Habari zenu wadau,
Ninaomba mwenye kuelewa biashara ya vinywaji baridi na vitafunwa (Snacks bar) anijuze inahitaji mtaji kiasi gani? Ukubwa wa biashara uwe ni wa wastani (inayoweza kuhumumia watu...
Salam kwenu wakuu. Nimekua nafatilia jinsi wasanii mbalimbali hapa nchini wakishindana video zao kupata viewers wengi na nimewahi kusikia pia hua MTANDAO wa youtube unawalipa watu wenye viewers...
Mambo vipi wadau. Natumai mko poa na mihangaiko.
Anyways moja kwa moja kwenye mada. Nilikuja hapa miezi iliopita kuomba ushauri jinsi ya ku deal na wakopaji maana walifikia kunifilisi kabisa...
Habari za jioni wanajamvi.
Ni mgeni humu,shida yangu natafuta thread iliyokuwa inatoa elimu ya kuingiza kipato Cha ziada mtandaoni mf.freelancing nk.
Naomba kuunganishwa na mtoa post.
Asanteni.
Naomba anayefahamu mchanganuo wa biashara ya ushonaji wa nguo anisaidie.nataka nione kama naweza kumsaidia mdogo wangu anaweza kushona nguo.sina uwezo mkubwa lakini jaribu kutumia mini quatations.
Nina kiasi cha pesa na nimekua njia panda nini nifanye cha kwanza ninunue kiwanja au nifanye biashara nikipata faida ndio nianze mipango ya kununua kiwanja maana kibaruani nimeachishwa.
Habari wana jamii forums
Kama ilivyo hapo juu ninataka kujua au kupata ufumbuzi.
Je, ni kwa namna gani unaweza kuinunua treni kutoka mabara ya America na kuweza kuifikisha hapa ilhali hakuna...
Habari zenu wadau.
Mimi nahitaji kufanya biashara ya simu pamoja na ear phones, cover za simu, chaja za simu.
Naomba ushaur wa hii biashara wapi naweza kupata hizi bidhaa kwa bei ya jumla, pia na...
Habari za majukumu wadau wa jikuwaa la biashara. Ninampango wa kununua bajaji afu niendeshe mwenyewe. Je ni changamoto zipi hujitokeza katika biashara hii endapo unaiendesha mwenyewe?
Habari za siku wana JF,
Kama kichwa kinavyosema hapo juu, nilikuwa nahitaji mnijuze ni shughuli gani naweza kuifanya ili niweze kuingiza sh.10,000 tu kwa siku na sio pungufu either kwa kujiajiri...
Habari za majukumu ndugu zangu,
Nina wazo la kukopa bank kiasi cha pesa Million 100 kwa ajili kununua mitsubishi canter 2 zenye uwezo wa kubeba tani 3.5 kwa ajili ya biashara ya usafirishaji...
Kwa mujibu wa TCRA idadi ya watu wanaotumia mitandao ya kijamii nchini Tanzania imezidi kutoka Million 26 mwaka 2015 mpaka kufikia Million 27 mwaka huu 2020. Sasa basi ni rasmi sekta ya...
Habari wakuu,mi ni mfanyabiashara mdogo kariakoo natumia kitambulisho cha mfanyabiashara.
Biashara yangu ina wateja wengi kiasi kwamba mzgo naokuwa nao hautoshi nimefikiria kwenda kukopa bank...
Nmekua na idea ya kufanya biashara ya bidhaa mbalimbali kutoka china ila sielewi jinsi ya kuagiza bidhaa hizi..wakuu kwa yeyote anayeelewa naomba anifahamishe
Habarini, naomba mwenye kufahamu bei ya Pikipiki za SanLG ikiwa mpya anifahamishe.
Nahitaji bei kwa Kahama au Mwanza ili iwe rahisi kwangu kufika huko kutokea kijijini kwetu
MY FAVORITE CHECKLIST
________________________________
1. ON EARNING:
Never depend on single income. Make investment to
create a second chance.
_________________________________
2. ON SPENDING...
Wahindi bado nitaendelea kuwakubali kwa kuandaa watoto wao mapema sana, Wahindi watoto wao huwa hawasumbui sana kuhusu kazi kwa sababu tajwa hapo juu.
Wahindi kwenye kuandaa watoto wao huwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.