Daktari bingwa wa magonjwa ya wanawake wa jijini Dar es Salaam, Godfrey Chale amewashauri wanawake wanaotumia vidonge vya kuzuia mimba maarufu kama P2 kuacha kufanya hivyo ili kuepuka madhara...
Leo nimesafiri kwenda Lindi dah Nimeingia kwenye Lodge hiyo Nimewasha Feni tu Vumbi Lote likaniishia limeniletea Mafua Makali sana
Dah na Kesho Saa Mbili Na training Nawaza ntafundisha vipi na...
baadhi ya sababu za kuota ndevu wanawake ni hormonimbalance kama wasemavyo watu wengi.
sasa nauliza tu eti mahospitalini kuna dawa yoyote ya kusawazisha hili tatizo la hormonimbalance, kiukweli...
Wakuu habari za muda?
Ndugu zangu Nina tatizo ambalo linanipa mawazo sana .
Ni hivii Huwa Kuna muda nasikia mkojo umenibana Sana. Sasa naenda chooni ila nakojoa mkojo mdogo Sana... Alafu baada...
Habari za weekend wakuu! Nina almost 28yrs but still naendelea kuota meno, Doctors and Mentors huu ni ugonjwa? Tatizo nn? Au kawaida! Msaada tafadhali!
Habari zenu wakuu,
Kiufupi sina historia ya kuwa na matatizo ya masikio na wala sio mtumiaji/ mpenzi wa earphones. Mabadiliko katika masikio yangu nimeanza kuyaona ndani ya kipindi cha miezi...
Wakuu ni matumaini yangu mu bukheri wa afya kabsa;
Mwezi uliopita nilikuja hapa kwenye hili jamvi nikaeleza kuhusu shida ya mkojo iliokuwa inanikabili na wengi wenu mkanishauri niende hospital...
Umewahi kumuona bata akilala na kujiuliza jinsi anavyoliacha jicho moja wazi?
Bata, ni kama ndege wengine wengi, hulala nusu ya akili zao zikiwa macho huku nusu nyingine ikilala.
Usingizi wa...
Hospitali ya Chuo Kiku cha Aga Khan imesema imefanikisha upandikizaji wa kwanza wa uume katikakanda ya Afrika mashariki na kati .
Upasuaji huo maalum umefanyiwa kwa mwanaume katika umri wa miaka...
Nahisi nina testicle varicocele (mishipa ya korodani kuvimba) sija fanyiwa uchunguzi bado lakini kwa asilimia nyingi nahisi ndio hiyo. Nauliza hospital ipi nzuri kwa ajili ya kupima na matibabu...
Haya yamebainishwa na Daktari bingwa wa magonjwa ya mfumo wa fahamu na ubongo kwa watoto, Dkt. Edward Kija ambaye ameeleza kuwa wazazi au walezi wana mchango mkubwa sana wa kuwasaidia wagonjwa wa...
Habari, mungu anatupenda sote
Jamani hivi Kinga ya mwili mwilini huwa ina mfumo wake wa kuzalishwa mwilini? Kwa mfano damu huzalishwa katika mifupa yetu n.k
Habari za asubuhi wadau,
Nina rafiki yangu anasumbuliwa na tatizo ambalo mwanzo lilianza kama utani.
Yaani tulipokuwa tunasoma naye alikuwa ananiambia kila nikijibu mitihani nakuwa sijiamini...
Mapema leo asubuhi Dkt. Yusuf Jamnagerwalla wakati akiogiwa na kituo cha clouds 360, alunukuliwa akiyasema haya.
Ulaji wa nyama ya kitimoto husababisha ugonjwa wa kifafa, ameenda mbali zaidi na...
"Hospital ya Taifa Muhimbili kwa kushirikiana na Shirika la Tumaini la Maisha inaratibu upatikanaji wa dawa na kuzifikisha kwenye hospitali zinazounda mtandao wa kutibu saratani kwa watoto," hayo...
Iliki ni kiungo cha tatu kuuzwa kwa gharama duniani.
1. Zaffron
2. Vanilla
3. Cardamom
Iliki ni zao la biashara na kilo moja ya iliki hufukia Tsh 30,000 -35,000
Iliki husaidia sana mzunguko wa...
Mtoto wa miaka minne anatoka jasho jingi akiwa amelala usingizi ila baada ya muda linakauka.akilala wakati wa usiku au mchana.naomba ushauri je ni tatizo au kawaida?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.