Nimejaa hasira asubuhi asubuhi yani wakuu,
Naombeni ushauri japo naweza kuchukua maamuzi mengine.
Huyu mwanamke nimefahamiana nae Toka mwezi wa 4 mwaka huu na alikua anaishi.mbali sana na mimi...
kumekua na mafundisho ya jinsi ya kupanga kupata mtoto mwenye jinsia ya kike au kiume,
Mojawapo ya theory kubwa ni ile inayosema mwanaume akikutana na mwanamke kuanzia siku ya 11-13 tangu...
Madakari na wataalamu wangu naomba kufamishwa gharama za matibabu kama ifuatavyo:-
1. Gharama ya kipimo cha saratani ya matiti?
2. Gharama ya Dose ya saratani ya matiti?
3. Gharama ya...
Habari ndugu, naomba niende kwenye mada.
Mnamo mwezi wa pili tuliamua kuanza kutumia njia za uzazi wa mpango mimi na mwenza wangu, ambapo aliwekewa kijiti kimoja, lakini ilipofikia mwezi wa tano...
Nimekuwa nikisumbuliwa na matatizo ya tumbo sasa
Ambayo sijui kama ni tatizo gani
Nilikwenda hospitali nikambia kuwa sina tatizo lolote tumboni nipo sawa
Ila na shangaa sasa hivi naogopa kula kitu...
Habari zenu wakubwa na wataalam wa afya. Nisaidieni hapa, niko kwenye mahusiano na binti mwenye huu ugonjwa wa thyroid na tayari uvimbe imeonekana shingoni kwa pande zote mbili, sasa nimekuwa...
Ugonjwa wa Bipolar disorder umekuwa ukichukuliwa kama ni wa watu Fulani tu kitu ambacho si sahihi humkuta yeyote
Hapa duniani hata uwe hauna Ugonjwa lazima uwe na kakitu katakakokuwa...
Wakuu na wataalam wa Ngozi naombeni msaada.
Nina miaka 26, nimezaliwa 1992. Tatizo langu ni uso wangu kujaa mikunjo hasa mikunjo ya ndita kwenye paji la uso.
Sijajua tatizo ninini, yani nikikaa...
Habari ndugu na jamaa naomba msaada jinsi ya kuzalisha / kuimarisha homoni ya Testosterone kwa vyakula /dawa za hospital anae faham zaidi mambo haya anijuze vizuri nawasilisha....
Kuna njia nyingi za kuzuia ujauzito kwa wanawake kati ya zifuatazo:
Kutenganisha mirija ya uzazi
Kuepuka ngono
Kutumia kalenda
Njiti
Vidonge
Condom
Kwa wataalamu wa maswala ya uzazi njia ipi...
Wakuu hili swali nauliza kwa wema kabisa.
Kuna kiwango kukubwa cha wagonjwa wa Cancer kwa upande wa kando kando ya Ziwa Victoria kuliko maeneo mengine nchini.
Mtakumbuka hata Mama Samia...
Habari wakuu kuna huu ugonjwa unatesa wa vidonda vya tumbo nimetumia dawa za kila aina nahisi kuchoka,
Naombeni msaada wa kujua kwa hapa Tanzania kuna huduma za upasuaji wa vidonda vya...
Kumbemenda mtoto ni mtoto kutokua vizuri ikidhaniwa kutokea kutokana na mama anayenyonyesha mtoto kukutana kimapenzi na mwenzi wake hasa kipindi mtoto bado ni mchanga na ananyonyeshwa.
Hii ni...
Wakuu habari ya jion Leo jion maeneo ya site nimepata ajali nimeangukiwa na kitu kizito kwenye dole gumba hivyo sasa nachechemea nauliza ni IPi Sawa nzuri ya kuchua Hicho kidole
Habari wadau
Nina tatizo la kufanya mapenzi na mwanamke kwa muda mrefu sana bila kutoa bao au shahawa. Hii hali inanitesa sana kwani siwezi kumkojolea mwanamke.
Nilishawahi kwenda hospital...
Kuna ndugu yangu ana tatizo yaani ana maumivu makali kuanzia sehemu ya chini ya shingo upande mmoja kuja begani mpaka kwenye mkono(ni sehemu ndogo tu) valianza kusikia maumivu kidogo kama wiki...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.