Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!
Habari wana jf , Kwa anayejua anaweza kunisaidia,. Kuna mtoto wa dada yangu ni mtoto wa kiume kafikisha miezi 5 sasa . Lakini amekataa kukaa, ukijaribu kumkalisha kwa njia mbali mbali lakini...
1 Reactions
5 Replies
966 Views
Shirika la Afya Duniani (WHO) limesema Mamlaka za Afya nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo zimeanza uchunguzi ili kubaini sababu za kifo cha mwanamke kutoka mji wa Beni anayedhaniwa kufariki...
1 Reactions
1 Replies
394 Views
Habari zenu wana jamii. Bila kuwachosha naomba niende moja kwa moja kwenye mada. Mimi ni jinsia Me nimekuwa nasumbuliwa na muwasho sehem za siri hasa kwenye uume na sehem za mapajani takriban wiki...
3 Reactions
14 Replies
5K Views
Wana JF, kuna ndugu yangu yaani yeye asipokunywa chai kabla hajalala basi atakesha akihesabu 'kenchi' na kuna siku alikosa chai akanywa kahawa na matokeo yake 'alikesha', je, hali hiyo ya kutopata...
4 Reactions
800 Replies
180K Views
Dr Sebi alizaliwa Honduras, alifanikiwa kutibu AIDS, cancer, kisukari, lupus na kifafa. Miaka ya 1980 alichapisha tangazo kwenye gazeti la New York Post "AIDS has been cured by USHA Research...
31 Reactions
84 Replies
24K Views
Wakuu amjambo Ningependa kujua nikwamba kila mwanamke hutembelea calendar hii ya siku za hatari inayoanzia kwenye tarehe 11 adi tareh 18 ? Au kila mwanamke Ana yakwake maana nais kuna manzi...
3 Reactions
20 Replies
2K Views
Si jambo la kustaajabisha kumkuta mtu yupo kwenye mfululizo wa kutokula muda mrefu kwa kile wengine wanakieleza wapo kwenye ‘diet’ ya kupunguza mwili. Mfumo huu wa maisha unaendelea kushamiri...
2 Reactions
0 Replies
2K Views
Watalamu habari zenu Naomba kujuzwa ni faida gani anapata Mtu anayekwenda sauna Je iyo sauna haina madhara kiafya? Kwa jiji la Dar izo sauna zinapatikana wapi?
1 Reactions
7 Replies
4K Views
Salaam.. Ndugu zangu nahitaji msaada wenu, je nitapata vipi bima kwaajiri ya mtoto mchanga kwaajiri ya matibabu ambayo anapata muhimbili? Na kwa wazoefu wa hili, iyo bima ina faida gani...
2 Reactions
38 Replies
2K Views
Wakuu, Shida ni hiyo maana nasumbuliwa na kizunguzungu mno, kila nikigoogle naambiwa Vertigo ambayo ni shida kwenye sikio maana sina balansi kabisa
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Wa salaam wana JF! Nadhani mko salama salmin kwa wale wagonjwa naomba kwa Mwenyezi Mungu awape nguvu wapone Ngoja niende kwenye mada husika kana kwamba kichwa cha habari hapo juu...
14 Reactions
45 Replies
10K Views
Wakuu katika hali yangu ya maisha, nina takriban miezi kadhaa huwa nakula mara 2 kwa siku, yaani chakula cha mchana nakula saa nne mfano (samaki na chapati 3, na juice) halafu nakuja kula jioni...
0 Reactions
13 Replies
752 Views
Habari wana JF. Naomba kufahamu madhara ya muda mfupi na mrefu katika mwili wa binadamu baada ya kufanya kipimo cha MRI-Scan. Natanguliza shukrani.
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Mpenzi wangu ana mimba yangu ya miezi miwili natamani sana mwanangu atakayezaliwa awe strong na mwenye akili nyingi pia sitaki mama yake apate matatizo ya uzazi. Nifanyeje ili mwanangu azaliwe...
4 Reactions
37 Replies
2K Views
Wakuu heshima kwenu. Naomba msaada wenu kuhusu matibabu sahihi ya ugonjwa wa akili na mahali yanapopatikana. Nina ndugu yangu alianza kusumbuliwa na ugonjwa huu tangu akiwa mdogo. Baada ya...
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Kutokana na mabadiliko makubwa ya sayansi na Teknolojia kumekuwa na ongezeko kubwa la madhara ya tokanayo na madawa, kemikali na mionzi hatari kwa binadamu. Maisha yetu ya sasa ni tofauti ya...
0 Reactions
0 Replies
318 Views
Nilipatwa na vidonda vya tumbo vilivyosababishwa na h. pylori, mwanzoni kabla ya kugundua tatizo nilihisi Nina tatizo la moyo, nilitumia pesa milioni na pointi kufanya vipimo mbalimbali kma umeme...
6 Reactions
63 Replies
6K Views
Nimeambiwa na marafiki zangu huku nilipo kwamba wanasikia maumivu ya moyo kwa mbali hili tatizo wizara ya afya iliangalie heart attack itawakumba wengi wenu.msukumo wa damu unapungua na...
1 Reactions
18 Replies
1K Views
Wakuu polen kwa majukum, Nimekuw nasumbuliwa na tonsils mara kwa mara maumiv shingon nashindw kula vizur,siwez kuongea coz napat maumiv, nmeenda pharmacy nimepew daw lakin sion kam zinaniletea...
2 Reactions
14 Replies
4K Views
Back
Top Bottom