Kwa mliotibiwa maswala ya masikio naombeni kujua kama dar group kuna wataalam wa masikio na bei zake zikoje kwa mfano kumuoa docta ili nijipange vizuri
Sciatica ni mshipa mkubwa unao anzia pingili za kiuno hadi kwenye unyayo, mara nyingi disc za L4/L5/S1 zikigusa huo mshipa, maumivu lazima uyasikie kote, kwenye kalio upande mmoja, paja hadi...
Umri: 42
Tatizo: Shahawa zinatoka rojo rojo bila presha.
Nguvu za kiume: zipo
Mkojo: presha ndogo na hauishi wote vzur kama vile valve mbovu.
NINI TATIZO?
NINI TIBA?
Habari zenu wapendwa?
Poleni na majukumu ya kila siku, naombeni ushauri wenu ni kitu gani kinasababisha mtu kufanya mapenzi siku ya hatari tena siku ya 14 alafu usishike ujauzito je ni Jambo la...
MMEA WA BANGI NA FAIDA ZAKE KIAFYA
Mmea wa bangi umekuwa unatumika na baadhi ya jamii za dunia, Afrika na Tanzania pia tangu kale. Kwa Tanzania, wahadazabe wanatumia huu mmea.
Mataifa tofauti...
Mimi sio mtaalam wa haya mambo kabisa
Wakuu huduma ya kupandikiza mimba kwa mwanamke asiyekua na kizazi inawezekana?
Je, inawezekana kwa mwanamke ambaye hana kizazi hili jambo?
Nimesikia...
Wana jf
naombeni kujua kutoka kwenu maendeleo ya tafiti ya kupata tiba ya kisukari, maana ukimwi wataalamu wamejitahidi sana, ndio maana zamani mtu akipima akipewa majibu kuwa ana ukimwi watu...
Ni matumain yangu mu wazima wa Afya,
Niende kwenye mada moja kwa moja.
Naomba kufaham kwa yeyote mwenye Ufahamu wa jambo hili.
Ni hospital gani ambayo inatoa huduma ya kufunga bracelets kwenye...
Wakuu kama maada ilivyojieleza hapo juu, naomba kujua sababu kwa nini wagonjwa wa macho hasa huduma ya miwani na wale wa meno hawatibiwi kwa bima?
Ni kwamba mara ya kwanza nilienda kutibiwa macho...
Kwamba anayekimbia atakachokiingiza zaidi tu Mwilini mwake ni Pumzi ila Mtembea kwa Miguu Yeye anaingiza Pumzi ya Wastani ila anaimarisha Mwili mzima pamoja na Viungo vyake vyote na Kujengeka...
Amani iwe kwenu . Niende moja kwa moja kwenye mada, kwa muda mrefu nilikuwa nahisi hali yangu ya mfumo wa mkojo haiko sawa. Lakini kubwa ni kushindwa kujiziwia nikibanwa na haja ndogo. Mara nyingi...
Wasalam mabibi na mababu..
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, Nimekuwa nikiteseka sana kwa kukosa usingizi usiku na ata mchana kwa muda kama mwezi naa,,, kichwa changu kimekuwa kikiandamwa na...
Kwa wale wataalamu wa madawa nimeenda hospitali kwa tatizo la sikio langu la kulia linalotoa sauti.
Nimepewa dawa mbili:
1. Ampiluclox (hii ni ya vidonge)
2. Boric acid (ni ya maji)
Msaada...
Mwnye dawa jmn naomba anisaidie. Mimi nmeolewa naishi na mume wangu huu ni mwaka wa tatu bdo hatujabahatika kupata mtoto. Anaejua dawa naomba anishauri.
Hosptal tumeshaenda
Yapo madhara mengi Na hutofautiana kulingana Na jinsia, umri, Na umbo. Nayo ni;
- Kukosa choo, kupata choo kigumu,
- Constipation au choo kuganda
- Bawasili kutokana Na mfumo wa chakula kuzongwa...
Magonjwa ya zinaa sehemu ya haja kubwa (Anorectal STIs) huweza kusambazwa kwa kuingiliwa kinyume na maumbile, au kunyonywa sehemu ya haja kubwa kwa kutumia ndimi, au kuingizwa vidole sehemu ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.