Naam kama kawaida yetu palguarana ni mwanzo mwisho kuweka historia this time tunaweka historia ya Crown ya La liga na UEFA,
Lazima ikumbukwe kuwa mechi iliyopita ndo ilikuwa fainali haswa kwetu...
Didier - anaamini kwamba klabu yake ya zamani ya Chelsea ni lazima imrejeshe kocha wake wa zamani Jose Mourinho mwisho wa msimu huu kama wanataka kumaliza matatizo ya kuyumba kwa klabu hiyo...
Scottish fans have written a song for Kenyan footballer Victor Wanyama who plays as a defensive midfielder or a centre back for Scottish Premier League side Celtic and the Kenya national team...
Jana,timu ya Chelsea iliitandika mabao 3-1 timu ya Rubin Kazan katika mchezo wa Europa League. Mabao ya Chelsea yamewekwa kimiani na Torres-2 na Victor Moses. Nayo Newcastle ilibamizwa mabao 3-1...
Kiungo anayeozea benchi Barcelona, Alex Song, yuko tayari kusikia ofa ya kurejea Arsenal mwisho wa msimu huu. Klabu hiyo ya London inasemekana kuanza pilika za kumrejesha. Inaaminika kwamba Song...
Tutakua pamoja leo katika janvi kukuletea update za uefa champions league live kati ya real madrid na galatasaray saa 3 na dakika 45 kwa saa za tanzania usikose ama kwa upande mwengine wa ustream...
Kiungo wa Barcelona, Eric Abidal (33) atakuwa "afisa mahusiano ya kimataifa" wa klabu hiyo atakapostaafu kucheza soka. Rais wa klabu hiyo Carles Vilarrubi amemuita Mfaransa huyo kuwa ni "nembo" ya...
SIMBA NA MALKIA WA NYUKI WAONYESHA UZI WA SUNDERLAND YA ULAYA WATAKAOUTUMIA JUMAPILI DHIDI YA LIBOLO
Mwenyekiti wa klabu hiyo, Alhaj Ismail Aden Rage (kulia), akizungumza na Waandishi...
Dar es Salaam. Wakati ujumbe wa Shirikisho la Soka Dunia (Fifa) ukitarajiwa kuja nchini Aprili 16, kufanya tathmini ya mchakato wa uchaguzi wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Mwenyekiti wa...
Leo saa 4;05 usiku kutakuwa na mechi nne za robo za kombe la Europe League,
Chelsea v Rubin Kazan
Tottenham v Fc Basel
Benfica v Newcastle
Fenerbahce v Lazio
Real Madrid ya Hispania inaikalibisha Galatasaray ya Uturuki katika robo fainali ya michuano ya Uefa Champion League.Kocha wa Real Madrid,Mreno Jose Mourinho anatafuta kuweka rekodi ya kuwa kocha...
The APPLEABILITYSTORELIMITEDS ®} .... We are The Ultimate Appleabilitystorelimiteds .... The Best Apple Leading supplier of high-end products to customers, we deal primarily in genuine and brand...
Kweli mgema ukimsifia tembo hulitia maji, yaonekana sasa mheshimiwa Shafi Dauda anaitumia radio kupata nafasi TFF kwa kufanya uzabizabina kuhusu StarTV kuonesha 'live' mechi (za ligi) zinazoihusu...
Mchezaji wa Barcelona ya Hispania,Lionel Messi ameweka rekodi kwenye ligi kuu Hispania kwa kufunga mfululizo mechi 19.Kwa maana hiyo amezifunga timu zote 19 zinazoshiriki ligi kuu,baada ya...
Ni baada ya mpira kuisha,mpira mmoja wa thimba thiportisi kilabu ukawa hauonekani.Katika tafuta tafuta,julio akaukuta mpira kwa mchezaji mmoja wa Toto(somebody like samuel suita). Alipotaka...
1)utajua kuwa man anacheza
2)utajua kuwa man u ni wenyeji
3)utajua kuwa man u watavaa jezi nyekundu
4)utajua kuwa nyimbo gani zitaimbwa sn
5)utakadiria idadi ya watu watakaoingia uwanjan...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.