Binafsi kama kijana wa R-chuga college graduate in IT baada ya kuona suala la ajira halieleweki nikaamua kujiajir kupitia mtaji wa kuunga unga na fani ambayo sio friendly kwangu yote hyo nipate...
Wakuu habari zenu, kutokana na uzoefu nilioupata kutokana na kupeleka watu machimbo ya maeneo ya biashara, nimeweza kugundua biashara nyingi za kawaida tu, zikiwa na faida nzuri tu, sasa nataka...
Habari zenu wakuu; kichwa cha habari cha jieleza. Hivyo basi kwa mwenye ideas anipe mwanga juu ya hii fursa at least mtaji, aina za rangi,faida,changamoto n.k
Ukikutana na hawa mabingwa mara nyingi wanavaa kitajiri, wameshika simu za kuanzia Milioni, gari angalau la kuthibitisha ukwasi wao.
Hupenda kukutana mahoteli ya kifahari.
Nimependa kujua...
Habari wakuu,
Natumai mmeunza vyema mwaka huu mpya. Nijikite kwenye mada yangu.
Mimi ni kijana ninaemaliza chuo mwaka huu 2021. Baada ya kuona changamoto ya ajira mtaani hasa kipindi kile cha...
Watumiaji wote wa simu aina ya Blackberry, pia simu za aina zote zenye android chini ya 5, iPhone 4, 5, na 6 pamoja na simu zote zilizotengenezwa kabla ya mwaka 2015 kuanzia kesho tar 1 January...
Wakuu habarini.
Kama kuna mtu anafahamiana na mtu ninayeweza kumwagiza perfume toka Zenji aniunganishe nae, naskia huko bei za uturi ziko chini.
Wasalaam...
Kuanza biashara ni jambo moja lakini kuiendesha isimame na kudumu ni jambo lingine tena linalohitaji kutuliza akili na kuwa na nidhamu sana katika biashara.
Zipo biashara ambazo huanzishwa na...
Nchi za Afrika zilizosaini mkataba wa African Continental Free Trade Area (AfCFTA) leo 1/1/2021 zinaanza kufanya Biashara bila vikwazo. Katika eneo la Afrika Mashariki ni Tanzania na Burundi...
Wadau nilipeleka gari kwenye gereji moja ..kurudi inapiga kwlele kama gari ya mashindano. Kumbe tayari wameshatoa ule unga kwenye vibuyu..
Nimetafuta maduka mengi spare haipatikani.
Mwenye kujua...
Wapinzani walikuwa wanachelewesha maendeleo
Mafuta ya alizeti lita 3 kutoka 8000 mpaka 15000
Lita 5 kutoka 12000
Mpaka 25000
Lita 20 kutoka 52000
Mpaka 77000
Tunasema mitano tena
Wadau naombeni ufafanuzi;
Nilichukua mkopo NMB takribani miezi sita iliyopita makubaliano yalikua kukata kiasi cha marejesho kila mwisho wa mwezi lakini cha ajabu wanakata pesa mara mbili kwa...
Najua watanzania wengi tunapenda kitonga(mteremko)
Hivyo ikitokea bidhaa kwa bei nafuu tunakimbilia huko
Naomba kuwasaidia kuwafunga macho kwa hawa matapeli wa mitandano
Ndg yangu ukiona kitu...
Habarini ndugu na marafiki. Namatumaini wote ni wazima wa Afya. Poleni sana na majukumu na mapambano dhidi ya janga la Korona. Leo nilipokea simu toka kwa Rafiki yangu akilalamika biashara imekuwa...
Wakuu umofia kwenu.Kuna jamaa yangu anataka kunipatia mashine za kufyatulia tofari,sasa sijawai fikiria hata siku moja kuja kufanya hii biashara,najua humu kuna wazoefu wa hii biashara naombeni...
Mkuu wa mkoa wa Dsm ametoa kauli ya kuyaponda magari aina ya IST kuwa ni magari wanayohongwa watu mitaani na yeye hawezi kuyatumia wala kumnunulia mtu magari aina hiyo.
Ukiichukulia juu juu kauli...
Habari wana Ndugu. Kama wewe ni mzazi au kijana kama mimi na unataka ukasome Veta, fani ya uchongaji wa vipuli vya magari au mashine. Futa kabisa ilo wazo maana ni kujiingiza kwenye umasikini, Hii...
Habari za jioni wakuu!
Mie kila nikitunza pesa ili nije ninunue kitu fulani ile pesa naishia kuitafuna kabla ya lengo husika, hata
Matatizo au shida huwa zinazidi mpka inanipelekea kuzitumia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.