Habar.
Nasumbuliwa na shida ya mwili kukosa nguvu hasa mikono na miguu, pia nahis ganzi miguuni na mikonon pamoja na maumivu nikikunja na kukunjua viganja vya mikono.
Je hizi ni dalili za nn?
Jamani tumsaidie mwenzetu.
Ana mtoto wa miezi miwili, sasa leo kafanya mapenz na mke wake na kamwagia ndani. Hivi ataweza kupata mimba? Na je akitumia P2 kuzuia mimba haitakuwa na madhara kwa...
Indonesia imesitisha uuzaji wa Dawa za kimiminika za Kutibu kifua kufuatia vifo vya karibu Watoto 99 huku kukiwa na visa 206 vya majeraha ya papo hapo ya figo kwa watoto, wengi wao wakiwa chini ya...
Habarini Wakuu..
niende moja kwa moja kwenye hiki kisa kinachoumiza akili yangu..
Mwaka 2011 nikiwa kidato cha kwanza pale shuleni kwetu kulikuwa na mwanafunz wa kike wa kidato cha pili mzuri...
A guy is considered to have a low sperm remember if he has fewer than 39 million sperm in line with ejaculation. A low sperm matter is also referred to as oligospermia, remember the fact that what...
Naombanei mnishauri kuhusu hii hali
Iko hivi Nina mtoto wa miaka minne ,ila anapata mafua mara kwa mara na Kila mafua yakimshika yanaambatana na joto Kali sana kati ya nyuzi joto 38 hadi 40 hivyo...
Ujauzito wa mwanamke hudumu kwa walau siku 280 tangu utungwe hadi siku ya kujifungua.
Ni muda mzuri unaopaswa kuchukuliwa kama sehemu ya maandalizi muhimu kwa mwanamke kabla ya kuuleta uhai mpya...
Ameandika Daktari Paul Masua kupitia Ukurasa wake wa Instagram
Kuleni Vyakula hivi, vitawaepusha na
upofu ukubwani; Sukumawiki, Spinach, Mayai,
Mahindi ya kuchemsha, Broccoli na Machungwa.
Je...
BAADHI YA MASWALI YALIYOULIZWA NA WADAU
Ndugu yangu amepata matatizo haya
1- Lips na ile nyama ya kinywa inakuwa nyekundu haina weupe ila ni nyekundu kama mtu aliyeungua na chai mdomoni.
2-...
Habari zenu ndugu zangu,
Mimi ni kijana kwasasa nina umri wa miaka 24
Nina tatizo la tumbo kujaa mapema.
Yaani sasa hivi nikila kitu chochote au nikinwa maji nahisi utumbo wote umejaa na kuna...
Habari
Na ndugu yangu hata akitoka kuoga ile kubadilisha nguo tayari harufu nyumba nzima ya jasho kwenye kwenye kwapa.
Nadhani ana tatizo la kutoa jasho sana ila lina harufu kali haswa, ni...
Sigara huzalisha kemikali za uraibu (Nicotine) ambazo husababisha maradhi yanayo husisha mifumo mbalimbali ya mwili wa binadamu iliwemo ile ya damu, moyo na upumuaji. Pia, ni chanzo cha aina...
Chuchu bandia zimekuwa zinatumika sana katika kurahisisha uleaji wa watoto, hasa wale wakorofi.
Huwasaidia wazazi kupata uhuru kidogo wa kufanya kazi zingine kama kupika, usafi wa nyumba au...
*JITIBU NYUMBANI KWAKO*
*KIUNGULIA*
[emoji116][emoji116]
Aliyepatwa na kiungulia ale nyanya 1 asubuhi na jioni1 kitaondoka In shaa Allah
*KUZUIA KUHARISHA*
[emoji116][emoji116]...
Habari za leo wakuu, naomba kujuzwa
inakuwaje mpaka mtu anashindwa kutimiza lengo lake la kujiua?
Je ni kusema kuwa sumu anayotumia haina nguvu au ni kwamba muda wake haujafika?
Naombeni majibu...
Wanajf salaam,
Mimi ni binti wa miaka 24 nimeanza period tarehe 4 na kumaliza tarehe 6 mwezi huu nisex lini ili nipate mimba maana natamani sana mtoto.
Natanguliza shukrani
Habar wakuu tangu juzi nimekua namaumivu ya Koo upande wakulia wakati wakumeza mate au kugeuza shingo sasjua hii Itakua nin
Sent from my Infinix X656 using JamiiForums mobile app
Habar wakuu nasumbuliwa namaumivu makali yakoo nkiwa nimelala usingizini usiku woote Hadi kunakucha naskia maumivu nkiamka yanaaza pungua ....msaada wenu wa mawazo
Sent from my Infinix X656 using...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.