Wanaukumbi.
🇺🇸 BIDEN WARNS: WE HAVE TO FIGHT RUSSIAN TROOPS IF UKRAINE FALLS
In what appears to be a form of blackmailing to an entire nation, Biden ties the confrontation with Russian troops...
Dec 06, 2023 12:21 UTC
Afisa wa ngazi ya juu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu (muqawama) ya Palestina, Hamas, amesema harakati hiyo ya kupigania ukombozi wa Palestina yenye makao yake Gaza...
Illustration: Stephanie Davidson
Business
A New Front Is Opening Up in the US-China Conflict Over Chips
The emerging field of advanced packaging is being hailed as an inflection point for the...
Wapumbavu wengi huko nje’ – Musk.[emoji41]
Wakati Serikali inashinikiza Marekani kutuma pesa Ukraine na Bunge likikataa, Bilionea huyo aliunga mkono maoni kwamba nyongeza ya dola bilioni 60...
Mwandaa filamu maaraufu bwana Oliver Stone alimfanyia Interview Putin kwenye Documentary yake mpya inayoitwa THE PUTIN INTERVIEWS. Akamuuliza kwamba inasemekana amenusurika kuuwawa kama mara tano...
Dec 07, 2023 05:01 UTC
Wizara ya Vita ya utawala haramu wa Kizayuni wa Israel imekiri katika taarifa kwamba utawala huo umepokea tani 10,000 za zana za kivita kutoka Marekani tangu ulipoanzisha...
Ama kweli la kuvunda halina ubani. Yamesikika mengi kuhusu ugaidi na ufwedhuli wa wapalestina na HAMAS.
Kwamba HAMAS ni wauaji, wabakaji, magaidi, wenye kutumia mahospitali kama vituo vya...
Dec 07, 2023 07:06 UTC
Televisheni ya Al Jazeera ya Qatar imelaani mauaji ya familia ya mmoja wa waandishi wake wa habari katika mashambulizi yaliyofanywa na utawala haramu wa Kizayuni wa...
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi amekutana na Rais wa Jumuiya ya Waturuki waishio Ughaibuni, Abdullah Eren na ujumbe wake Ikulu Zanzibar tarehe 7...
Mashirika ya kutetea Haki za binadamu yamekosoa kiyendo Cha Rais wa Malawi bwana Lazarus Chakwera kuamua kuwauza Wananchi wake takribani Vijana 221 kuwa Manamba wa kufanya kazi kwenye mashamba...
Huku upepo tufani la Al Aqsa ukizidi kupiga kote kote.Saudi Arabia imeionya Marekani juu ya kihere here chake cha kuwatibua wapganji wa Houth kwenye bahari nyekundu.
Wakati huo huo taifa hilo...
Kaeleza kama ilivyo tena bila chenga, muda umefika waarabu wajiulize maswali mengi sana. Kuna video yake hapa chini.
ila kiukweli bado wamepofushwa na maupuzi ya karne za kitambo. Nafikiri...
Rais Wavel Ramkalawan wa Ushelsheli ametangaza hali ya tahadhari Alhamisi, akiwaamuru raia wote isipokuwa wafanyakazi muhimu kubaki nyumbani, baada ya mlipuko katika duka moja la vilipuzi na...
Askofu Prof Gamanywa amesema kimsingi Marekani wanaitegemea Israel Kijeshi na Siyo kinyume chake
Na NDIYO Sababu wawe Republican au Democrats ni Wajibu wa lazima kuiunga mkono Israel na Wana...
Karibu mwezi sasa unakatika marekani hajatangaza kiasi cha dollars kama msaada wa kijeshi kwa nchi za Ukraine na Israel je kuna Tatizo pahala au salio linakaribia kukata?
Hii tabia ya kupenda...
Ni Kwa mujibu -S&P Global Ratings
BENGALURU, Desemba 5 (Reuters)
INDIA itasalia kuwa nchi yenye uchumi mkubwa unaokua kwa kasi zaidi kwa angalau miaka mitatu ijayo, na itaiweka nchi hiyo kwenye...
1. Alianza vizuri HAMAS kuwapigania wapalestina na waarabu kwa ujumla vita vyao dhidi ya mvamuzi wao sugu 7 Oct 2023.
2. Bahati mbaya waarabu hadi wapalestina wa West Bank wameufyata na kumwachia...
Baada ya kumalizika kwa usitishaji wa vita kwa muda wa wiki moja na ubadilishanaji wa mateka vita vimeanza upya kati ya Israel na wanamgambo wa Hamas.
Katika ngwe hii mpya na katika hai ya...
Israel umesema Kiongozi wa Hamas Yahya Sinwar ameongea na Mateka kwenye Mahandaki na kuwaambia Wako salama
Yahya Sinwar amewaambia Mateka wasiwe na hofu kwa sababu ya kuwa kwenye Mahandaki kwani...
Kumekuwepo na upotoshaji kwamba Marekani imesitisha au imekosa pesa za kuendelea kuifadhili Ukraine katika vita yake dhidi ya uvamizi wa Urusi.
Ukweli ni kwamba Marekani haijakosa pesa za kuipa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.