Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...
KIKOSI CHA LEO CHA CHELSEA 1:BUGDET COACH(UPENDO) 2:SHABIBY BUS SERVICE 3:SUMRY HIGH CLASS 4:ZUBERY 5:HAPPY NATION 6:HOOD 7:ABOOD 8:GREEN STAR 9:MOHAMED TRANS 10:ALLY'S BUS SERVICE...
0 Reactions
36 Replies
6K Views
kiungo bora kabisa kwasasa kijana Frank Domayo amejiunga na Azam FC @SOURCE BLOGS NA REDIO MBALIMBALI
0 Reactions
16 Replies
3K Views
POSTED WEDNESDAY,APRIL30,2014 |BY- ISAAC SWILA Hosts Kenya failed to dethrone Tanzania from the top position as curtains came down on the two-day Eastern African Judo championship at the Nyayo...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
source TBC tv
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Uwanja wao mji wao mashabik wao na magoli wamefungwa wao.thnks cr7 ww n the best pamoja na bek RAMOS
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Kanu Nwankwo who got married in 2004 has two sons and this adorable daughter. Lovely...me likey ... Kwa wale wapenzi wa mpira mliomo umu JF nafikiri mnamkumbuka huyu msakata kapumbu
3 Reactions
18 Replies
1K Views
Mpira umekwisha kwa Real Madrid kushinda kwa magoli manne kwa bila { 4-0}, na kufanikiwa kuingia Final ya Champions League dhidi ya Mshindi wa mechi kati ya Chelsea na Atletico Madrid. Bayern...
1 Reactions
271 Replies
18K Views
Mchezaji chipukizi wa Chelsea amesema anapenda sana kuichezea Tanzania lakini sheria za nchi[tanzania] hazimruhusu. Nditi mwenye asili ya Tanzania lakini kwa sasa ana uraia wa Uingereza amesema...
2 Reactions
15 Replies
9K Views
Katika mechi ya Villarreal na Barca,mashabik wa Villarreal walionesha kitendo cha kibaguzi kwa kumtupia ndizi beki wa Barca, Dan Alves. Ujasiri alioufanya alichukua ile ndizi akaimenya na kuila...
10 Reactions
52 Replies
7K Views
Wana JF, Nisikia Radio one Jana kuwa Wizara ya mambo ya nje imeamua kusimamia na kugharamia michezo ya jumuiya ya madola katika nchi mbalimbali. Naomba kujulishwa yafuatayo: Je ni kweli kuwa...
0 Reactions
2 Replies
848 Views
Game itakuwa May 16-18, mshindi wa hapo anakutana na mshindi kati ya Msumbiji v Sudan Kusini.
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Wana jamvi juzi siku ya sherehe za muungano timu ya taifa imefungwa 3 bila na burundi,kimantiki ina tafsiri kuwa mfumo wa serikali 3 hata wana soka wameukubali,je wanao taka serikali 2 wanapata...
1 Reactions
4 Replies
945 Views
Channel ipi wanaonyesha UEFA champions league maana DTV imezima please naomba kujua
0 Reactions
13 Replies
5K Views
Breaking News: Didier Kavumbagu amesaini kuichezea Azam FC kwa mkataba wa mwaka mmoja - taarifa hii imethibitishwa na meneja wa Azam Jemedari Saida
0 Reactions
24 Replies
4K Views
MSIMU uliopita wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Yanga walikuwa mabingwa watetezi na walitumia zaidi ya Sh250 kuwasajili wachezaji watatu ambao ni kipa Juma Kaseja aliyevuna Sh40 milioni, Mrisho Ngassa...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
ebana kwa karateka ambaye ni above green belt specifically in shotokan karate naomba anicheki,mi nipo mwanza SAUT hapa tunaeza jadili machahae kuhusu karate pia napatikana 0756917972
1 Reactions
1 Replies
773 Views
kuna tetesi eti domayo kasign simba kuna ukweli wowote hapo?
0 Reactions
2 Replies
771 Views
jana ilikua siku mbaya sana kwa mashabiki wote wa Liverpool baada ya kupoteza mechi dhidi ya Chelsea. Kuna mambo mawili tu binafsi hayajanipendeza. 1.Kupoteza muda bila sababu.Tangu mpira unaanza...
0 Reactions
24 Replies
3K Views
Ili upate matokeo katka mchezo wa soka lazima utumie mifumo mizuri itakayo endana na kikosi chako. Duniani kuna mifumo mbalimbali ya soka ambayo inatumia na inabadilika kutokana na mchezo...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Tupieni no zenu hapa tuanzishe group letu la whatsup
0 Reactions
0 Replies
880 Views
Back
Top Bottom