactions
85 Replies
7K Views
Ukiiangalia hiyo ramani hapo juu utaona ni jinsi gani Wapalestina wanavyozidi kupoteza ardhi kila wakijaribu kupambana na Israel. Kuanzia waliposaidiwa na nchi za kiarabu wakashindwa hadi sasa...
4 Reactions
22 Replies
924 Views
Wanaukumbi. Hamas imeonya kuwa hakuna mateka atakayeondoka Gaza akiwa hai hadi pale matakwa yake yatakapotimizwa. "Hakuna adui wa kiyahudi na uongozi wake wa kiburi... wala wafuasi walio nyuma...
6 Reactions
67 Replies
3K Views
Huyu Mwamba hakupaswa kusahaulika Kwa haraka African Union. Huyu alihimiza taifa moja Afrika (badala ya nchi vipande-vipande 53). Tafadhali AU anzisheni Gaddafi day au Gaddafi Scholarship tumkumbe...
4 Reactions
19 Replies
625 Views
Kiongozi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo amepeleka mashambulizi yake ya kejeli dhidi ya mwenzake wa Rwanda katika ngazi nyingine kwa kumfananisha na Adolf Hitler. Félix Tshisekedi alisema...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Rais Biden amesema ni Wajibu wa Marekani kuisaidia Israel hadi kundi la Hamas litakapoangamizwa kabisa na kubakia raia Wema wa Palestine Biden amesema ana hakika mwisho wa Magaidi wa Hamas...
3 Reactions
24 Replies
1K Views
Tangu Putin atangaze Special Military operational yake Feb 2022 dhidi ya Ukraine, wengi waliamini kuwa huo ndo ulikuwa mwanzo wa vita kuu ya tatu (World War III) hasa Marekani na NATO walipoweka...
13 Reactions
192 Replies
9K Views
Wayemeni walisema hawataki kabisa meli za mazayuni ikatize kwenye sehemu wanazozifikia, yaani wasizione kabisa kwenye bahari yao au ya karibu yao, mpaka wawache kabisa kuwauwa na kuwatesa...
15 Reactions
87 Replies
6K Views
Video hiyo inaonyesha jeshi la Israel likikimbia na kupoteza wanajeshi wake wengi kutoka maeneo ya Gaza baada ya kupata uharibifu mkubwa wa rasilimali zao za mapigano, huku vifaru na magari ya...
11 Reactions
73 Replies
5K Views
Pentagon imekiri meli yake ya kivita iitwayo USS Carney imepigwa kwa makombora kwenye bahari nyekundu.Vipigo hivyo vimehusishwa na vita vya Israel huko Gaza na kwamba meli nyengine za kibiashara...
4 Reactions
99 Replies
7K Views
Mapya haya sasa, Mazayunni wameanza kuchukuwa askari wa kukodiwa Malawi, wanajuwa dhiki zetu Afrika na pesa wanayotowa zitatufanya twebde tu, Dah, hali inatisha: Video clip inapanda taratibu.
9 Reactions
102 Replies
4K Views
Siku moja baada ya kutoa onyo kwa IDF kuwa wakiingia ardhini Gaza basi Iran itaingilia kati leo tena Iran wamerudia tena onyo hilo wakienda mbali zaidi na kusema kuwa Gaza itageuka uwanja qa vita...
8 Reactions
58 Replies
6K Views
Wanaukumbi. 🇾🇪🇮🇱 The Yemenis have turned the captured Israeli ship into a tourist attraction Visitors are seen dancing, smoking waterpipes, and chilling on the ship. =============== 🇾🇪🇮🇱...
17 Reactions
57 Replies
3K Views
Tume ya uchaguzi ya Rwanda imetangaza kuwa Uchaguzi wa Rais na Wabunge unatarajiwa kufanyika Julai 15, 2024 ambapo Rais Paul Kagame anatarajiwa kuwania mhula wa nne. Tume hiyo kupitia ujumbe wa X...
0 Reactions
6 Replies
529 Views
Ramani ya kushoto ni kipindi Urusi ilikua imeingiwa na mzuka wa balaa, na kujitutumua kuiparamia nchi ya watu, tulishuhudia mengi sana ikiwemo limsafara kuliwa na wabeba javelin, sasa Urusi...
4 Reactions
9 Replies
2K Views
Back
Top Bottom