Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!
Magonjwa ya zinaa yana athari mbaya katika mwili wa binadamu. Hivyo ni wajibu wetu sisi kujikinga kwa njia tofauti kama wataalamu wetu wa afya wanavyotuelekeza. Kinga hazipaswi kuadimika, namna...
2 Reactions
9 Replies
902 Views
Habarini wana JF wenzangu. Kuna ugonjwa wa ngozi naiona kwa watoto, si mmoja si wawili na sijajua inasababishwa na nini... Wakati mwingine huwa wanajiwasha pindi ninapo wahoji wazazi wao...
2 Reactions
16 Replies
2K Views
Kikohozi ni moja ya ugonjwa ambao huwapata watu karibu wote. Kunapotokea kuzibika au muwasho kwenye koo lako ubongo hutambua kuwa kuna wavamizi kutoka nje na hivyo huuamrisha mwili wako kukohoa...
10 Reactions
7 Replies
47K Views
Naomba kufahamishwa madhara hayo, Kama yapo ktk kuathiri nguvu za kiume Mitishamba inayotumika hasa kwa kunywa
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Habari za mda huu waungwana, Naomba mwenye kujua hili tatizo linalo nisumbua mda Sasa. Yaani mda wote nakua nipo sawa ila ikifika ule muda nikianza kulala uume unanza kusimama wenyenye pasipo...
2 Reactions
17 Replies
3K Views
Hizi ni dalili za hatari wakati wa ujauzito. Uchungu wa uzazi unaochukua muda mrefu sana Uchungu wa uzazi wa zaidi wa saa 12 kwa mama aliyerudia kuzaa (mzoefu), au uchungu zaidi ya saa 24 kwa...
1 Reactions
1 Replies
3K Views
Wakuu wenye utaalamu na ufahamu, ni jinsi gani naweza kuongeza sperm motility maana nimepata majibu kwamba ni 50/50. Vipimo vinginr vyote vipo vizuri N.B Naomba kueleweshwa zaidi katika suala la...
1 Reactions
50 Replies
10K Views
Jambo ndugu zangu Mimi Nina tatizo la tumbo ambalo nimesha jiuliza maswali mengi sipati jibu and sometime nimesha anza kuhisi Kama nimerogwa. Mimi tumbo langu linavurugika. Kuna muda nahisi kama...
3 Reactions
17 Replies
3K Views
Wakuu humu ndan naomba kuuliza ntajipima vipi nijue kama nina ngiri maana dalili zote ninazoo asantenii[emoji120][emoji120]
2 Reactions
4 Replies
1K Views
Week iliyopita nilikuwa naongea na ofisa mmoja wa serikali, ni rafiki yangu tulikuwa tunajadili suala la hizi condoms, je vipi kama ikitokea umefanya na demu asiyeathirika, ila ukapata mchubuko...
2 Reactions
35 Replies
3K Views
Kuna pisi moja ya ukweli sana imepotea. Naskia ilichanganya pombe na dawa. Kwa nini hamsemi? Mnafurahi mtu akifa? Haya ninyi madaktari mliomo humu hebu tusaidieni orodha ya dawa ambazo haziendani...
1 Reactions
38 Replies
2K Views
Habari Je tiba ipi inaweza msaidia mama aliejifungua mtoto wa Kwanza anayeumwa kiuno na mgongo anapoinama kwa Muda mrefu akiwa anafany shughuli zake.
1 Reactions
22 Replies
6K Views
Time Your Meals Set a timer for 20 minutes and reinvent yourself as a slow eater. This is one of the top habits for slimming down without a complicated diet plan. Savor each bite and make it last...
0 Reactions
6 Replies
5K Views
Haya ni mambo ya muhimu ya kuzingtia kabla kujaribu kupata ujauzito. 1)Acha maadili mabaya. Uvutaji wa sigara na unywaji wa pombe wa kupitiliza vyote uweza kusababisha kuharibika kwa ujauzito na...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Binti yangu 12 years amejigonga na kitu kwenye jicho limetoa dam jana na anaona kama ukungu, limepoteza uwezo mzuri wa kuona jicho moja sababu ya hiyo injury so anaefahamU hospitalI nzuri kwa hapa...
1 Reactions
28 Replies
7K Views
Ndugu wapendwa nilipata kusikia unaweza kujipatia uzazi kadri upendavyo haswa kwa wanamme katika uzazi wa mpango wa namna ya kipangilia watoto wa kiume na kike,habari hizi ni kweli? Kama ni kweli...
1 Reactions
32 Replies
56K Views
"[emoji3054]HIZI HAPA KAZI ZA TEZI DUME/Prostate Grand AMBAZO ULIKUWA HUZIJUI[emoji3054]". [emoji3054]TEZI DUME - Ni Nini ? "[emoji262]Tezi dume ni sehemu mojawapo ya mfumo wa uzazi wa kiume...
1 Reactions
2 Replies
5K Views
BAADHI YA MASWALI YALIYOULIZWA KUHUSU TATIZO HILI Habari zenu wana jf Dr. Mimi nina tatizo amabalo limekuwa likimsumbua mdogo wangu tangu akiwa shule ya msingi na mpaka sasa yuko kidato cha sita...
0 Reactions
115 Replies
34K Views
HAMJAMBO WAPENDWA, Nahitaji msaada wa Dawa Bora ya Madonda ya kooni (Tonses) sijui kama Hilo Jina ni sahihi mtanirekebisha.. Nimetumia Dawa zifuatazo kwa muda wa week 3 Sasa na sijapata Nafuu...
1 Reactions
23 Replies
5K Views
Ikitokea nimekakaa sehem ngumu kwa muda wa dakk 20 mboo inapata ganzi, inakua kama inachomwa chomwa na sindana na wakati huo inaanza kusimam bila ya hisia za mgegedo. Ni mda sasa naona tatizo...
0 Reactions
8 Replies
4K Views
Back
Top Bottom