Nilikua najiuliza kwanini HAMAS wafanye kitu ambacho kimekuja kuwaletea hasara mara mia na kusababisha wafutwe Gaza.....
Aisei hiki kilikua kiama kwa Israel, hawa jamaa walijiandaa kwa muda mrefu...
Kama inavyofahamika, karibia makundi yote ya kigaidi Duniani huanzishwa na husaidiwa na Iran.
Siku chache zilizopita, kundi la kigaidi la Houthi, ambalo hufanya maangamizi zaidi huko Yemen, na...
Ukitizama mauaji, hasa ya watoto huko Gaza inasikitisha sana. Ukitafakari ule ugaidi wa Hamas dhidi ya yeyote aliyekuwepo Israel, unapata hasira.
Tangu mwaka 1948, Taifa la Israel lilipotangazwa...
Wanaukumbi.
BREAKING - OFFICIAL STATEMENT BY YEMEN'S HOUTHIS: BALLISTIC MISSILES LAUNCHED AT ISRAEL
"With the help of God Almighty, the missile force of the Yemeni Armed Forces launched a batch...
Kwanza kabisa, uzi huu hauna lengo la kukashifu imani au itikadi yoyote na msimamo wa mwandishi haufungamani na upande wowote!
ASILI YA ISRAEL, SAUDI ARABIA na PALESTINE, katika dini kuu tatu...
Huyu jamaa na makombora yake sikujua naye anaweza kufikwa na huzuni mpaka abubujikwe machozi, akina mama pia nao wajiunga kwenye kulia machozi maana mkuu analia, hii ilikua baada ya kusoma taarifa...
Hili ni somo kwa wote wanaodhani Marekani ni kiota cha freedom of speech!
Iko hivi baada ya serikali za Magaharibi kuona kuwa public opinion inashift kwa kasi, ambapo raia wengi waliokuwa gizani...
Kwa roho na Damu Tunakufidia Palestina (Mashabiki wa Timu ya Al Ahly ya Misri)
Watu wenye huruma na utu, ningefurahi sana kuona pia timu zetu zikifanya kama ilivyo kwa al ahly, Allah awajaze...
US Commerce chief warns against China 'threat'
In October, US Commerce Secretary Gina Raimondo unveiled a series of restrictions on the export of advanced chips to China. (Photo: AFP/Carlos...
Wanaukumbi.
Netanyahu to the Israeli prisoners’ families: I will not be able to return them all, and the families left the meeting angry.
Sources: Hebrew Channel 12, Al Jazeera.
🚨🇵🇸 Hamas...
Wanaukumbi.
🚨 Kura ya Kura ya Kushtua: 75% ya Wapalestina Wanaunga mkono Shambulio la Oktoba 7 dhidi ya Israeli
Ni asilimia 13 pekee ya Wapalestina wanaopinga mgomo wa Oktoba 7 dhidi ya Israel...
Mamilioni ya waafrika bado kwao umeme ni anasa ambayo hawawezi kumudu na hivyo bado wanaishi tu gizani sawa na wanyamapori ktk dunia hii ya sayansi na teknolojia.
---
Access to electricity remains...
US-China 'tech war': AI sparks first battle in Middle East
Cathrin Schaer
10/02/2023October 2, 2023
The US has restricted exports of some computer chips to the Middle East, to stop AI-enabling...
Inashangaza sana kuwa binadamu sasa wamekuwa na roho za kinyama sana kwa sababu wanyama ndio ambao mwenzao akiliwa wanakuwa na msaada mdogo sana japokuwa kwa umoja wao wangeamua wangeweza...
Jeshi la kigaidi la Marekani limeamua kuinyang'anya Ukraine Vifaru vyake alivyompa chapa M1 Abrams baada yakuona Makomando wa Russia Spetnaz wanaviwinda kama Simba wenye njaa Kali ili wavibebe...
Miongoni mwa mataifa muhimu katika ushirika wa kuiadhibu Israel ni Syria ambayo tangu vita vianze hapo Oktoba 7 walikuwa wako kimya.
Kwa mara ya mwanzo leo wanamgambo walioko mashariki ya Israel...
Hamasa miongoni mwa nchi za kiislamu kuhusu vita vinavyoendelea Gaza zimepanda zaidi.
Viongozi watatu ndio waliozungumza kwa hasira kwenye mkutano wa mazingira unaoendelea huko Dubai.
Raisi...
Jamani ni tetesi naendelea kusaka taarifa za uhakika.
Inasemekana Baada ya Russia kuona Marekani anasaidia Ukraine na Ukraine anakuwa mgumu kumshinda sababu anapata support ya Marekani kijeshi...
Kikosi kidogo cha askari wa Ukraine hivi karibuni kilifanikiwa kuvuka mto Dnipro oblast ya Kherson kutoka upande wa Magharibi na kuingia Mashariki ambako ndiko ziliko ngome za jeshi la Urusi tangu...
Najua kuna Watanzania wengi walijipanga kwenda Mjini mwake Daudi Bethlehem kusherehekea sikukuu ya Christmas.
Niwajulishe tu Serikali ya Israel imesema hakutakuwa na Sherehe hizo mwaka huu, yaani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.