Wakuu habari,
Naomba masaada mwenye kujua tiba mbadala au ya kisasa ya masikio kulia kama kengele au miluzi.
Janga hili linanitesa sana nashindwa kusikia vizuri.
Utengenezaji wa mbegu za kiume katika kiwanda cha kutengenezea mbegu katika mwili wa mwanaume (mapumbu) huchukua muda mrefu kuliko wengi wanavyodhani.
Mfumo hutengeneza sperms kila siku, lakini...
Salaam wataalamu...
Nahitaji msaada ndugu zangu, Mwanangu wa kike aliwahi kulazwa Mnyamala kwa Pneumonia na anaemia akiwa na miezi 5 takriban.
Akatibiwa akapona ila hili TATIZO LA KICHWA KUWA...
Tatizo la watoto kuzaliwa na vichwa vikubwa, au kuwa na mgongo wazi husababishwa na upungufu wa Folic acids anaokuwa nao mama mjamzito.
Mwongozo wa CDC unashauri kila mwanamke anayepanga kushika...
Nilipima mwaka jana mwezi Septemba nikakutwa na Amoeba nikapewa drox nikainywa dozi ikaisha.
Jumatano ya juzi nikapima tena nikakutwa na Amoeba wengi mno. Daktari akanipa Metronidazole (flajin)...
Kwa mujibu wa utafiti uliochapishwa Oktoba 31, 2022 na taasisi ya JAMA Network Open inaonesha Watoto walioathiriwa na kiasi kidogo cha Kafeini kabla ya kuzaliwa wamebainika kwa wastani kuwa wafupi...
BAADHI YA WADAU WENYE TATIZO HILI
Nisaidieni dawa ya kuniwezesha kupata choo cha kawaida, maana ni miaka sasa imepita nimekuwa na hili tatizo la kuwa na choo kigumu kiasi kwamba nasikia haja...
Wakuu habari za mchana!
Naamini huku katika jukwaa letu pendwa kuna watu wenye uweledi na ufahamu mkubwa, naomba mnijibu swali langu hili.
"Nini kinasababisha mtoto kuzaliwa na upofu? Je, kuna...
Msaada jamani ninamtoto mmoja kwa sasa anamiaka mitatu najitahidi sana kwenye tendo la ndoa natafuta wapili lakini wapi hata tukitegeshea siku za hatari wapi, tatizo lipo wapi hapa anayejua dawa...
Habari ya wakati huu wadau wa afya jukwaa, naomba kujuzwa pia kushauriwa juu la hili tatizo,
Mke wangu ikotokea ana mawazo au stress sana akitulia sehem moja hususan kalala huanza kugeuza shingo...
Kwa muda mrefu sasa nimekuwa nikisumbuliwa na kichomi na nimeshatumia dawa nyingi sana za hospitali lakini bado tatizo liko pale pale. Naomba mnisaidie dawa itakayonisaidia kuondokana na tatizo hili.
Habari zenu JF doctors, naumwa sana nikikojoa mkojo hautoki, wote unakua kama unabaki ndani ya kibofu halafu napata maumivu makali sana.
Nimeenda hospitali wameniambia nina U.T.I, wameniandikia...
Wakuu nauliza nawezaje kutengeneza juis ya mboga za majani bila kuweka maji nakwakitumia mashine gani
Sent from my Infinix X656 using JamiiForums mobile app
Kitunguu swaumu tangu kale kimekuwa kikijulikana kama 'dawa ya kushangaza' na kutumiwa na watu wengi katika kutibu mafua na influenza. Miongoni mwa faida za kitunguu swaumu ni kuzuia kupatwa na...
hii ni kabla
Habari za siku nyingi wakuu na members wore wa JF.
Ndugu wana JF wezangu tarehe 25 mwezi wa sita mwaka huu, wife alijifungua mtoto wa kilo 6 na mtoto akawa na tatizo la ugonjwa wa...
Na Daktari Augustine Rukoma
Miaka ya nyuma iliaminika kuwa ugonjwa wa kuoza kwa meno si wa kuambukiza; lakini tafiti nyingi zilizofanyika zimedhihirisha ni ugonjwa wa...
Habari ndugu wote wa JF,
Baada ya kujisikia mwili na viungo mbalimbali vikiuma sana, leo nimeenda kufanya vipimo mbalimbali kujua tatizo ni nini. Na haya ndio majibu ambayo nimetoka nayo maabara...
Habari wakuu,
Tatizo ni la muda mrefu kidogo.. tangu 2020, ninakojoa sana muda wa asubuhi kabla ya saa 5 nakuwa nishakojoa zaidi ya mara tatu.. na usiku naweza kuamka hata mara 7, mchana huwa si...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.