Wanaojua dalili hizi ni za ugonjwa gani wanisaidie na tiba yake ni nini?
DALILI
- Kutokwa na uchafu kama uji hata akivua chupi anaukuta.
- Kuhisi maumivu wakati wa sex kisha muwasho baada ya...
Habari ndugu zangu. Naomba kujulishwa wapi naweza kupima DNA kwa gharama na mashart rahisi.
Maana nimefatilia kwa Mkemia Mkuu gharama ni nafuu, lakini mashart ni magumu mno.
Habar wadau,
Kuna wakati ukifika mtu unang'oa jino una miaka lets say 32. Je, upi ni uamuzi sahihi?
Nimefuatilia nimesikia kuwa jino pekee lunaloweza kuota tena ni deduced teeth na sio permanent...
Ukisikia kama kuna pepo la magonjwa linampango wa kukuandama nakukuangamiza nadhani ndio huku.....
Wakuu na madaktari wa jf nawapa heshima zenu wasalaam....niende kwenye mada...
Takribani wiki...
Jamuhuri ya muungano wa Tanzania?
Wakuu hili ni tatizo au ni afya njema, nipo na kama miezi 7 au na zaid nagombana na wife anasema usiku namuwaza mubebe wa nje ndo maan bwan dullah bichwa wazi...
Ndugu zangu wapendwa nawasalimu wote! Niliamua kwenda kwenye moja ya hospitali zetu hapa jijini kwa ajili ya kuangalia afya! Nilitaka kujuwa afya yangu kwa ujumla kuanzia pressure,sukari,ukimwi na...
Hello waungwana wa JF.
Naombeni kuuliza kama kuna mtu aliyetumia dawa ya kutibu kisukari iwe ya hospital au mitishamba naomba tuwasiliane please ni kisukari type 2 boss.
Sio wale Akina mzizi...
Habari wanaJF,
Mdogo wangu anatatizo la masikio kumuuma kwa ndani, naomba msaada wa hospital nzuri hapa Dar es Salaam ambayo naweza kumpeleka akatibiwa vizuri.
Msaada wenu ni muhimu
Asante
Habarini wana JF naomba msaada kwa waliofanikiwa kupona madhara yanayosababishwa na upigaji wa punyeto kwa mdaa mrefuu mbinu walizo tumia matibabu na dawa walizotumia mpaka kurudisha uwezo wao wa...
Wakazi wengi wa Dar es Salaam wanapenda kula kula vyakula vya njiani, vyakula vya kukaanga kama kachori kuku supu na chips.
Hivi vyakula ni hatari kwa afya yako ifike mahali watanzania tujionee...
Habarini wakuu,
Mimi naombeni msaada bao moja nachukua Masaa mawili hadi matatu na nikishapiga chali.
kuna muda mwingine naweza nisimalize kabisa nikaahirisha mechi.
Je, huu niugonjwa ama ni...
Habari wakuu, msaada wenu naaangamia.
Nina tatizo la thyroids ambayo imepelekea niwe na fatique uchovu wa mwili muda mrefu, kukosa nguvu za utendaji kazi na kuishiwi hamu ya tendo la ndoa kabisa...
Yaan hata kupika nimeshindwa....mambo siyo mambo... Kichwa kinauma,naona Kuna dalili ya kikohozi.....wanaosema Bora uumwe mafua kuliko Nini sijui....ndugu yangu yanakuwa hayajakukamata aisee.🤧🥵...
Wakuu naomba kwa anaefahamu dawa hasa za asili au zozote ambazo zinasaidia mfupa kuunga haraka. Kama hazipo pia naomba nijulishwe au kama kuna njia yoyote inayoweza kutumika kusaidia hili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.