Tuliambiwa ndio mrithi wa Pele. Ila hajafika hata robo ya Ronaldo Lima au hata robo tatu ya Ronaldinho Gaucho. Kwa mnaojua hesabu za sehemu mnaelewa nani zaidi hapo. Ni wachezaji kama kina Dogo...
RAIS wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) amewataka wadau wa mchezo huo kuwa watulivu kwa vile tofauti zilizojitokeza kati ya Shirikisho na Serikali zitamalizwa kwa taratibu za mpira wa...
Barça is way ahead in the CL when it comes to possession (69%) and completed passes (84%)
Barça is also the clear leader in fair play with a total of 64 fouls committed, an average of only 8 per...
Ukitazama kwa ujumla mchakato wa uchaguzi wa Tff utagundua umejawa na kichefuchefu cha ukiukwaji wa kikatiba kwa muda mrefu. Ifahamike hiki ndicho walichopanda muda mrefu kwa kigezo cha...
Mchezaji wa zamani wa timu ya Nigeria, Nwankwo Kanu amepoteza kiasi cha Dola 104 milioni (Sh 166 bilioni za Tanzania) huku mmoja wa watendaji wakuu wa hotel yake akikamatwa na kufikishwa...
Dear Colleagues.Hi to you alljzeahbujaga@gmail.com
It is a responsibility of everyone of us for any true citizen to desire and take action up on a bad situation in our state. I have come to...
Hayo ni maneno mafupi na dhati niliyomwambia mmoja wa watoa thread hapa Jf aliyeapa kuhamia Yanga endapo leo simba tungefungwa na Coastal Union ya Tanga.
Nimesema hayo kwa sababu hadi leo sijui...
La Liga wrap: Messi breaks record in Barcelona win10 March 2013
Bet$5$10$20$50$100
Returns:
Barcelona
$6.50
Draw
$27.50
Milan
$45.00
Barcelona forward Lionel Messi broke a world...
Kana kwamba unaweza hisi sinema ya micheline vile
nilisema na nitasema huyu tenga sijui wanamsubiria nini jamani na kama
anatumia uchawi sie tunatumia nguvu za mungu na soon atangolewa hata kwa...
Fifa wameiandikia TFF azma yao kuiwekea kifungo Tanzania ikiwa 'amri' za serikali kwa TFF hazitafutwa. Nilishangaa kusikia redioni Amos Makala aking'aka kwamba Tenga ndie aliyewaambia FIFA...
Leo ile Made in Milan Brand inakuja kutia chumvi kwenye Kidonda walichochokonoa kina CR7,Ozil &co,
Mtu atapigwa kama amesimama..upo Gang Chomba?
Msikose mtanange huu.
Forza Milan!
Wadau,
Nimejaribu kufuatilia hili sakata la TFF, kati ya Wizara na TFF nimeona kuna mambo ya kujadili, ukimsikiliza Waziri anadai kua katiba mpya ya TFF imekiuka taratibu na kwa hiyo katiba hiyo...
Napenda kuirejea post yangu kuwa; SIMBA NI TAASISI, JE UNABISHA?
Ninapata ujasiri wa kuandika hivi kutokana na kile kilichojiri jana uwanja wa Taifa kati ya simba na costal union. Labda...
Viongozi wawili wa klabu ya Simba -- mmoja wa kuchaguliwa na mwingine wa kuteuliwa -- wamejiuzulu katikati ya wiki huku wakitoka sababu ambazo, tunaona Nipashe, ni za kupotosha.
Makamu mwenyekiti...
Ukitazama kwa ujumla mchakato wa uchaguzi wa Tff utagundua umejawa na kichefuchefu cha ukiukwaji wa kikatiba kwa muda mrefu. Ifahamike hiki ndicho walichopanda muda mrefu kwa kigezo cha...
AGIZO LAKE HALITEKELEZEKI -RAIS TENGA
SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF) limesema ipo haja kwa Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Dk. Fenella Mukangara kufikiria upya uamuzi wake wa...
Najiuliza na bado naendelea kujiuliza mh amos makalahivi huyu takataka mwingine mliempa
jina la msajili kwa nini anaendelea kuwa madarakani??
Kama mjuavyo sakata zima watanzania limeanzia kwenye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.