International Forum

News and Stories from rest of the World
Wakati mapambano makali ya majibizano dhidi ya wanajeshi wa Rusia nchini Ukraine yakiendelea almaarufu kama "Ukraine counter offensive " makahaba kutoka sehemu mbali mbali nao hawajabaki nyuma...
2 Reactions
35 Replies
4K Views
Bunge la Ghana limeunga mkono marekebisho yanayopendekezwa kwenye muswada wa kupinga ushoga ambao ungewafanya wanaojitambulisha kuwa Mashoga wahukumiwe kifungo cha miaka mitatu gerezani...
6 Reactions
9 Replies
1K Views
Mwaka 2018 Joseph Kabila kwa kushirikiana na Chama chake cha PPRD walimuibia Martin Fayulu kura na kumtangaza Félix Kisekedi kuwa mshindi jambo ilo lilikuwa la kushangaza masikioni mwa Wakongo...
14 Reactions
26 Replies
4K Views
Mamlaka ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi ya Afrika kusini (Information Regulator) imeipiga faina ya Randi millioni Tano (Tsh milioni 108) Idara ya Haki na Maendeleo ya Katiba “Department of Justice...
1 Reactions
2 Replies
750 Views
Ikumbukwe propaganda za Corona zilikuwa zimeshika kasi duniani kote na nchi za Afrika kulazimishwa kuchukua mikopo au kupokea chanjo Kwa lazima. Vyombo vya habari kutoka nchi za magharibi Kwa...
11 Reactions
41 Replies
3K Views
Ofisi ya Rais wa Finland imetangaza kuwa Finland itakuwa Mwanachama rasmi wa NATO ifikapo kesho. Tangazo hilo limethibitishwa na Katibu Mkuu wa NATO Jens Stoltenberg. Akizungumza kutokea jijini...
6 Reactions
36 Replies
3K Views
Katibu mkuu wa NATO Bwana Jens Stoltenberg amesema kuchoma Quran hadharani sio kosa ingawa inaweza kua sio jambo la kupendeza. Bwana Jens Stoltenberg ameyasema hayo wakati akijibu maswali kuhusu...
7 Reactions
91 Replies
7K Views
Kamanda mkuu wa majeshi ya Ukraine generali Valery Zaluzhny amesema nchi yake ina makubaliano maalum na Pentagon na kwamba wana mawasiliano ya masaa 24 juu ya namna vita vinavyoendelea,hata hivyo...
3 Reactions
10 Replies
2K Views
Dunia ina jumla ya Nchi 195 lakini ni Mataifa 5 tu ndiyo yako huru kisiasa, kiuchumi, kijeshi nknk. Tunavyozungumzia Mataifa huru ni yale ambayo hayaingiliwi kisiasa, kiuchumi, kiutamaduni na siyo...
22 Reactions
63 Replies
4K Views
With the US election campaign season in full swing since the beginning of the year, a topic often discussed has been the “Establishment” and the rise of candidates who are outside the...
2 Reactions
29 Replies
4K Views
Hivi Putin ipo siku ataweza kujibu nini kilipelekea asababishe maafa kwa vijana wa nchi ya Urusi???
3 Reactions
5 Replies
927 Views
Katika makubaliano ya kusitisha uasi wa kundi la Wagner uliofanyika katikati ya mwezi uliopita ilitajwa kiongozi wa kundi hilo angekaa uhamishoni nchini Belarusi. Kiongozi wa Belarusi,Lukashenko...
3 Reactions
5 Replies
1K Views
Msimamo wa Putin unafahamika: Msamaha unawezekana ila si kwa MSALITI!! Hii sura huenda isionekane tena baada ya Special military operation in ukraine! Msaliti ni mtu aliyeaminiwa, aliyetendewa...
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Kwa mtu mtu mwenye msimamo Kama yeye na uelewa mpana asingeweza kukubali kirahisi hivyo kufikia makubaliano tata. Ilichokifanya Urusi ni kuongea na watu wa karibu wamdhibiti kisha wampeleke...
8 Reactions
34 Replies
4K Views
Kinshasa ya miaka 1980 ambayo tuliona kwenye filamu ya papa wemba la vie est belle Na kinshasa ya leo hakuna kilicho badirika zaidi ya watu na kuongeza badhi ya barabara tu katikati ya mji...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Siku tatu zilizopita chombo cha submersible kimepotea ndani ya maji katika bahari ya Atlantic, ndani yake kuna watu 5 wote wanaume. Chombo hiki kinaweza kuzama mpaka umbali wa mita 3,800 chini ya...
39 Reactions
289 Replies
31K Views
Kwa mujibu wa Wanasiasa wa Upinzani Nchini Senegal, wamesema Kiongozi huyo ameachana na mpango baada ya kuwepo kwa shinikizo la kumpinga pamoja na maandamano yaliyoitishwa Nchini kote. Rais...
1 Reactions
8 Replies
967 Views
Salwan Momika, anayesemekana kuwa mzaliwa wa Iraq anayeishi Sweden, alichoma moto nakala Quran mbele ya msikiti mkuu wa Stockholm siku ya Jumatano. Mataifa ya Mashariki ya Kati yakiwemo Iraq...
19 Reactions
239 Replies
16K Views
Wahamiaji kutoka Kusini mwa Jangwa la Sahara wameshambuliwa katika Mji wa Sfax huku zaidi ya 10 wakiripotiwa kujeruhiwa wakiwemo Wanawake na Watoto. Machafuko hayo ya kulipiza kisasi yamechochewa...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Back
Top Bottom