Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!
''Kawaida mwanamke akishajifungua viungo vya uzazi upevuka na hisia zinaongezeka na ndio mana wanasema mwanamke aliyejifungua ni rahisi kufika kileleni kuliko ambaye bado''
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Umuofia kwenu? Kuna hili suala la kujichelewesha, kidogo linanitatiza maana naona kama mtu anapingana na nature pale,....imagine umesugua ili zitoke tena raha inakuja, lakini mtu hataki zitoke...
0 Reactions
10 Replies
900 Views
Habari wadau wa Jf, Mimi ni kijana wa kiume 28yrs old.Tatizo langu kubwa imekuwa ni harufu nzito na mbaya inatoka sehemu zasiri(yaani haivumiliki).Yaani suruali na boxer nikivaa siku moja ya pili...
14 Reactions
326 Replies
33K Views
Habari! Naomba msaada kwa anayejua matumizi ya uwatu,na faida zake mwilini. Kila nikienda sokoni huwa naona unga wa uwatu!
1 Reactions
8 Replies
56K Views
Kauli hiyo ya Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa inapigiwa chepuo na msichana Esther Maundu kutoka Nairobi Kenya ambaye katika mahojiano maalum na Assumpta Massoi wa Idhaa ya Kiswahili ya Umoja wa...
1 Reactions
0 Replies
646 Views
Waheshimiwa habarini za wakati, Naomba kujua huenda ni kawaida au siyo Hali ya kawaida. Mimi napoanza tendo la ndoa naanza kwa furaha ila nikikojoa Mara moja kimsingi huwa sijui kuunga huwa...
5 Reactions
61 Replies
8K Views
Wadau kama kichwa cha habari chajieleza hapo juu, kwenda short call mara 4 usiku.
1 Reactions
13 Replies
1K Views
Katika siku za hivi karibuni nimekuwa na tatizo la kupigwa shoti ya umeme naposhika milango ya aluminium au mageti. Hii hutokea ninapokua nimekaa kisha kuinuka either nifungue mlango wa ofisi wa...
1 Reactions
15 Replies
4K Views
BAADHI YA MASWALI YALIYOULIZWA NA WADAU KUHUSU TATIZO HILI Nina mtoto wangu wa kike ana mwaka mmoja na miezi sita, kila alalapo huwa anakoroma sana yaani unaweza ukahisi ni mtu mzima huo mkoromo...
4 Reactions
717 Replies
198K Views
Habari wakuu, Mimi nina mwanamke ambae nahisi moyoni anafaa kuanza familia na mimi. Ila anatatizo la kuingia blidi siku 7 Hadi nane je! Huu ni ugonjwa au nini? Maana mm nahis tofauti labuda...
2 Reactions
9 Replies
2K Views
Guys, Nimepata Choja ya covid19 week ya kwanza tu ya utojia, Hadi leo sijapata message ya kupata cheti, Naona wanaona choma hivi karibu wanapata message zina link ya cheti, Njia gani naweza...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Habari za wakati huu member wa JF Hili tatizo limenitokea mara ya pili..kwa mara ya kwanza nilikutana na bidada nlimpiga show ka dk 8 akadai anaumia tubadl style mara tupumzike, sikumskiliza ila...
1 Reactions
39 Replies
5K Views
Habari za mda huu. natumaini wote ni wazima wa afya Kama sio Mungu akusaidie upate afya njema Watu wengi huzoea kwamba tunalala huku tumefumba macho,ila asilimia 13-14% ya watu dunian hulala...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Majuz nmetembea na demu wangu ambaye nna muda cjakutana naye, sasa wakat wa kusex kwa bahat mbaya kondom ikapasuka nkamwambia tukapime akasema anawahi anasafiri nkamshawishi akakataa kabisa...
0 Reactions
55 Replies
19K Views
Mdogo wangu wa miaka 14 alikuwa anajisikia vibaya siku mbili hizi sa Leo hajaenda shule nikamcheki usoni akawa wanjano kwenye ule weupe wa macho nikashtuka kikamkimbiza hospital kwa uchunguzi...
1 Reactions
5 Replies
3K Views
Kumbadilisha mwanamme inawezekana!? ( Natumai umzima. Leo nakukaribisha tena shosti, tumalizie makala hii nikiwa naamini kuwa umekuwa na hamu kubwa kutaka kujua mwishilio wake ukoje. Wiki...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Habari za majukumu wakuu,poleni na majukumu ya kila siku. Wakuu nina changamoto ya kukosa hamu ya kula ,ingawa nina hisi njaa lakini ninakula chakula kidogo sana, nashiba. Hili limekua tatizo la...
6 Reactions
90 Replies
12K Views
Naombeni msaada ndugu zangu na sio masihara nikiwa na mwanamke uume hausimami kabisa unasinyaa na kubakia kichwa tu imenitokea hiyo hali mara mbili naombeni msaada na uume unapo simama haukazi...
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Habari za jioni ndugu wadau, Nahitaji msaada na ushauri wenu kuhusiana na tatizo langu kama nilivyoandika. Nimekuwa nikisumbuliwa na dalili kama za vidonda kwa muda mrefu, lakini leo nilipopimwa...
1 Reactions
13 Replies
2K Views
habr wana jf naomben msaada dawa ya kuondoa uvimbe kwa haraka mtu aliyepigwa na akavimba uso na macho pia
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Back
Top Bottom