Wale washika bunduki wenzangu msihofu pengo la point 4 toka kwa totenham. Bado 2na kiporo, tukishnda inabak point moja ambayo naamin kwa game ngum walizonazo totenham kuanzia...
Tanzania haina mpangilio wowote kwente vipinndi wanavyorusha,haijulikani tv gani inashughulika na michezo tuu na ipi inashuhulikia habari nimchanganyiko tuu,yaani kipindi juu ya kipindi.Kwa mfano...
,,,,,kabisa utafahamu kua soka la bongo bado limejaa politics.ukifika uwanjani hauwezi kutofautisha kati ya timu yenye mwalimu mzungu na timu yenye mwalimu mzawa.hauwezi kufaham pia timu...
Simba SC ya Dar es Salaam leo imelazimisha sare ya ugenini baada ya kufungana bao 1 kwa 1 na Rhino Rangers FC ya Tabora. Mchezo huo ulipigwa katika dimba la Ali Hassan Mwinyi mjini Tabora. Simba...
Jumapili ya leo, tarehe 24 Machi 2013, Saa 9 Alasiri, Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
Timu ya taifa ya Tanzania Taifa Stars inashuku uwanjani kuivaa morocco Simba wa Atlas katika harakati za...
Harambee Stars hold African champions Nigeria
Kenya's Harambee Stars drew 1-1 with Nigeria's Super Eagles in 2014 World Cup qualifiers match that was played on Saturday in Nigeria.
Harambee...
Kenya break French resistance
Kenya's Willy Ambaka scores a try against New Zealand during the Hong Kong Rugby Sevens tournament on March 23, 2013. Photo/AFP NATION MEDIA GROUP
By CHARLES...
Ridhiwani kikwete ameteuliwa na mwenyekiti wa klabu ya Yanga Bwana Manji kuwa mwenyekiti wa kamati ya ujenzi ya klabu hiuyo. Pia amepewa mamlaka ya kuteua wajumbe atakao wahitaji katika kuongoza...
Thursday, March 21, 2013
Rais wa shirikisho la Soka nchini TFF,Leodgar Tenga (katikati) akisisitiza jambo wakati akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es salaam jana
Hatimaye mgogoro...
RAIS Jakaya Kikwete amezipiga kijembe klabu kongwe hapa nchini, Simba na Yanga, kutokuwa na maendeleo kisoka na kuiacha Azam FC, ikiwapiga kumbo kila idara huku wao wakiendekeza ushirikina...
Kenyan football fans took to social media on
Thursday to protest after reports that Harambee
Stars had received a less than warm welcome on
their arrival in Lagos ahead of Saturday's World
Cup...
Ushindi wa juzi (12/03/2013) wa Barcelona dhidi ya AC Milan wa 4-0, haukuwa wa kushangaza kwa wafuatiliaji wa mambo wengi, hasa kwa wakatoliki. Wengi waliuona ukija. Kwa nini?
1. Mwaka 1958...
Nmekua nikifuatilia kwa muda sasa uandishi wa huyu bibie hasa katika gazeti la mwanaspoti. Nashindwa kuelewa hivi huyu doris maliyaga hakuna habari yoyote ataandaa isiwe na maslahi na yanga. Au...
klabu yenye mafanikio na makombe meengi zaidi ya kimataifa hapa nalazimika kuitaja Klabu ya AC Milan yenye maskani yake katika Barabara ya Turati iliyopo Sansiro katika Wilaya ya Milan usiku wa...
Kumekucha na makucha yake. Nakumbuka benki ya CRBD ilishinda zabuni ya kuuza tiketi za mechi za timu ya taifa kupitia mfumo wa eletroniki. Mfumo ambao utahakikisha hakuna tiketi bandia au...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.