Wataalam huru wa Umoja wa Mataifa wamesema jeshi la Rwanda lilihusika kwenye ‘operesheni za kijeshi‘ dhidi ya jeshi la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo katika maeneo yanayokumbwa na machafuko...
Marekani ndiye Super Power halisi katika dunia hii, Marekani amekomesha Utumwa, Marekani anapambana na Ugaidi duniani, Marekani anatetea Demokrasia na Uhuru wa maoni kwa kila mtu, Marekani...
Abuja, Nigeria - Adeola Ehi alikuwa anatazamia kumpeleka bintiye mwenye umri wa miaka miwili nyumbani kukutana na babu yake kwa mara ya kwanza Krismasi hii. Lakini maombi kwa matumizi ya kaya...
Hawa jamaa sijui huvuta bangi ya aina gani, eti hawana historia au desturi ya kuingilia mambo ya nchi za watu, ilhali kule Ukraine wanaiba hadi ardhi.....
Russia has said it is invariably...
Wizara ya Mambo ya Nje ya Korea Kusini imesema inalaani hatua ya Korea Kaskazini kupeleka silaha kwa kampuni binafsi ya kijeshi ya Urusi ya Wagner Group.
Wizara hiyo imesema leo pia inaunga...
Patriot missile air defense za gharama kubwa, Saudi Arabia akazishobokea kazinunua za kutosha, akadhani yuko salama!! Kilichotokea visima vyake vililipuliwa na drones za bei chee huku Patriot...
Rais wa Ukraine,Volodmiry Zelenskyy amewasiri nchini mwake baada ya Kumaliza ziara yake nchini Marekani. Ziara ya Zelenskyy ilimkutanisha na Rais wa Marekani Joe Biden ambapo alifanya mazungumzo...
Hivi mbona Marusi sio kama wazungu wengine, ujamaa husababisha watu wanaishi kama mazombi ya kupelekeshwa na serikali, mtu mmoja kwa uchizi wake ameingiza nchi kwenye vita visivyokua na tija...
Hizi ni hatua nzuri kuelekea kupata amani ya kudumu DRC.
Feared Congolese rebel group M23 on Friday agreed to withdraw from its positions in Kibumba, 20 kilometres from Goma in the eastern...
Serikali ya Rwanda inaendelea kukabiliwa na shinkizo la kimataifa, kwa shutuma za kutoa msaada wa kijeshi kwa kundi la waasi la M23 linalopigana na wanajeshi wa serikali mashariki mwa Jamhuri ya...
Klaus schwab wef 1024x538 1
There are two ways to build communism.
And don’t take the “it can never be done, Nobody has ever succeeded’ road. History doesn’t matter to the people who are building...
List of Angolan millionaires who have been granted amnesty to return stolen wealthy which they had hidden in foreign countries,the Goverment is working with the countries where these monies for...
Ghana ni Taifa namba mmoja mzalishaji wa dhahabu Africa. Ni mojawapo ya wazilishaji wakubwa wa mafuta Africa na pia ni mojawapo ya wazalishaji wakubwa zaidi wa Cocoa duniani.
Kwa sasa uchumi wao...
Supapawa anazidi kutia huruma, amesaidiwa na Syria, Iran, Korea Kaskazini, wafungwa kwenye gereza zake wakiwemo baadhi ya Waafrika, ameokoteza hadi wanywa gongo mtaani ila bado anapigwa tu...
Mashirika ya Serikali yameanza kupiga marufuku matumizi ya huduma maarufu ya mitandao ya kijamii ya TikTok kwenye vifaa vinavyodhibitiwa na serikali kwa kuhofia kwamba China inaweza kuitumia...
Korea kaskazini imekana kuwa haimpi mrusi siraha wala haina mpango huo baada ya ripoti ya marekani kuwa korea ambaye ni mshirika wa karibu wa urusi imeombwa na urusi kumpa siraha.
=========...
Akiwahutubia wana usalama, amesema ngoma ni ngumu sana pale Donetsk na Lugansk, yaani huyu jamaa ni kama huvuta bangi, nakumbuka alipompa Zelensky masaa 24 aihame nchi, leo analia lia...
Na...
Kwa mara ya mwanzo tangu vita vianze raisi Zelensky wa Ukraine ameondoka nchini mwake kuelekea Washington ili kukutana na Rais Biden.
Huku safari ikiwa imeiva nchi nzima ilisikika ving'ora...
Super power anafundishwa jinsi ya ku hit Target. Hii ni baada ya mashambulizi ya Russia kwenye soft target nchini Ukraine kupungua wakambembe wazee wakazi wameona watoe darasa kidogo.
taarifa ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.