Jaja na Coutinho wacheze mechi nyingi za nyumbani ili kuwafanya wacheze kwenye viwango vyao kwa muda mrefu wa ligi. Mikoani watakamiwa na kuumizwa na viwanya vibovu vya mikoani vitasababisha...
Ndugu wapendwa
nimefurahishwa na kauli ya mh alianza kama msemaji wa tff sijui sasa ni nani wame mu upgrade kidogo
si haba kijanaa anajituma
amejitahidi kuisifia sana mtindo wa et kama vile ni...
Kenyan breaks world record at Berlin marathon
Kenyan runner Dennis Kimetto has broken the world record at this year's Berlin marathon. At a course
known for producing fast times, he ran 26.2...
Ligi Kuu Tanzania Bara iliendelea kushika kasi mwishoni mwa wiki lakini kubwa lililoashiria kuwa ni msimu tofauti na wenye ushindani mkubwa ni baada ya Simba kulazimishwa tena sare nyumbani...
Wadau nipo dar ni mgeni kidogo natafuta mahali pazuri ninapoweza kukaa na mchuchu wangu huku tukiangalia mechi za EPL zote kuanzia zinazorushwa S3 mpaka S7 na screen ziwe za kutosha bila...
Naangali SPORTS BAR YA CLOUDS FM,wanamuhoji kocha wa ndanda fc sasa hivi
ni kijana mdogo sana na ana uelewa wa hali ya juu kwenye mpira.
Sijawahi kumsikiliza mtaalam wa soka mwenye akili hapa...
Celestine Mwesigwa, Katibu Mkuu
Ukishangaa ya usiyemjua, utayaona ya TFF. Sasa imeibuka na jipya na kutaka Yanga, Simba na klabu nyingine 12 za Ligi Kuu Bara, zikatwe 5% ya fedha za udhamini...
Wakati naangalia kipindi cha michezo CNN.Wametaarifu kua Raisi wa FIFA amekaa ripoti ya kashfa ya rushwa inayoihusu FIFA isisomwe hadharani.Anataka iwe siri.Huyu babu analiua hili shirikisho.Na...
Idara ya Uhamiaji Tanzania, imetoa tamko la kuwazuia washambuliaji wawili wa Simba, Paul Kiongera raia wa Kenya na Emmanuel Okwi kutoka Uganda.
Uhamiaji imesema wachezaji hao hawana kibali cha...
MSHAMBULIAJI wa Azam FC, Leonel Saint-Preux atakuwa nje kwa wiki mbili kwa sababu ya maumivu ya kwenye unyayo wa mguu wa kushoto.
Daktari wa Azam FC, Mbarouk Mlinga amesema kwamba mchezaji huyo wa...
Kwa Msaada wa Wikipedia
Club records Titles
Most titles: 13, Manchester United
Most consecutive title wins: 3, Manchester United twice (199899, 19992000, 200001) and (200607, 200708...
Mmmmh
pengine nilipitiwa kama kawaida tff hutangaza mapesa ya mechi na kutokana na mchezo huu kuhusisha
et tkts natumaini walifanikiwa kiasi embu tukumbushane ni sh ngapi zilipatikana jamani...
The Frenchman used Real Madrid's ultimately underachieving side as a benchmark for how his team can function, but it could expose a lack of balance and hamper individuals
By Ewan Roberts
A...
nasikitika vilabu vinavyokurupuka kusajiri bila vipimo kwa wachezaji mfano timu yetu ya simba wamemsajiri kiongera anamatatizo ya goti usajiri wa simba wanaangalia tu kwenye yutub hapo kiongozi...
Timu ya wanawake ya Qatar ya mchezo wa mpira wa vikapu imejiondoa kutoka mashindo ya bara Asia yanayofanyika huko Korea Kusini baada ya kuagizwa kuvua hijab kabla ya mechi yao dhidi ya timu ya...
Afisa Wa FIFA: Qatar Hawatokuwa Wenyeji Wa Fainali Za Kombe La Dunia 2022
Afisa wa ngazi za juu za shirikisho la soka duniani FIFA, ametoboa siri na kueleza hadharani mpango wa nchi ya Qatar kuwa...
Frederick Mwakalebela
ALIYEKUWA KATIBU Mkuu wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Fredrick Mwakalebela amefunguliwa kesi No OB/RB/16369/2014 katika kituo cha Polisi cha Oysterbay cha jijini Dar...
kutokuwa makini watu wa tff kutozingatia kalenda za fifa hata ukiingia mtandao wa fifa unakuta kalenda yote ya mwaka mzima sasa mechi ya simba na yanga wacheze tarehe 8/10 saa 11 jioni itakuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.