kiwango cha pombe. Kama refa anayechezesha mpira wa leo kati ta Ashanti na Azam nilivyo mshuhudia akipiga viroba yeye na mwamuzi wa pembeni wa kike pale Kakonko Bar majimatitu. Punde namshudia...
Hawa jamaa wa Al-AHALY nimeanza kuwaogopa sana yani Al-ahaly waliwahi kufungwa goli 5-1 na Enyimba mjini Aba ila waliporudiana Al-ahaly walishinda 6-0.
kwa vile Ndala Fc wanaliwakilisha taifa...
NANI ABAKI?? NANI AONDOKE???
Kwa mujibu wa makubaliano ya TFF na vilabu vya soka nchini, kuanzia msimu wa 2014/2015 kila klabu itaruhusiwa kusajili wachezaji WATATU TU wa kigeni.
- SASA TUTAJIE...
Kutokana na mchakato wa kuboresha katiba ya timu ya Simba kuna taarifa kwamba moja ya mambo yatakayopelekwa kwa wanachama ni pendekezo la kubadilisha jina la timu hiyo kutoka SIMBA SC na kuwa...
Napenda kumpongeza mwenyekiti kwahili naamini watacheza kwa nguvu
ila nicingependa kukumbuka ya azim dewji unkoo kwa kutangaZA canter kilamachezaji huku kakamata wachezaji wake Wanne nakuwapa...
Kikosi kamili cha Stars kilichotajwa leo ni makipa Deogratius Munishi (Yanga), Ivo Mapunda (Simba) na Mwadini Ally (Azam). Mabeki wa pembeni ni Edward Charles (JKT Ruvu), Erasto Nyoni (Azam)...
The Captain is back, team pasi za chini, team soka la kisasa, team mpira wa kasi, kikosi cha leo kinachoanza dhidi ya Prisons ni
1. MWADINI
2. DAVID
3. ERASTO
4. MORADI
5. AGGREY
6. BOLOU
7...
Karibuni wadau wa mpira wa miguu, hii ni thread ambapo wana mpira tutakuwa tunakutana hapa na kuelezana mambo muhimu kuelekea Kombe la Dunia, hasa wakati huu zikiwa zimebaki siku chache kabla ya...
Kwa mujibu wa vyombo vya habar vya leo mwanasport limeandika Yanga imeandaa milioni 100 kuiuwa al ahly while wapinzani hap wameandaa bilion 1.3 kwa ajil ya mechi hiyo hii ni kwa mujibu wa Bingwa...
Wana jamvi huyu mwenyekiti wa klabu ya simba sports mimi nashindwa kumuelewa, juzi amepeleka rufaa Tff kupinga yanga wasimchezeshe Okwi hata kabla ya mechi wakati anaelewa kuwa aliye toa idhini...
hata kama hawa watu wanafungwa wanaonewa
wanazomewa na wanaonekana si chochote
wao watabaki kuwa JEMBE LA MAADUI TANZANIA
hawana mpinzani
wadau na wapenzi wa Mbeya City mwaonaje timu yetu
kwa...
Kenya to host CHAN in 2018: Country will use more than Sh500 million for a successful championship Updated Monday, February 24th 2014 at 18:09 GMT +3
Kenya will host the 2018 Africa Nations...
Nina uhakika Tff imeiingiza Yanga mjiini, walificha rufani ya sImba ili Okwi awe harali Yanga, ila kwa Fifa imekula kwao, najua wengi hamta nielewa ila baadae mtaelwa.
Kwa wahanga wa Aden Rage- Klabu cha Simba na wapiga kura jimbo la Tabora mjini.
Napenda niwaambie wasomali siyo watawala wazuri , fikiria rais wa Somalia anatawala Somalia lakini anaishi...
Mesut Ozil is childish, lacks confidence, leadership and mental strength
By Eurosport | Jan Molby – Thu, Feb 20, 2014 12:25 GMT
What struck me about the past two nights in Barcelona's...
Nini kimezisibu wodi za wazazi? Tumeacha kuzaa wachezaji wafurahishaji? Kama bado wanazaliwa wanapotelea wapi?
Sioni manjonjo kama ya Kanu. Yameadimika machenga kama ya Ronaldinho. Taabu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.