Sikiliza huu wimbo huu wa Mbaraka Mwinshehe, ambao ni ujumbe murua kwa Putin katika hili suala la vita na Ukraine
Hiloo oooh,
Ulijidai wewe mbabe sana aah,
Leo umepigwa na kijana mdogo
Aibu...
Russia invaded Ukraine's Crimean Peninsula in February 2014 amid the deadliest days of the EuroMaidan Revolution that eventually ousted pro-Russian ex-President Viktor Yanukovych.
While...
Rais Putin wa Urusi ameuponda mfumo wa ulinzi wa anga wa marekani ambao utapelekwa ukraine. Amesema ni mfumo wa kizamani na mwarobaini wake upo. Asema hauwezi hata kuufikia mfumo wa S300 wa Urusi...
Bunge la seneti la Marekani limepitisha sheria kwa kauli moja kutoka vyama vyote viwili vya Democrats na Republicans kuruhusu mali za matajiri mabwenyenye wa Russia maarufu kama "Oligarchs"...
Uongozi huo wa Afghanistan umedai kuwa sababu za kufanya hivyo ni kutokana na mavazi wanayovaa katika taasisi hizo kutozingatia maadili yao.
Katazo hilo ambalo limekuja siku chache baada ya...
Utawala wa Taliban Nchini Afghanistan umeamuru kupiga marufuku kwa muda usiojulikana elimu ya chuo kikuu kwa wanawake wa nchi hiyo.
Taarifa Iliyo Tolewa na wizara ya elimu ya juu ilisema katika...
Mtu aliyejihami kwa bunduki amefyatua risasi katikati mwa Paris na kuwauwa watu wawili na kuwajeruhi wengine wanne.
Shambulio hilo lilifanyika karibu na kituo cha Gare de l'Est kituo cha...
Bunge la Wawakilishi la Marekani limeidhinisha kiasi Cha $45B kwa Msaada wa kijeshi na kiutu kwa Ukraine ili kuendelea kupambana na uvamizi wa Urusi. Fedha hizo zinaanza kutumika mwezi November...
Mpishi maarufu kutoka Uturuki Nusret Gokce amewatia kizunguzungu viongozi wa FIFA kwa kumkuta katika ya uwanja huko LUSAIL siku ya mechi ya finali wiki iliyopita.. Hatimae wakati wa kutangzwa...
Mimi niliacha kufungulia kusikiliza redio takribani miaka minne iliyopita. Mara nyingi huwa nasikiliza redio mahali ambapo imefunguliwa na sina uwezo wa kutosikiliza, mfano kwenye usafiri wa umma...
Elon Musk amesema atajiuzulu kama Afisa Mtendaji Mkuu wa Twitter atakapompata mtu "Mpuuzi" anayetosha kuchukua kazi hiyo.
Bilionea huyo aliahidi mapema kutii matokeo ya kura ya maoni ya Twitter...
Akitoa salamu zake wakati wa kusherekea Sikukuu ya Krisimasi amesema hali hiyo ndiyo inachafua Dunia, kicha ya kutotaja kwa majina lakini inaaminika alikuwa akizungumia vita inayoendelea kati ya...
Johari Mugisha, amejifungua watoto sita nchini Burundi leo baada ya kufanyiwa upasuaji(c-section). Watatu wa kiume na watatu wa kike. Wote mama na watoto wanaendelea vizuri.
Ijumaa iliyopita...
Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky amesema raia milioni 10 wa Ukraine hawana umeme baada ya mashambulio mapya ya makombora yaliyofanywa na Urusi.
Takriban watu saba waliuawa katika mashambulizi...
Mrusi bao anajaribisha bahati, hizi drones zimeishiwa umuhimu wake, wataalam walishazisoma na kuja na mbinu za kuzishusha....zimepigwa tisa...takbir
Nine Iranian-made Shahed drones were shot down...
Zipo taarifa za chini chini kwamba Rwanda imewataka mabalozi wa USA,UK, Belgium & France kuondoka Kigali ndani ya masaa 72.
Kama Rwanda imefikia hatua ya kuwatimua wafadhili Wakuu wa budget yake...
Serikali ya Kijeshi ya Nchi hiyo imemtaja kiongozi huyo wa Umoja wa Mataifa, Barbara Manzi kuwa ni mtu ambaye hatakiwi kubaki Nchini humo
Waziri wa Mambo ya Nje, Olivia Rouamba amesema tamko la...
Hatimaye Marekani imeamua kuipa Ukraine ulinzi wa anga "Patriot Missile Defense System". Kwa wasiojua wanaweza kudhani kuwa hizi ni silaha za ajabu sana na ulinzi wake dhidi ya mashambulizi ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.