Inatia huruma kwa mtani kwa mwendo kama huu wa kubahatisha ushindi na kudundwa siPati picha kama ataweza chomoa kwa wanakishamapanda wanaoiaga ligikuu kwa vyovyote vile hawatakubali kufungwa na...
A group-by-group analysis of the 2014 World Cup qualifying competition in
Africa after the mini-league second round reached the halfway mark this
week.
GROUP A
South Africa were expected to...
Leo saa 5 usiku kwa saa za afrika mashariki mabingwa wa soka duniani na ulaya Spain watakuwa jijini Gijon ktk World cup qualifier vs Finland uwanja wa El Molinon,tarehe 26 machi Spain itakuwa...
Ukichunguza vizuri ratiba ya mechi za kuwania kufuzu kombe la dunia kwa bara la Afrika utabaini mambo mawili.Mosi,hatua ya makundi ndiyo ngumu zaidi hasa kwa kuwa ni timu moja tu ndiyo itafuzu...
Wadau poleni na mihangaiko ya kila siku. Mimi ni mdau wa karibu wa jamvini na spotrs kwa ujumla.kwa muda sasa nimekuwa ughaibuni na kipindi niko huku nimeanza mpango wa kufanya mazoezi ya viungo...
..Wanaojulikana kuwa waasi wa klabu ya Simba walijikusanya katka kikao chao kinachotafsiriwa kuwa cha harusi .... kwa watu wenye akili zao timamu wanakuwa na maswali mengi kutokana na mazimio...
nikiangalia ligi kuu za ulaya na latin america, sijaona mtu mweusi mwenye kiwango cha kumpita sammata. hata huyo demba Ba hajafikia kiwango cha samata. sasa tufanye nini watanznaia wenzangu ili...
Najua hili ni jukwaa la siasa lakini hatuna budi kuipongeza Taifa Stars kwa ushindi ilioupata dhidi ya timu ya taifa ya Morocco (Tanzania 3 - 1 Morocco).
Tukumbuke angalau huu ndo upande...
A moral boosting win for the Taifa stars keeps hopes of qualifying for the world cup alive. They sit second in the group just one point behind Ivory Coast. A man of the match performance from...
March 22, 2013
Dar-es-Salaam, Tanzania.
Mapokezi ya mwenyekiti wa Simba SC Aden Rage uwanja wa ndege DSM yageuka ulingo wa ngumi. Mwenyekiti wa klabu ya Simba SC alikuwa anarejea toka India kwa...
Hivi karibuni tumeona mechi zinazoihusu Azam FC zikioneshwa moja kwa moja na StarTV lakini ilipokuja mechi kati ya Azam na Yanga hatukuoneshwa moja kwa moja kwa nini?
Sasa huu ni mkataba au ni...
Nilikasirika sana kuona Tbc wanaonesha mechi ya staz na moroko kipindi cha kwanza tu tena dakika kumi za mwisho then wakachemsha na kusepa,wakatupeleka uwanja wa ndege kuwapokea wanyaji .Si bora...
Barcelona star Lionel Messi feels ''proud'' that Pope Francis is a fellow Argentine and wants to meet the newhead of the Roman Catholic church.
The world's top footballer spoke Thursday for the...
NAIPONGEZA SANA KLABU YA AZAM KWA JINSI ILIVYOJIJENGA KATIKA SURA YA KISOKA HAPA NCHINI NA KUVUMA AFRICA. KWA MWENDO INAOUONESHA KLABU HII, HAIKO Mbali sana na kuwika hapa africa kama ilivyo TP...
Timu ya taifa ya Tanzania,Taifa Stars hii leo imeendeleza rekodi yake nzuri kwenye uwanja wa nyumbani baada ya kuitandika kwa jumla ya mabao matatu kwa moja timu ya taifa ya Morocco ambayo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.