Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!
Habari wakuu, Kama kichwa cha uzi kinavosomeka hapo juu, hili tatizo limeanza takribani miezi mitatu iliyopita. Ilitokea tu siku moja wakati wa kufanya tendo la ndoa nikawa nahisi maumivu, ila...
0 Reactions
66 Replies
87K Views
Habari, naomba kuuliza kwa mgonjwa aliyefanyiwa upasuaji na kidonda kutunga usaha anaweza kutumia antibiotic mf. Amoxlinclav na metronidazole ukakauka
0 Reactions
3 Replies
902 Views
Hivi kwa wale wenye uhitay wa hivi vitu je mmewahi kutumia juisi ya tembele kwa ajili ya nguvu za kiume aisee ni hatari hiyo kitu kama ujajaribu ebu leo nenda kajaribu utakuja niambia pia madhara...
1 Reactions
11 Replies
7K Views
Aisee, naomba kushare kitu... kuna mdada alikuwa jirani yangu tumekua na kucheza pamoja tukiwa watoto, tumesoma wote darasa moja primary school, secondary school tumesoma shule tofauti kwa vile...
4 Reactions
17 Replies
1K Views
Mabadiliko ya mzunguko wa hedhi husababishwa na nini. Je, ni kweli husababishwa kutokushika mimba? Naomba tiba yake
1 Reactions
11 Replies
8K Views
Habari za majukumu ndugu zangu. Mimi ni kijana wa miaka 19 ni mzaliwa wa mwanza ila kwasasa naishi pwani mlandizi nilikuja pwani mwaka juzi kuendeleza kipaji changu na nilijiunga na team ya...
1 Reactions
2 Replies
522 Views
SELIMUNDU (sickle cell) ni ugonjwa unaorithiwa kutoka kwa kizazi kimoja hadi kingine, hutokana na tatizo kwenye chembechembe nyekundu za damu. Ugonjwa huu unaendelea kuongezeka hapa nchini...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari? Naombeni mnisaidie dawa nzuri inayotibu kikohozi kwa haraka hata ndani ya siku 2 au 1, nmetoka kujifungua juzi kwa oparation sasa Jana usiku nimepatwa na kikohozi Cha ghafla nikikohoa...
1 Reactions
6 Replies
696 Views
Jamii inatakiwa kuendelea kupewa elimu juu ya ugonjwa wa Selimundu(Sickle Cell) kwa kuwa unatibika. Ripoti ya Tanzania Sickle Cell Disease Alliance (TANSCDA) iliyotolewa Desemba 2021 ulionesha...
0 Reactions
0 Replies
573 Views
Kuna ndugu yangu kaambiwa ana ugonjwa wa lymphoma. Ndio ugonjwa gani huu na unatibikaje. Tafadhali wataalamu naomba majibu yenu hapa na msaada.
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Mdogo wangu anaumwa sana tumbo na miguuu. Imevimba sana. Alikuwa mnywaji Pombe kali. Sasa kule Moshi walimwambia ni Tatizo la INI, wamemtibu kwa dawa Ila hamna mafanikio. Sasa amewasili Dar Jana...
0 Reactions
10 Replies
801 Views
Kwa yeyote anayejua Anijibu Tafadhari!! Ahsanteni Nyote!
1 Reactions
27 Replies
36K Views
  • Poll Poll
Kushusha Sukari Kienyeji Pole kwa wote wanaosumbuliwa na sukari iliyozidi kwenye damu (kisukari). Nimepata kusikia kwa watu fulani wakisimulia walivyofanikiwa kushusha sukari kwa haraka na kwa...
4 Reactions
39 Replies
13K Views
Leo nagawa maarifa haya madogo na huenda unayajua kakini kwa wasiojua na waliochoka na taabu za maudhi naaumivu aya Leo bakuletea jibu la haraka sana Songwa hutumika kama tunda tu tena la asili...
4 Reactions
38 Replies
6K Views
Wanajamii habari Kabla ya yote kama una NIDO, COWBELL au diary products yoyote hapo maskani kwako, tafadhali nenda katupe, Acha kunywa kama unakunywa, kama umeshakunywa tayare nenda katapike...
0 Reactions
17 Replies
3K Views
BAADHI YA MASWALI YALIYOULIZWA KUHUSU TATIZO HILI Nina mtoto mchanga mwenye umri wa miezi 4 ana tatizo la kutokupata haja kubwa. Tatizo hilo limeanza juzi, leo ni siku ya pili bila kupata haja...
1 Reactions
207 Replies
112K Views
Watu wengi wamekuwa na tabia ya kupenda kunywa maji ya baridi mara kwa mara.Maji haya yamekuwa kama kiburudisho katika mazingira yenye hali ya joto (mfano Dar es salaam). Pia watu wengi hupenda...
5 Reactions
8 Replies
7K Views
Why in preparation of artesunate we start to add 1 ml of of sodium bicarbonate then we add 5mls of 0.9 sodium chloride? What will happen if you start to add 5 mls of 0.9 sodium chloride then 1 ml...
0 Reactions
2 Replies
521 Views
Habari wana jukwaa. Naomba niende mojq kwa moja kwenye mada, Mtoto wangu aliugua manjano na aligundulikq baqda ya siku 3 kuzaliwa. Baada ya hapo alianza kupata tiba ya mwanga/miozi na ya siku...
0 Reactions
19 Replies
6K Views
​FOREVERLIVING PRODUCTSINT’l.www.foreverliving.comLIVING NATURAL WITH BASE Tel.+255657 088 003 Shop or Order now. Use ID No 255-000-500-217. Join Now for FREE. IF YOU WANT TO MAKE...
0 Reactions
11 Replies
6K Views
Back
Top Bottom