Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...
Women race zimekwisha mshindi Jeptod, Kipligat ameshindwa kutetea ubingwa. Men race zinaendelea emmanuel Mutai anaongoza bado
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Yaani kichwa cha habari chaeleza mchezaji na timu ya ulaya wakati habari yenye ya Bongo tena huku kwetu Mbaaagalaaa, "uandisi" wa bongo bwana...
0 Reactions
18 Replies
21K Views
Leo tena michuano ya kombe la shirikisho - vijana wetu Azam FC wanashuka dimbani kucheza na FAR Rabat (Association des Forces Armées Royales Rabat) ya Morroco. Wapenzi na wadau wa mpira...
2 Reactions
222 Replies
15K Views
Here is the shy and retiring Premier League manager Paolo Di Canio during his low-key touchline celebrations. The Italian pulled manic Gangnam-style moves as his Sunderland team thrashed...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Kwa kweli wanasma adui wako muombee mema mi n mmoja wao kuwaombea azam washnde ila kwa mpira huu wa leo jaman loh awa waarabu atutoki;wachezaji wazito kama wamelala guest na mizigo usiku kucha...
0 Reactions
5 Replies
948 Views
Takriban mwezi wa pili sasa sikusikii ukirusha mashambulizi kwa wale unaodai wanawaingilia katika utendaji wenu wa kazi. Je umetishwa? Unanikumbusha wakati uleee wa Rage, alipiga kelele weee...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Sijaona mantiki ya TBC kuonesha mechi hiyo ya AZAM ambayo ni recorded wakati muda huo huo kituo cha Star Tv kikionesha mechi Live ya hao hao AZAM wakicheza na timu ya kigeni tena mechi ya...
0 Reactions
4 Replies
4K Views
iv fainal za mashindano ya kombe la mabara zipo kweli mwaka huu because ni kila baada ya miaka minne kwa kumbukumbu zangu mara ya mwisho kuchezwa ilikuwa june mwaka 2009 south africa.Ambapo...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kwa wana JF ambao ni mashabiki wa Dar Es Salaam Young africans Club msiwe na wasiwasi point tatu zilizobaki tunazichukua kwa mnyama! :msela:
1 Reactions
10 Replies
1K Views
PFA player of the year 1. Gareth Bale 2. Michael Carrick 3. Luis Suarez 4. Eden Hazard 5. Robin Van Persie PFA Young player of year award nominees 1. Eden Hazard 2. Gareth Bale 3...
0 Reactions
0 Replies
788 Views
Katika juhudi za mwisho mwisho kabisa za kuelekea kuchukua ndo La liga jana tena barca kama kawaida iliifunga zaragoza 3-0!!magoli hayo ambayo yalifungwa na Tello(2) na Thiago(1) .Mechi hiyo...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Rooney na Nani kuelekea PSG !
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Ligi yetu ya soka haina timu nyingi kama tunavoona nchi za wenzetu, sasa inakuwaje timu moja iwe imecheza mechi zaidi ya mbili kuliko timu nyingine? Majuzi kocha wa Toto African ya Mwanza...
0 Reactions
3 Replies
925 Views
habari wana Jf, kwa mtizamo wangu tu,ningependa mashabiki wa Yanga ambao ni Jf members siku ambayo tutangaza kutwaa uchampion wa ligi kuu ningeomba tuandae sehemu maalumu tukutane hapo ili...
5 Reactions
31 Replies
3K Views
The will to win means nothing without the will to prepare. Juma Ikangaa
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Labda mtueleze ni Ferguson/Wenger style lakini sasa yatosha kwa kumbadilisha kocha wa timu ya soka ya taifa. Kocha huyu hana jipya kwa sasa na tuachane na propaganda yake chovu kuwa kipa anapokuwa...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
wapenzi wa mieleka ya WWE,, kwakweli john cena amekwisha pili jamaa hajiamini. ananyanyaswa na the rock mpaka anatia huruma. tena jamaa hatumii silaha ni ubavu wake tu. john cena anajiandaa...
3 Reactions
27 Replies
6K Views
sitaisahau siku, bully ray alipochukua mkanda wa TNA champ kutoka kwa Jeff hardy. alimwambia brook: i screwed you' hulk hogan: i fooled you. iam a the presidents of Aces and Eights, and am the TNA...
0 Reactions
0 Replies
771 Views
Akiharibu na kwenye hii waumini wake hawatamuona Maracana WC2014: Ronaldinho keeps spot in Brazil team to face Chile - ESPN FC
0 Reactions
0 Replies
821 Views
Baada ya kuchezwa tangu mwanzoni,sasa zimebaki timu nne za soka kwenye Klabu Bingwa Barani Ulaya-UCL toka ligi kuu mbili tu barani humo:La Liga(Barcelona na Madrid) na Bundesliga(Bayern Munich na...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Back
Top Bottom