Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions
Salamu kwenu wadau. Ili kuanzisha Day care na pre unit school hapa Tz nahitajika Kua na vigezo gani? Natanguliza shukrani.
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Habari wakubwa naitwa steven ni kijana wa miaka 25 nipo Songea ni muhitimu wa fani ya welding and metal fabrication mwaka 2019 nia yangu natamani fungue na nisajiri kampuni yangu ya utengenezaji...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Title: Sustainable Fish Farming Program Description of my Solution I will develop and implement new gender-responsive knowledge and technology in improved breeds, fish health, aqua-feeds and...
0 Reactions
0 Replies
480 Views
Naomba watanzania muwe makini sana na kijana anaitwa Peter Kasanga aliyeko mkoani mwanza mwenye kampuni ya fx fire, anafanya biashara ya uwekezaji yaani unawekeza pesa na mwisho wa mwezi unalipwa...
5 Reactions
35 Replies
9K Views
Naambatanisha wala wa benki kuu wa tarehe 13.09 .2021 hapo chini
1 Reactions
1 Replies
615 Views
Baadhi za taasisi za technologia, kampuni za serikali na binafsi Wana uhaba wa mafundi nchuno wa kike( engineer wa kike). nin chanzo la ili tatizo. a)Elimu ya msingi na sekondali. b) Wanafunzi wa...
0 Reactions
0 Replies
393 Views
Jamani naulizia biashara ya kuchukua mchele kutoka nakonde kuleta dar inaweza ikahitaji mtaji wa shingapi make nataka nianze kufanya iyo biashara sa bado sina uzoefu naombeni ushauri wenu wakuu.
0 Reactions
2 Replies
968 Views
Wapendwa nahitaji kufanya biashara ya bidhaa nilizotaja hapo kwenye title huku mkoani kwa jumla na rejareja... Msaada ninaohitaji ni kupata supplier, nimejaribu kuzunguka kkoo lkn kila...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Mtanzania uliye Tanzania ukitaka kununua hisa za makampuni kwenye masoko ya hisa mfano Ulaya au Marekani, taratibu zake zikoje?
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Poleni na majukumu wana jamiiforum.. Ningependa kufahamu namna y a kufanya malipo kwa supplier wa kichina,maana anahitaji nifanye malipo wa pesa za kichina yani CNY na si usd . Na ananiuliza km...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Ni biashara gani naweza kuanzisha kwa mtaji wa sh. Million moja?
1 Reactions
2 Replies
722 Views
Habari zenu wana janvi.., Nilimaliza chuo mwaka 2009 na kuanza kutafuta kazi.., ilinichukua mda mrefu sana bila kupata kazi mpaka ikafikia hatua yakukata tamaa juu ya kuajiliwa. Maana nilipoteza...
36 Reactions
56 Replies
12K Views
Wakuu nahijitaji vifaa vya stationery kwa Bei ya jumla Kama ifuatavyo. 1.Realm paper 2 flat files 3.printer ink HP laser jet 83A na 85A 4. Endorsing ink 5.blue pen and red pen 6.Box files 7.rubber...
1 Reactions
0 Replies
4K Views
kupitia huu uzi tujuzane jinsi vindu mbalimbali vinavyoundwa. Unaweza kukiona kitu sokoni ukaona ni complex sana lakini kumbe utengenezaji wake siyo hata complex. tuelekezane kwa maelezo aua kwa...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Mimi si tajiri ila nataka kuwafundisha utu na ubinadamu matajiri walioko JF. Nataka kijana mwaminifu mmoja kutoka Jf nimwazime 50 na airejeshe baada ya mwezi mmoja au miwili ili nimwazime...
77 Reactions
566 Replies
85K Views
Heri wakuu. Poleeni na mihangaiko. Mimi ni kijana Mjiolojia na nina uzoefu wa uchimbaji mdogo wa madini ya Dhahabu na Vito vya Thamani yaani Gemstone. Ningependa tupeane ushauri na kama kuna...
14 Reactions
311 Replies
92K Views
Bila shaka mu salama wadau, kama ilivyo ada kwenye jukwaa letu pendwa la biashara huwa tunapeana taarifa kuhusu michongo mbali mbali ya kutukwamua kiuchumi. Basi; naomba tutumie uzi huu mahsusi...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
UZALISHAJI WA MAZAO KWENYE NYUMBA YA WAVU YAANI GREENHOUSE Kilimo cha nyumba ya wavu (greenhouse) kinaendelea kupata umaarufu nchini na ujenzi huu ambao hutumia plastiki au wavu umekuwa chaguo la...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
UZALISHAJI WA MAZAO KWENYE NYUMBA YA WAVU YAANI GREENHOUSE Kilimo cha nyumba ya wavu (greenhouse) kinaendelea kupata umaarufu nchini na ujenzi huu ambao hutumia plastiki au wavu umekuwa chaguo la...
0 Reactions
0 Replies
700 Views
Habari za wakati huu; Je wewe ni mmiliki wa biashara?kati ya hizi zifuatazo?Duka la Spear za Magari,Duka la Dawa,Duka la bidhaa anuai,Bar,Restaurant na Pub.Je biashara yako ina tawi zaidi ya...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom