1. LIVERPOOL is a child who is very proud
of the academic
achievements of his grandfather.
2. MANCHESTER UNITED is a boy
who just performs in the final exams and
tops the class.
3...
Shirikisho la soka la kimataifa FIFA litamtuma afisa wake anajeshughulikia wanachama bwana Primo Corvaro
kuja nchini pamoja na ujumbe wake ili kusikiliza pande zote zinazohusika na mgogoro wa...
Dakika chache zilizopita nikisikiliza kipindi cha michezo Radio One, nimesikia kituko cha mwaka. Ndani ya ardhi ya Zanzibar, mchezo wa Kick Boxing ni marufuku.
Waziri wa michezo wa Zanzibar...
Line kama kawaida huku tukiwa na support ya Abidal na kocha wetu akiwa uwanjani TITO Vilanova wote wakiwa wametoka ku recover cancer
Inajulikanaga kama kawaida tUkiwa uwanja wa nyumbani huwa...
Monday, April 8, 2013
WAKATI ikiwa imebaki michezo michache kuelekea mwishoni mwa msimu wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara 2012/13, wasimamizi wa ligi hiyo, Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) na...
Timu ya soka ya Bayern Munich ya Ujerumani,leo imetwaa rasmi kombe la ligi kuu ya nchi hiyo huku zikibaki mechi sita ligi hiyo kuhitimishwa. Hiyo inafuatia ushindi wa leo wa 1-0 dhidi ya Eintracht...
Siku moja baada ya shirikisho la soka nchini TFF kubadilisha ratiba ya baadhi ya mechi za ligi kuu ya Tanzania bara ili kuweza kufanikisha mpango wa kuonyesha mechi hizo kupitia kituo cha...
Rais wa kwanza wa Zanzibar na mmoja wa waasisi wa Tanzania marehemu Abeid Aman Karume (Mungu amrehemu) alipenda michezo na katika kudhihirisha hilo yasemekana ndio muwezeshaji wa jengo la klabu ya...
EXCLUSIVE: TAKUKURU YASHINDWA KUTHIBITISHA ERASTO, MORAD, DIDA NA AGGREY MORRIS KUPOKEA RUSHWA
TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) iliyokuwa ikifanya uchunguzi wake dhidi ya...
Mwenyekiti wa klabu ya simba Ndg Rage aliahidi wana msimbazi kuwa watajenga uwanja kwa ajili ya klabu ya simba,akasema kwamba Waturuki bdio watakaojenga uwanja na wakati huo walikua wakifanya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.