Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions
Asilia Natural Cosmetics tuna uzoefu wa zaidi ya miaka 5 katika kuendesha mafunzo kwa vitendo ya bidhaa za nyumbani. Na sasa tumekuja na formula rahisi ya kuwezesha uzalishaji wa sabuni ya kipande...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Jamani nimeomba mkopo kwa hawa watu wa Faidika microfinance ltd, lakini nashangaa toka nijaze mkataba ni kama Wiki ya tatu lakini bado hawajanipa pesa yangu kwa wazoefu mnisaidie mkopo wa hawa...
1 Reactions
25 Replies
12K Views
SAMIA SULUHU apania kuibadilisha Tanzania kuwa Mfadhili kupitia gharama za kijamii (Tozo) - (SSH turning Tanzania into a Donor Nation through Social costs). Na Galila Wabanhu. Kwanza watanzania...
0 Reactions
1 Replies
777 Views
Naomba kujua battery Bora kuliko zote na mpya n50 kati ya exide na atlas na zinapopatika ( Harrier old model 1999 cc) Bei pia zikoje?
0 Reactions
19 Replies
4K Views
Habari wana jukwaa. Naomba kufahamishwa utaratibu wa kufwata kununua/kujimilikisha mali ya serikali.kuna magari mabovu yapo kwenye ofisi za harimashauri nataka niyanunue kama chuma chakavu...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Ninahitaji kuanzisha biashara ya hii katika mkoa flani ila sina uzoefu hivyo ukinipa uzoefu wako utakuwa umeniboost sana pa kuanzia
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wakuu habari za kazi Nilikuwa naomba msaada wa kufahamu vigezo vipi na taratibu zipi zinahitajika ili kuanzisha kampuni ya plates numbers manufacturing kwa hapa Tanzania.
2 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari ya uzima wanajamvi? Natumaini wote tumejaliwa zawadi adhimu ya uhai na Mola yeye atuwezeshaye kufanya yote tuyafanyayo kila siku. Naomba niende moja kwa moja kwenye mada au jambo...
1 Reactions
32 Replies
6K Views
Jamani, mliofanakiwa kujiajir haswa kwenye maswala ya biashara mliwezaje? Mpaka mkafika hatua ya biashara kusimama, na kujiendesha yenyewe, na kufanya maendelea binasfi kupitia hiyo biashara...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
HABARI ZA WAKATI HUU WAKUU Naimani muwazima na bukheri wa afya. Nataka kuuliza ni wapi nitapata vinywaji vya jumla(pombe hususani). Haswa vinywaji kama local beers na hivi vikali. Kuachana na...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Wataalam wa madini hili ni jiwe gani
1 Reactions
0 Replies
659 Views
Tuna experience katika majitaka ya majumbani,viwandani n.k
0 Reactions
2 Replies
747 Views
KWANINI SAFARI YA RAIS SAMIA SULUHU HASSAN NEW YORK NI YA MUHIMU KIUCHUMI. BILA shaka aliposema “Ili ufike haraka nenda peke yako, ili ufike mbali nenda na wenzako,” alimaanisha. Rais Samia...
0 Reactions
2 Replies
978 Views
Habari wapendwa, Mimi ni mwanamke ambaye natafuta mshirika katika biashara ya mgahawa wa chakula na vinywaji, anaweza kuwa wa kike au kiume ila awe anajitambua na kuelewa maisha yanvyokwenda. Pia...
3 Reactions
14 Replies
2K Views
Part of the reason that CFDs are illegal in the U.S. is that they are an over-the-counter (OTC) product, which means that they don't pass through regulated exchanges. Using leverage also allows...
1 Reactions
16 Replies
1K Views
Natamani kuwa agent wa hizo kampuni, mwenye uelewa wakuuu
0 Reactions
17 Replies
10K Views
Wakuu, Jana nimekwenda kwa wakala kutoa hela ya mboga kidogo kama 400k ila nashangaa hadi leo hii sijapata SMS kwenye simu yangu kutoka NMB mkononi na nimejiunga toka kitambo na kila transaction...
1 Reactions
15 Replies
2K Views
Nina hitaji kujua Benki yenye mazingira Bora kwa ajili biashara hasa ndogo nahitaji kufungua account ya Biashara. Nazikwepa hizi Benki kubwa kama CRDB, NMB na NBC, maana hawa wana wateja wengi...
1 Reactions
29 Replies
10K Views
Hello Fellas "Life is a School.I have been driving for some times now,I have hard accidents and incidents but I never learnt one thing.All accidents and incidents are results of careless driving...
1 Reactions
0 Replies
632 Views
UTANGULIZI Matikiti maji ni tunda kubwa la mviringo ambalo linastawi vizuri katika maeneo ambayo ardhi yake aitwamishi maji kwa mda mrefu. Matikiti maji ni mojawapo ya jamii aina ya matunda au...
2 Reactions
1 Replies
7K Views
Back
Top Bottom