Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...
Mdau kama ungeambiwa chagua wachezaji wa soka unaowaona mahiri zaidi kutokea Tanzania ungewachagua akina nani? Mimi kwangu 1. Sunday Manara 2. Nico Njohole 3. Athumani Mambosasa
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Timu kadhaa zilizoshiriki Senior Challenge Cup huko Kenya, ikiwemo Zanzibar Heroes, zimekwama kwa siku kadhaa zikisota nchini humo hata baada ya kutolewa mashindanoni. Kutokana na sintofahamu...
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Wakuu naamini kabisa wengi wetu tuna tizama mpira kwa luninga na nizile channel za kwaida sasa embu jaribu HD channel nautaona tofauti yake...unacho hitaji ni decoder ya PVR
0 Reactions
16 Replies
4K Views
Straika wa Man U, Van Persie, kumisi mechi 8 za Mabingwa UEFA, kutocheza mwezi 1 baada ya kuumia J4, kocha wake D. Moyes asema leo alasiri.
0 Reactions
8 Replies
2K Views
WANACHAMA wa klabu ya Simba wanaompinga Mwenyekiti wa klabu hiyo, Ismail Aden Rage wataelekea mjini Dodoma Jumanne kwa ajili ya kuonana na Spika wa Bunge hilo, Anna Makinda kuelezea namna...
0 Reactions
29 Replies
3K Views
Kulingana na hali halisi iliyotokea katika mashindano haya ya CECAFA yanayoendelea, ninawashauri TFF na wapenda michezo wote wa Tanzania, tujitoe CECAFA na kujiunga COSAFA, sababu mnazifahamu...
0 Reactions
24 Replies
2K Views
The players wore special t-shirts ahead of the home clash with Liverpool following the announcement of the club’s new partnership with Tanzania, which sees the country become the ‘Official...
0 Reactions
30 Replies
3K Views
Nimemfuatilia kocha wa timu yetu ya taifa kwa muda naona Hana jipya.Malinzi muondoe haraka sana.
0 Reactions
14 Replies
1K Views
Habari zenu wana jamvi. Naomba mwenye kuweza kuweka mechi ya Ligi ya Mabingwa Ulaya iliyochezwa 23/4/2003 ktk uwanja wa Old Traford kati ya Man Utd na Real Madrid anisaidie. Nimejaribu kuitafuta...
0 Reactions
5 Replies
978 Views
Kocha wa Magolikipa SSC na mwanasoka mstaafu aliyehudumu kama golikipa wa timu kadhaa hapa nchini James Kisaka anahitaji msaada. Nimeona kwenye STAR TV anasumbuliwa na macho hawezi kuona anaeleza...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mechi imesimamishwa dakika ya 88, kumetokea vurugu jukwaani na polisi wametumia gesi ya machozi, wachezaji waondolewa uwanjani, mabao 1-1.
0 Reactions
20 Replies
3K Views
2013-12-12 07:50 Nairobi - The government will build five sports stadia across the country to bolster the chances of winning bids to host international sporting events. Kenyan Cabinet...
0 Reactions
1 Replies
837 Views
nimetafuta kujua shughuli zao kabla sijaona cjui wana uzoefu kiasi gani katika mambo ya Media.?hasa mpira..? mwenye website anipe link..
2 Reactions
21 Replies
3K Views
Hapa dogo kakosa mpira kaamua kutumia nazi kama mpira. Nimeambiwa umri wake ni mwaka1 na miezi 5 tuu! Lakini anapiga mashuti ya hatari!
1 Reactions
21 Replies
3K Views
Waungwana eti chanel gani ya kibongo itaonyesha mechi hii kali? Nijuzeni nisilale mapema wadau.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Droo ya mchujo kwa timu za Afrika, ni kama ifuatavyo: Ivory Coast Vs Senegal, Ethiopia Vs Nigeria, Tunisia Vs Cameroon, Ghana Vs Misri, na Burkina Fasso Vs Algeria
0 Reactions
5 Replies
1K Views
yamtungua bayern 3 kwa 2 huko huko germany
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Taifa Stars imefuzu kucheza Nusu fainali baada ya kuivurumisha Uganda, na mtu aliye teuliwa man of the Match ni Mbwana Samatta ana hojiwa na Ssport kwa kimombo akashindwa na kuomba kuhojiwa...
1 Reactions
161 Replies
15K Views
Aisei, ndo zawadi ya Kenya@50 ilikua lazima tushinde kwa vyovyote vile, nothing personal, haters najua hamtachelewa.
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Back
Top Bottom