International Forum

News and Stories from rest of the World
Salaamu zenu wadau.. Kiukweli Hali ya maisha ya ndugu zetu wa Afghanistan ni mbaya,Dunia yote kwa sasa inawawahurumia na kuwajali watu wa Ukraine pekee ilhali imewatelekeza Wa Afghanistan...
1 Reactions
10 Replies
743 Views
Waziri Mkuu, Kiril Petkov amesema atamfuta kazi Waziri wa Ulinzi, Stefan Yanev baada ya Kiongozi huyo kusita kuelezea uvamizi wa Urusi dhidi ya #Ukraine kama vita akisisitiza "Waziri wangu wa...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Kwa mujibu wa Putin, NATO ni kikundi cha magaidi tu. NATO ni Umoja wa nchi za Ulaya(ikijumuisha na Marekani) ambazo ndizo zilizo mstari wa mbele kushutumu wengine kwa Ugaidi. Hii ni uthibitisho...
4 Reactions
11 Replies
1K Views
Februari 28, 2022, kituo kikuu cha wanahabari cha Michezo ya Olimpiki ya Majira ya baridi ya Walemavu ya Beijing kilianza kazi rasmi baada ya kukamilisha mabadiliko kutoka Michezo ya Olimpiki ya...
0 Reactions
0 Replies
482 Views
Wakati Michezo ya Olimpiki ya Walemavu ya Majira ya Baridi ya Beijing ikikaribia, mitaa ya Beijing imeanza kuwa na mazingira ya shamrashamra kwa michezo hiyo. Kazi mbalimbali za maandalizi ya...
0 Reactions
0 Replies
377 Views
Shirika la Mpango wa Chakula la Umoja wa Mataifa (WFP) limeonya kuwa eneo la Pembe ya Afrika linakabiliwa na ukame mbaya zaidi tangu mwaka 1981, na takriban watu milioni 13 wanakumbwa na njaa...
0 Reactions
0 Replies
475 Views
Jamani, Dear all members of the home of great thinkers, Naomba ufafanuzi toka kwa watalaamu wa maswala ya Political Science au yeyote mwana JF kuhusu kauli za Rais Wa Libya Muamar Gadafi...
0 Reactions
99 Replies
13K Views
Marufuku mpya ya kutotoka nje ya Afghanistan ilitolewa na msemaji wa serikali ya Taliban Zabihullah Mujahid, akisema zuio hilo linalenga kuwakinga waafghanistan na ugumu wa maisha wakiwa nje ya...
0 Reactions
0 Replies
692 Views
Interesting observation! Libyan "humanitarian" war creates humanitarian crisis 13 May 2011 By Glenn Ford Black Agenda Report Under the conditions of a civil war that has been nurtured, armed...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Mkutano wa Kitaifa Nchini Burkina Faso umepitisha Mkataba utakaoruhusu Utawala wa Kijeshi kuongoza kipindi cha mpito cha miaka mitatu. Mkutano huo uliidhinisha Hati ambayo baadaye ilisainiwa na...
0 Reactions
0 Replies
549 Views
South Africa: JULIUS MALEMA WRITES When NATO murdered Muammar Gaddafi, Western media called it "Military intervention" and they no longer bother to report that the evil military action led by...
21 Reactions
45 Replies
3K Views
Marekani imeuonya Umoja wa Mataifa kuwa ina habari kwamba Urusi ina orodha ya raia wa Ukraine wanaopaswa kuuawa ama kuweka kwenye kambi za mateso iwapo uvamizi dhidi ya Ukraine utatokea. Haya ni...
1 Reactions
18 Replies
2K Views
Taifa kubwa ulimwenguni kama Russia nilijua itawachukua siku 2 tu kuwazima Ukraine lakini ngoma ngumu, sasa wanapiga wanawake kwa watoto wanapiga makombora kwenye majengo kama hawaeleweki. Kibaya...
20 Reactions
158 Replies
10K Views
Naomba niipongeze seriakali ya Tanzania kwa kujitolea kupamabana na kuibuka kwa Cult mbali mbali. 1. Kwanza, kwa sasa mitume na manabii wana chombo Chao ambacho kitawasimamia na kudhibiti utapeli...
1 Reactions
5 Replies
811 Views
Mazungumzo kati ya wawakilishi wa Ukraine na Urusi kuhusu uvamizi Ukraine yameanza nchini Belarus, kabla ya mkutano kuanza, waandishi wa habari wametolewa nje. Mwenyeji wa wageni hao ni Waziri wa...
2 Reactions
12 Replies
1K Views
Mtandao wa YouTube unao milikiwa na Google umetoa tahadhari kwa wamiliki wa vituo vya YouTube watakao chapisha Maudhui yanayo Sababisha Taharuki Kati ya Russia na Ukraine. Mtandao huo utaziondoa...
3 Reactions
43 Replies
2K Views
Naona Ukraine hapa kamchagua Roman Abramovic sababu zinaiva na Putini. --- Russian billionaire businessman Roman Abramovich, who owns Premier League football club Chelsea, has accepted a Ukrainian...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Kulingana na vuguvugu la Russia na Ukraine Mtandao wa YouTube unao milikiwa na Google umesitiza Uvunaji mapato kwenye nchi ya Urusi kipindi hiki mpaka hapo badae itakapojiridhisha. Kulingana na...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
UTANGULIZI Mambo mengi sana yameongelewa, lakini kuna yaliyofichika nyuma ya pazia. Unapoangalia mgogoro wa Ukraine na kuuchambua hebu tujitahidi kuzingatia haya mambo muhimu yafuatayo. Tuzingatie...
13 Reactions
27 Replies
3K Views
China imetangaza kuiunga mkono Russia, huku ikiilaumu Marekani kwa kusababisha mzozo wa Ukraine na hata kuvamiwa kwa Ukraine (na Urusi). Msemaji wa wizara ya mambo ya nje wa China amesema...
20 Reactions
86 Replies
8K Views
Back
Top Bottom