Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!
Kuchamba kwa karatasi ni rahisi sana kwakuwa ni rahisi kutembea kwa urahisi na karatasi/toilet paper au gazeti hata ukiwa safarini, picnic, uwindaji, nk. Makaratasi yanapatika TU lakini maji...
2 Reactions
4 Replies
1K Views
Je,kuna uwezekano wa mwanamke kujifungua miezi 8 na mtoto akawa fresh???
0 Reactions
31 Replies
11K Views
Mkate ndiyo chakula kikuu cha kila siku cha familia nyingi duniani, hasa sehemu za mijini na ndiyo chakula kinachotumika na watu wa rika zote, wakubwa kwa wadogo, lakini ni wangapi tunajua kuwa...
12 Reactions
26 Replies
24K Views
Habari za muda huu ndugu zangu. Kwa muda mrefu nimegundua nina tatizo kitaalam linaitwa Deviated septum,hivyo nahitaji kwenda kufanyiwa operation yaani septoplasty, Tatizo langu naona limekua...
0 Reactions
2 Replies
711 Views
Habarini za wakati huu wakuu. Kwanza tumshukuru Mungu kwa kutuamsha salama. Pili niende moja kwa moja kwenye mada, binafsi huwa nina kawaida ya kufanya mazoezi kila asubuhi ikiwemo joging na...
1 Reactions
13 Replies
1K Views
Habarini za wakati huu wakuu. Kwanza tumshukuru Mungu kwa kutuamsha salama. Pili niende moja kwa moja kwenye mada, binafsi huwa nina kawaida ya kufanya mazoezi kila asubuhi ikiwemo joging na...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Ushindi vitani
0 Reactions
45 Replies
9K Views
Jamani mimi mwili wangu umekuwa mwili wa magonjwa mpaka sasa ivi na hisi nimerogwa kupona siponi. Nime kuwa mtu wa kubadirisha magonjwa Kama nguo. Nimetoka kwa hili na ingia kwa hili. Jana...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Habar za wakati huu jf doctors, niende moja kwa moja kwenye mada. Nimewasikia wataalam wengi wa tiba asilia wakihusisha ugonjwa wa ngiri na kusinyaa au kumezwa kwa maumbile ya kiume. Watu wengi...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Naomba kujuzwa matumizi ya hivi vidonge Vivian, maana kuna mtu anaumwa kichwa kaandikiwa hivyo avitumie lakini havimsaidii. Asanteni
1 Reactions
7 Replies
14K Views
Natumai hamjambo wanabodi! Naomba mwenye sababu za kitaalam atoe mchango wake hapa, kwa nini hali hii inawatokea baadhi ya wanawake? Je, ni ishara ya Jambo Fulani? Je, Nini hasa kinapelekea hali...
1 Reactions
24 Replies
9K Views
Habarini wandugu. Naomba kujulishwa dawa ya alergy ya vumbi (kupiga chafya sana kutokana na vumbi au harufu kali) ni nini. Pia dawa ya kuondoa weusi katikati ya mapaja (ukijikuna unatoka unga...
1 Reactions
3 Replies
3K Views
Napenda kupata msaada wakujua kama kuna dawa yakuzuia nywele kuendelea kuisha kichwani au kuotesha nywele kichwani. Anayejua naomba msaada.
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Habari, naomba kuelekezwa hospitali au kliniki nzuri ya macho ambayo ntaweza kufanyiwa check-up na kupatiwa miwani kwa Arusha au maeneo ya jirani. Nimeona niulize kwa wadau kwanza maana macho...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Naaombeni mnielimishe uume kwa kawaida inatakiwa urefu gan kwa sababu n swal ambalo nliulizwa nkakosa jb na nmejtahd kutafta kwny vtab kama BS, Fundamental anatomy na vngn lakn bado cjapata jb
0 Reactions
25 Replies
32K Views
Inasemekana ya kwamba matunda yenye ladha utamu bila uchachu yaani 'alkaline' na matunda yenye ladha ya uchachu yaani 'acidic', yanahitajika kuliwa kwa bila kuchanganya ili kupata faida zaidi. Je...
1 Reactions
5 Replies
6K Views
Tohara ni muhimu sana katika afya ya mvulana yeyote yule, na ndiyo maana hata wizara ya afya ikaona ni vyema kuanzisha hata huduma ambayo itawafanya watu waweze kupewa huduma hiyo bure kwenye...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
MAKALA DHIDI YA MAAMBUKIZI MAPYA YA UKIMWI Takwimu Zinasema Vijana Wenye Umri Wa Miaka 15 -24 Ndiyo Wanaongoza ! Hii Inaogofya ,Inatisha na Inanisukuma Moja Kwa Moja Leo Hii Hadi Kwa WATUNGA...
1 Reactions
7 Replies
36K Views
Hydrogen Peroxide Uses for Natural Body Care There are lots of different hydrogen peroxide uses for natural body care. This makes sense, since hydrogen peroxide is non-toxic (it breaks down to...
2 Reactions
5 Replies
8K Views
Natumai hamjambo. Jukwaa hili naamini lina wataalam wa afya. Naomba mnisaidie. Siku za karibuni nimekuwa na tatizo la kuumwa na viungo. Hasa vya mikono na shingo. Na kusinzia kila mara ofisini...
0 Reactions
4 Replies
678 Views
Back
Top Bottom