Historia ya general anesthesia inaweza kuanzia kutoka kumbukumbu za historia ya mababu wa kale wa Samaria, Babylon, Siria, Egypt, Ugiriki, Roma, India, na China. Katika kipindi cha miaka ya kati...
Habari zenu wakuu.
Yeyote anaejua daktari wa magonjwa ya kina mama MBEYA na anapopatikana naomba msaada wa maelekezo. Nisaidieni mwenzenu, mwaka wa 3 kwenye ndoa nahangaika tu.
Sijabahatika...
Habarini wadau, naomba ushauri wa tiba au dawa kwa mtu aliye umwa ugonjwa wa Arthritis ( barid yabisi) kwasababu nateseka sana na huu ugonjwa na nisha tumia dawa nyingi. Na unaniumiza sana maeneo...
Hakuna kitu kingine kizuri kama mwili wa mwanamke kwakuwa unaweza kuleta kiumbe binadamu kingine.
Mwili wa mwanamke unazo ovari ambazo hutengeneza mayai na homoni maalumu ambazo hudhibiti mwili...
Na Mwandishi Maalum
Lakini, mtaalamu bingwa kutoka Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI), Profesa Mohamed Janabi, ana kidokezo kuhusiana na matumizi ya nadharia hiyo kiholela kwamba yanaweza...
Habari wakubwa heri ya mwaka mpya na imani mko poa.
Ebhana iko hivi kwa mama mjamzito mtoto anaanza kugeuka akiwa na miezi mingapi........?
Naombeni majibu mtoto wa miezi 6 anaweza akawa...
Hamjambo wakuu!
Kwanza kabisa ningependa mjue jinsia yangu ni mwanaume alafu pili poleni na majukumu yenu ya kila siku ya kulijenga taifa la tatu na la mwisho naomba nijielekeze moja kwa moja...
Habari, Mungu anatupenda sote
Jamani ni mfumo upi kwenye miili yetu sisi wanaadamu ambao ndiyo mfumo mama na ukichunguza kwa makini asilimia nyingi ndiyo magonjwa huanzia kwenye mfumo huo...
Hivi kuna data zozote kuhusu ugongwa wa Zika Tanzania? Ninakumbuka kuwa sababu kubwa iliopolekea hayati dr Mwele kuachishwa kazi Mhimbili ni kutangaza kuwa Tanzania ina wagongwa wenye virusi vya...
Naomba msaada wa kujua hospitali hapa Tanzania wanaojishungulisha na kutoa huduma ya kupima vinasaba.
Pia ningependa kujua haya yafuatayo,
- Utaratibu wa kufuata ili kufanya vipimo
- Gharama za...
Mfuko wa kende unashuka chini yaani pumbu zangu zinarefuka kwenda chini.
Nikikimbia au kutembea zinauma.
Kuna kipindi nilienda hospitalini Regency Hospital pale Upanga.
Specialist mmoja...
Umofia kwenu wanajukwaa
Ni ajabu na raha kuona mamlaka zimeacha kupambania watu wake katika msingi wa kila agenda ya maadui wa taifa.
Hususani adui maradhi, sasa hivi UKIMWI ama HIV watu...
Wakuu mmeshindaje poleni na majukumu ya kila siku,pia hongereni kwa kumaliza week,binafs nipo MOSHI PAZURI napunguza stress japo haziishi,
Naomba niende kwenye point yangu,hivi huwa mnatumia njia...
poleni na shughuli wandugu. naulizia specialist wa maswala tajwa hapo juu ambaye ana clinic yake au ambaye anafanya hospitali na pia ana fanya kwenye clinic. natanguliza shukrani.
Kitaalamu mama aliyejifungua hushauriwa kusubiri mpaka wiki sita (baada ya kuanza kliniki- postnatal clinic) ndio aweze tena kufanya tendo la ndoa. Kipindi cha kupona baada ya kujifungua hutegemea...
Habari zenu Ndugu zangu!
Muda huu asubuhi, nilikuwa nafanya shughuli za kuwasha jiko kwa ajili ya kutenga mboga (maharage)
Sasa nilipomaliza ikabidi niingie ndani, wakati naingia ndani tu, kufika...
HATUA ZA UKUAJI WA MTOTO AKIWA TUMBONI
Je wewe ni mjamzito na unatamani kufahama Hatua ya ukuaji wa mtoto wako aliyeko tumboni ??
Hizi ndio Hatua za ukuaji wa mwanao akiwa tumboni.
Hatua za...
Huyu kaka nashindwa kuelewa km ni malaika au ni binadamu wa kawaida!
sikumbuki ilikuaje kukutana pm!
kama kawaida ya wanawake kujiachia shida zao nikamwambia ninasumbuliwa sana na pumu.
Nilikua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.