Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!
Habari Wana jamiiforums, Kidogo Nina tatizo kwa mtoto wa miaka 4, Kuna muda macho Yana mwasha ,yanakua mekundu , kama unavyoona kwa picha,naomba kufahani ni ugonjwa Gani au hali gani. Asante
0 Reactions
2 Replies
534 Views
Je hili ni kweli jameni? Nimesikia mtu akitamba kuwa hawezi pata virus due to his blood group.
0 Reactions
66 Replies
11K Views
naomba anayefahamu jinsi yakupunguza kitabi kwa mwanamke,sihitaki kupungua sehemu nyingine yeyotw ila tumbo tu.
0 Reactions
13 Replies
30K Views
Wandugu naomba kufahamishwa kwa anaefahamu kama kuna ukweli wowote kwa baadhi ya magroup ya damu huwa virus (hiv positive)haviyashambulii?
0 Reactions
22 Replies
6K Views
Ukiangalia kila binadamu ana chuchu yaani mwanaume na mwanamke,kwa upande wa mwanamke zinasaidia kumnyonyesha mtoto swali ni je za mwanaume zina kazi gani,,
4 Reactions
102 Replies
21K Views
Salute!! Habari wakuu, Leo tunifunze kidogo kuhusu faida muhimu za Asali Karibu, Zifahamu faida muhimu za asali, Asali inafahamika kwa muda mrefu kama chakula muhimu ambacho pia kinasaidia sana...
3 Reactions
5 Replies
8K Views
naombeni kujuzwa ni vitu gani vinavyo sababisha magoti kukosa utelezi na kutoa sauti pindi nichuchumaapo au nikiikunja miguuyangu? Na vilevile nahitaji kujuzwa ni vyakula aina gani nikila...
0 Reactions
22 Replies
75K Views
Habari wanaJF Hivi karibu nlienda Moshi safari kikazi nikakaa wiki maji niliyoogea kule ni ya magadi na haikuwa tatizo. Ila baada ya kurudi nawashwa mapajani na tezi dume ikifuatiwa na kubanduka...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Habari wanajamiiforum Napenda kuchukua fursa hii kuwaeleza jinsi ya kutengeneza dawa ya nguvu ya kiume isiokua na madhara kwani ni mchanganyiko wa matunda tu Chukua matunda haya yafuatayo 1...
28 Reactions
118 Replies
26K Views
Habari za mda tena ... Hili swala la mtu kutapika akiwa safarini huwa linatokana na nini??? ... Ni ushamba wa Safari au ni ugonjwa na mtu mwenye shida Kama hii anawezaje kuondokana nayo,,,, Kwa...
1 Reactions
15 Replies
2K Views
Habari, Mtoto wa Umri wa Wiki Moja ana Mafua makali na anakohoa mara mojamoja... Naomba Ushauri wa kitaalam na namna ya kumsaidia kupata na dawa. Asante
1 Reactions
8 Replies
3K Views
Niko huku kanda ya ziwa kwa matembezi ila ghafla naona hali imebadilika katika vipimo nilivyo chukua nimepatiwa hii report (vingine namgojea majibu). Naomba mnisomee kwa details zaidi.
3 Reactions
5 Replies
573 Views
Jee inafaa kumpa mtoto wa miezi mitatu maziwa ya ngombe
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Kwanza kabisa naomba niseme sijaripoti kwenye mamlaka zinazohusika sababu hawatalichukulia kwa uzito ama watachelewa kupata data tofauti na nikipost kwenye social media platforms kama hii data...
3 Reactions
21 Replies
3K Views
Naomba kujua ni siku zipi mwanamke anaweza kushika mimba baada ya kutoka kwenye siku zake za hatari?
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Jamani nasikia kuna njia za kusafisha tumbo . Yaani binadamu anatakiwa kusafisha tumbo kwa kutoa sumu mwilini , uchafu n.k kama kuna mtu ana idea juu ya hilo naomba kujuzwa
0 Reactions
47 Replies
29K Views
  • Poll Poll
Habari wadau wa JF? Naamini wengi wetu tumeshawahi kupata huduma za afya au kuwasindikiza ndugu/rafiki wa karibu kupata huduma hizo. Nina swali kwako, tafadhali karibu kulijibu kulingana na uzoefu...
0 Reactions
0 Replies
599 Views
Nimegundua watu wengi wanapata tatizo la uume kutokukua na kurefuka kwa sababu mbalimbali kuanzia vyakula wanavyokula hadi life styles kwa ujumla ila leo ntakwambia njia moja ambayo itafanya uume...
2 Reactions
10 Replies
5K Views
Wakuu habari. Naomba kujua virus vya ukimwi vinaishi muda gani nje ya mwili wa binadamu? Sent from my TECNO KG6 using JamiiForums mobile app
0 Reactions
3 Replies
10K Views
Habari Mwaka 2019 msimu wa mavuno nilikuwa shambani nikajikata kwa kisu bahati mbaya. Nilikwenda zahanati kupata huduma kwenye kidonda lakini ajabu maumivu yale yakabadilika na kuwa homa hasa...
2 Reactions
10 Replies
1K Views
Back
Top Bottom