Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!
Natumai nyoooote hamjambo kabisa, naomba niende moja kwa moja kwenye mada na mnieleweshe ndugu zangu! Nilienda Kigoma kumcheck bro yangu, nikakutana na huyu shem bhana, (bro hayupo kwa miezi...
2 Reactions
24 Replies
2K Views
Naombeni msaada wataalam.Ninapata maumivu ya kichwa na mabega kuanzia jioni ya saa kumi.sina homa ingawa naishi na kisukari kwa muda mrefu na kipo well controlled.Nimepima malaria sina,uwingi wa...
1 Reactions
2 Replies
414 Views
Asilimia 70 ya wagonjwa wanaopata matibabu katika kitengo cha Fiziotherapi Hospitali ya Rufani ya Kanda Mbeya, wanasumbuliwa na matatizo ya uti wa mgongo huku chanzo kikubwa kikitajwa ni kukaa kwa...
2 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari wana jamii na poleni na majukumu. Naomba ushauri kwa wanaojua hospitali nzuri kwa vipimo vya endoscopy na kwa gharama nzuri hapa Dar Es Salaam. Natanguliza asante.
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Waziri wa Afya Mhe. Ummy Mwalimu amesema kuwa Serikali imeondoa ulazima wa kuvaa barakoa isipokuwa pale inapobidi, mfano kwa wale wenye magojwa ya mfumo wa hewa na kwenye mikusanyiko ya ndani...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Mamlaka zinachunguza uhusiano wa dawa za paracetamol za kimiminika na makumi ya vifo vya watoto vinavyosababishwa na figo kushindwa kufanya kazi baada ya siku 3 hadi 5 za kutumia dawa hizo Ingawa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari wanajukwaa? Mke wangu mwenye umri wa miaka 26 aligundulika ana saratani ya matiti akaanza kupatiwa dozi za chemotherapy, amepata mizunguko 8 na hatimaye uvimbe uliokuwepo kwenye ziwa...
4 Reactions
26 Replies
3K Views
Mratibu wa Afya ya Kinywa na Meno Taifa kutoka Wizara ya Afya, Dk. Baraka Nzobo amesema kwa mwaka 2021, takriban wagonjwa 600 waligundulika kuwa na saratani za kinywa na meno. Dk. Nzobo...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari wanajamvi? Naomba kuuliza je ni salama kutumia Ac kwa mtoto mchanga? Majibu yenu tafadhari
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Majaribio yaliyofanyika kwa zaidi ya watoto 400 wa Afrika Magharibi ya chanjo hiyo yanaonyesha kuwa inatoa ulinzi wa hadi 80% kwa hadi miaka 2, dhidi ya #Malaria inayogharimu maisha ya takriban...
0 Reactions
0 Replies
379 Views
Chuo kikuu cha Oxford kimekamilisha jaribio la kwanza la uchunguzi wa kitabibu kuhusu ufanisi wa chanjo mpya ya ugonjwa wa Malaria iliyopewa jina la R21/Matrix-M. Kwa mujibu wa chapisho la...
0 Reactions
0 Replies
548 Views
Habari za wakati huu wana JF! Ni matumaini yangu kuwa mko wazima na bukheri wa afya. Naomba kuuliza , ni nini chanzo cha kutokwa na damu ukeni (menstrual bleeding) kwa muda mrefu bila kukoma...
0 Reactions
7 Replies
5K Views
Vipi hali zenu wakuu, kuna tatizo limemtokea brother, so nimeona nije hapa nitafute ufumbuzi wa tatizo kwa wale wanaofahamu aina hii ya tatizo. Ipo hivi, brother wangu ni mlaji wa pili pili...
3 Reactions
31 Replies
2K Views
Afya ya umma ni namna ya kulinda usalama na kuboresha afya ya wanajamii kupitia elimu, utungaji sera na utafiti wa kuzuia magonjwa na majeraha Afya ya Umma ni muhimu kwa kuwa inakuza ustawi wa...
0 Reactions
0 Replies
854 Views
Unasababishwa na Kirusi cha Polio kinachoambukizwa kutoka kwa mtu aliyeathirika kwenda kwa mwingine kwa kunywa/kula chakula au kinywaji kilichochafuliwa na kinyesi chenye vimelea vya Ugonjwa...
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Natafuta Daktari wa kumkodi kuna watu wawili wa Miaka 18 wanahitaji kutahiriwa. Aje na offer kila momja atagharimu bei gani. Nipo Dar es Salaam
2 Reactions
14 Replies
1K Views
1. Mazingira unayolala Wataalamu wanashauri mazingira ya mahali unapolala yawe ya Utulivu. Pia wanasisitiza kuepuka vinywaji vyenye Kafeini (Caffeine) kabla ya kulala. 2. Ratiba ya kulala...
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Habari za mchana naona vijana wengi wanakunywa huo mchusi nipo mlandizi tangu Jana hapa karibu na Stendi karibu na kituo cha mayangeyange wanafakamia michuzi. Mmoja wapo anasema unawapa maguvu ya...
0 Reactions
1 Replies
502 Views
Back
Top Bottom