Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!
Wakuu nawezaje kufikisha uzito wa kilo 100 tu ndani ya mwezi kwasasa nina kg 89
0 Reactions
5 Replies
740 Views
Habari...mm kuna tatizo limeanza sasa sielew ni hali ya hewa au nn...kwa sasa nimekuwa nikienda haja ndogo mara nyingi zaid hasa nyakati za usiku...imefika wakati ikanibid nifanye jaribio kijua...
0 Reactions
44 Replies
24K Views
Habari za asubuhi ndugu zangu wa jf, Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 31na mwenye urefu wa cm172 na uzito wa kg 66. Mwaka jana nlikuwa kwenye masailiano ambayo yanahitaji mtu apimwe afya...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Wakuu kwema? Nahitaji kuwa na uboho wakutosha ili tatizo la mifupa kusagana lisinipate kadiri umri unavyo kwenda, naombeni ushauri, ni vyakula gani nikila vitasaidia kuongeza uboho? Ahsanteni.
5 Reactions
38 Replies
4K Views
Ndugu, habarini za maisha. Nachukua fursa hii kuwashirikisha hofu kubwa na kujikatia tamaa kunakoniandama kutokana na kugunduliwa kuwa na HBV. Mwaka 2000 nilianza kuhisi kwamba size ya spleen...
51 Reactions
118 Replies
18K Views
Nimekuwa nasumbuliwa na pressure kwa muda sasa. Leo nimepima ilikuwa 187 juu na chini 115. Baada ya mashauriano na dr nimeamua kuanza kutumia dawa. Nimepewa dawa za kutumia wiki moja then nirudi...
13 Reactions
66 Replies
9K Views
Leo nimekaa sehemu, ghafla akapita kichaa mara acheke cheke, aokote vipande vya mkaa na kuchora visivyoeleweka kwenye ukuta, n.k kiufupi akili haijakaa sawa, sasa nikawa najiuliza haya maswali...
2 Reactions
16 Replies
3K Views
Habari za asubuhi wakuu? Natumaini tu wazima wa afya, kwa wale wagonjwa polen!! Neende moja kwa moja kwenye mada! Et wakuu mwanamke akiwa kwenye cku zake ( bleeding), anakuwa na hasira Sana adi...
0 Reactions
27 Replies
4K Views
Shikamooni wakuu. Mimi ni muhanga wa tatizo la ajira, na pia kabla ya hilo ni mtaalamu(mteknolojia) wa maabara(Laboratory technician) mwenye diploma ambayo nimeipata kutoka BUGANDO mwaka 2018...
16 Reactions
180 Replies
30K Views
Unapokuwa unatumia metronidazole (Flagyl) hauruhusiwi kabisa kunywa pombe. Matokeo ya muunganiko wake kwa baadhi ya watu huwa siyo mazuri. Inaweza kusababisha kiungulia kikali, kutapika...
4 Reactions
4 Replies
3K Views
Nina rafiki yangu ameoa huu mwaka wa tano yupo kwenye ndoa hawajabahatika kupata mtoto wala hawajawahi kupeana ujauzito hatta kwa bahati tu,, Naombeni msaada wenu wa kimatibabu au nini Cha kufanya...
2 Reactions
7 Replies
1K Views
Jamani wazima nashida naombeni msaada wenu natokwa na vipele vikavu kwenye mapaja na matakoni na miguuni tatizo ni nn?
0 Reactions
6 Replies
5K Views
Wanajamvi wenzangu kuna tetesi nimekuwa nikizisikia kuwa mboga ya majani ya chainizi inapunguza nguvu za kiume, je ni kweli? naomba kujuzwa
1 Reactions
18 Replies
37K Views
Nina ndugu yangu amekuwa diagnosed na High Blood Pressure na Diabetic. Anakunywa red wine karibia kila siku chupa moja. 1. Je hii ni sawa 2. Au anatakiwa kuacha kabisa?
0 Reactions
1 Replies
640 Views
Wanajamvi habari, Kama kichwa kinavojieleza hapo juu, hivi mbadala wa haya madawa ambao unaweza kuuandaa mwenyewe getoni kwako na ukaleta ufanisi unaoendana nayo ni upi? Maana kila ukimuuliza...
0 Reactions
33 Replies
4K Views
HOMA YA INI (HEPATITIS B) Kwa tafiti chache zilizofanyika mpaka sasa imegundulika kuwa kati ya watu 117 ni mtu 1 tu anakuwa ameathirika na virusi vya UKIMWI/VVU lakini ni watu 22 wanakuwa...
1 Reactions
41 Replies
12K Views
Kutafuna Big G huongeza umakini katika kufanya kazi pamoja na kuongeza tahadhari kwa mhusika. Huongeza pia usikivu, umakini pamoja na uchangamfu hasa kwa mtu anayefanya kazi moja kwa muda mrefu...
3 Reactions
19 Replies
4K Views
Habari wapendwa? Nina mtu wangu ana mimba ya miezi miwili tu but amebadilika sana, kawa na hasira za ghafla na kiburi hatari. So nauliza,kwa umri wa hiyo mimba ni sahihi kwa yeye kuwa hivyo au...
3 Reactions
37 Replies
7K Views
Ilikuwa ngumu sana kumuachisha kunyonya. Alinyonya hadi miaka 3 as recommended by doctors.ila bado hadi Sasa anapenda nyonyo .ukilala ukipitiwa unamkuta analo mdomoni. Au mchana tu anaweza tu...
2 Reactions
56 Replies
3K Views
Habari za jioni wapendwa, naomba ushauri mwanangu miaka mitatu anasumbuliwa na kikoozi anakooa anakuwa mpaka Kama anakakamaa wakati mwingine na kutapika, hosp wamepima kifua Kiko vizuri na Hana...
1 Reactions
3 Replies
910 Views
Back
Top Bottom