Msemaji wa timu ya Mtibwa suger ndugu Thobias Kifaru jana akiongea na vyombo vya habari alisikika akisema kuwa mchezo wa weekend hii ambao timu yake ya mtibwa suger itapambana na simba pale...
Wana JF,
Kumbe wachaga hawapendi michezo. Mji wa Moshi wanategemea uwanja wa Chuo cha Ushirika kuendeshea mambo yao ya michezo.
Kiwanja cha Manispaa Mjini Moshi ni Memorial, Lakini hawa...
Nashindwa kumwelewa huyu shaffi dauda amekuwa na tabia ya kubeza tu na kushadidia vya nje bila ya kuwa na ulinganifu na kwa kuwa amepewa forum ya kusema tu anaitumia vibaya sana kukandia wengine...
Kisumu pencil sketch artist, Collins Okello alias Jaduong', presented his sketch of President Uhuru Kenyatta in army regalia to the Head of State at Nairobi State House on Monday.
The 24 year-old...
Kwa matokeo ya Simba SC toka kuanza kwa ligi ni sababu tosha kwa mwenyekiti wetu kuachia ngazi,ila kama alingia katika uongozi kwa maslahi binafsi basi ushauri huu utakuwa mgumu sana...
Nahodha ambaye pia ni golikipa wa timu ya soka ya taifa la Afrika kusini Senzo Meyiwa amefariki dunia baada ya kupigwa risasi. Jeshi la Polisi la nchi hiyo limesema.
Tukio hilo limeripotiwa...
timu ya simba imewahi kuleta rekodi mpya ya kutofungwa mwaka mzima wa ligi.mwaka huu naona itatuletea rekodi mpya kwa kutoka sare msimu mzima
hongereni uongozi
Serena Williams beats Simona Halep to win fifth WTA Finals
Serena Williams beat Romania's Simona Halep to win the season-ending WTA Tour Finals for the third year in a row on the event's debut...
Kwanza napenda kuwapa hongera kwa kutufunga 'El classico' ya jana ila mmethibitisha ule msemo wa "Baniani mbaya, kiatu chake kizuri". Staili mliyoitumia ni ile ile aliyokuwa akiitumia Jose...
Wale wapenzi wa mpira wa miguu kama ilivyo ada tukutane tena hapa kupeana updates za mchezo huu mkali unaotarajia kuanza saa moja kamili kwa muda wa Afrika Mashariki.
Mchezo huu naamini utakuwa...
Kuna tetesi kwamba kundi la mashabiki wa Simba maarufu kama Simba Ukawa (TAWI LA MPIRA NA MAENDELEO) limevamiwa na Majambazi jana usiku maeneo ya Melela mkoani Mrogoroo (maeneo ya pale...
Kenyan Artiste Explains Why Tanzania Beats Kenya in Entertainment Industry
At a forum during Kenya Music Week last year at Sarit Centre, Muthoni Ndonga better known as Muthoni Drama Queen...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.