JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Nimetoka kule kidogo roho iache mwili kwa ghadhabu na kisebusebu, wengine wanasema kalishwa sumu wengine wanadai jamaa anajipendekeza... basi mkanganyiko mtupu!! Afadhali huku tunaulizana mambo...
0 Reactions
22 Replies
2K Views
wang'wise naliyomba gekeh hivi zile filamu 3 za kikombe cha babu,mara kikaja cha dogo,kisha cha bibi bado filamu hizi zinaendelea au?na kama zinaendelea zimefikia season ya ngapi???????
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Baada ya hotuba ya mkuu wa shule ya kiminyio kuwa ndefu ktk mahafali ya shule, mugabe akashikwa na usingizi! Aliposhtuka akakutana na sauti ya wanafunzi ikiimba"this is the time to say good...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
habari zenu jaman, hivi kazi ya makamu wa Rais ni ipi?? Maana naona jamaa kila kukicha anazindua mara shule,mara hospital mpaka baadhi ya wadau wanasema eti anatembea na mkasi mfukoni kwa ajili ya...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
wahenga walivyosema hujafa hujaumbika kwakweli hawajakosea!!!!nilikutana na demu niliyesoma nae primary kwakweli huyu msichana alikuwa mbaya!ila kwa sasa ni moto wa kuotea mbali,ngozi soft na...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Habar zanu wana jf..nimewamis cna kwa kweli Sa me apa naenda arusha kesho ntakuwa huko kwa miezi minne kikaz sa me apa nahiyaji wanajf wawe waliopo arusha wanipe kampani km huwa mnaonana iyakuwa...
0 Reactions
44 Replies
3K Views
Wana Jf naomba kujuzwa. Ni kitu gani kizuri kupita vitu vyote hapa duniani ambacho mwanadamu akikifanya hujisikia faraja zaidi? Mfano wengine usema kuwa ni usingizi, chakula, mazungumzo, tendo la...
0 Reactions
108 Replies
13K Views
Best Selling Bongo muvi Title: Amelishwa Hajalishwa Starring: H. G Mwakyembe, co-starring S. Sitta Kubwa la maadui: DCI Manumba Location: Dar es salaam and India
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Mume alimkuta Mkewe anaangalia kipindi cha Mapishi akamwambia mkewe Unapenda kuangalia Kipindi cha mapishi halafu kupika haujuwi. Mke akamjibu Mumewe we unavyoangalia picha za X mbona na ww...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Mimi Bata maarufu, Matope chakula changu, Nanijua ni mchafu, Taka nyumba yangu, Vipi we maarufu, Uwe rafiki yangu, Mimi ni Bata, Mzoefu wa kupata.... Anaendelea Tena Kama huniamini, uliza vijana...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Mume anamuliza mkewe: ww kutwa nzima unacheki kipindi cha mapishi itv kupika kwenyewe hujui... Mke akajibu: ww mbona ucku kucha unacheck movie za x kut*mba hujui, nimewahi kukuuliza ???
0 Reactions
12 Replies
2K Views
HAMISI TUMBUKA [25] Mkazi wa Kibamba, amekutwa amejinyonga kutokana na sababu za kimapenzi baada ya kukataliwa na mke wa mtu ambaye alikuwa akimpenda kupita kiasi Marehehemu huyo alikutwa...
0 Reactions
15 Replies
3K Views
Babu babu babuuuuuu Babu babuuuuuu Babu huyo babuuu.... Jamani babu yenu DC hajambo? Mbona kimya?
0 Reactions
40 Replies
3K Views
Mke na mume walikuwa wanatumia computer Moja. walikuwa hawajuani kumbe kila mmoja ni mwanachama wa JF na kila mmoja alikuwa anatuma threads zake ktk jukwaa la utani. Mke baada ya kutuma thread...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Bibi Asha Rose Migiro ndio chaguo no1 la wana ccm ktk kugombea urais 2015. Kama ikitokea hivyo ccm'imepeta. Maana tangu uhuru ni midume tuu,midume yenyewe yote mijizi,bora tujitoe muhanga kwa...
0 Reactions
16 Replies
1K Views
Nilikuwa napita tu hapa jamani, ila wanawake wa kenya ni noma jamani, mpaka vidume vimegoma kula makwao, swali je watakula kwa mama ntilie au kwa baba ntilie????
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Jamani waungwana hivi wa-tz tunavaa ma-t-shirts bila kujua maana za maneno yaliyoandikwa ama ni kuvaa tu bila kujua,hebu ona baadhi ya maneno ktk ma-tshirts ya vijana niliyokutana nayo :-...
0 Reactions
100 Replies
12K Views
  • Closed
Imenikera sana tena sana, juzi nimetoka na jamaa yangu tumezoea kupanda tax eti kanitembeza kwa mguu, hlf tulipofika akaagiza soda kumuuliza baby vp leo kaanza ooh! Unajua ATM yangu ina matatizo...
2 Reactions
89 Replies
6K Views
Asalam aleykum wanajamvi,naombeni mnipokee mwanajamvi mwenzenu baada ya kutoka kwenye kifungo cha wiki moja Kilichotokana na kumpa mtu za uso!! Pia naomba mdada mmoja hapa jamvini ajitokeze ile...
0 Reactions
29 Replies
2K Views
Mlevi alianguka kutoka ghorofa ya 3 mpaka chini. Watu wakaja wakipanic wakamwuliza 'nini mbaya?' akajibu...'hata sijui. Mi pia nimefika saa hii' Ulevi nooooma!:lol::lol:
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Back
Top Bottom