Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions
Habari za wakati huu; Moja kati ya ya changamoto zinazowakaili wajasiriamali wengi huwa zinasababishwa na kutokuelewa hasa msingi wa muundo wa biashara yao(Business Model) Wengine huanza biashara...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Ni watu wachache sana ambao wanataka kufanya kazi mjini, kwa kuogopa kua eti vijijini mtu anachafuka, Ingawa ukweli ni kwamba kwa mtu ambaye anapenda kilimo ni rahisi sana kukaa vijijini zaidi...
1 Reactions
7 Replies
832 Views
Wakuu Nahitaji Kuanza biashara ya Ku print T shirt ila kwa bahat mbaya bado sijajua sehemu wanapouza T shirt plain Zenye bei nafuu ambazo nikiprint Zitaweza kunipa faida...so nilikua naomba kujua...
2 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari wanajukwaa, Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, naomba kufahamishwa nihatua zipi natakiwa nifuate ili nifungue ofisi ya bima mabalimbali, za magari na pikipiki, pamoja na bajaji. Ofisi...
1 Reactions
0 Replies
2K Views
Kwa kweli nimekua mtumiaji wa huduma yao ya mobile banking tangu ianzishwe...tatizo kubwa ni DELAY...hela ikiamishwa kutoka kwenye akaunt yangu kuja labda mpesa itakaa weee hadi usahau...wakat huo...
0 Reactions
18 Replies
15K Views
Just in case you didn’t know, under the international law, airspace is a natural resource which belongs to countries just like land, water, minerals, forests, et cetera. In other words, a big...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Kwa mujibu wa ripoti iliyotolewa na taasisi ya AfrAsia Africa Wealth Report 2019 , Imeyataja majiji 10 tajiri zaidi barani Afrika. Lagos, Nigeria Kwenye orodha hiyo ambayo imetawaliwa na majiji...
2 Reactions
7 Replies
4K Views
Kweli ukibweteka wenzako wapo mbali.visa vingi ambavo marekani kushutumu nchi ya china kwa teknolojia zake. China kwa sasa ndio mwenye hatua kubwa katika teknolojia ya mawasiliano .mfano...
1 Reactions
6 Replies
945 Views
1. Kununua Mashine za kukoroga zege na kukodisha. 2. Kununua Mashine za kukata vyuma na kuzikodisha. 3. Kutengeneza na kuuza tofali 4. Ufundi, Website updating/Database: Katika Halmashauri...
12 Reactions
31 Replies
73K Views
Wazo la biashara ya MAZAO na MIFUGO Niende moja kwa moja katika mada, nimekuwa nikifuatilia kwa muda mrefu masuala ya mazao na mifugo na katika hayo nimepata taarifa muhimu sana na nikaona nisiwe...
3 Reactions
3 Replies
3K Views
Habari wakuu mimi ni mjasiliamari nashida ya kujuwa viwanda/kiwanda kinachotengeneza turubai na kiwanda kinachotengeneza gumboots na yemboyebo.
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Heshima kwenu wakuu. Serikali ya Rwanda imesitisha mishahara kwa watumishi wake. Hii iliniwashia alarm toka tu mapema kama miezi 2 nyuma. Kwamba pengine sisi hapa ikatokea kama rwanda. Akili...
0 Reactions
63 Replies
6K Views
Naombeni msaada kuhusu kampuni ya uwekezaji ya NICOL Ni kweli imekuwa ya 2 Tanzania kwenye soko la hisa?
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari za wakati huu; Wengi huwa wananiuliza kwa nini huwa napenda kumwambia mtu aje PM pale anapohitaji ushauri wa kibiashara na uwekezaji.Ni kwa sababu hakuna solution ambayo inawatosha watu...
1 Reactions
2 Replies
976 Views
Natumai muwazima wanaJf, Naomba kujua jinsi ya kutumia mzani wa digital. Mzani una-menu ambayo inaonesha unarahisisha hadi hesabu ya bei kulingana na uzito. Display yake inaonesha namba na...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
04/12/2017 By Pascal Mayalla Trademark East Africa launches women and trade drive Nairobi, December 04th, 2017: Trademark East Africa (TMEA) has today launched a women and trade...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Habarini wana Jf nimeamua kuanzisha uzi huu ili kuweza kupata uelewa zaidi kutoka kwa wale member ambao wamesha jaribu kufanya shughuli hii na wale ambao bado/wanaendelea kufanya mpaka sasa KAMA...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari za sa hizi ndugu zangu.Nilikuwa nauliza hivi ni bank gani nzuri kufungua akaunti ya kampuni?vNi vyema anaejua akanipa na sababu pia [emoji120]
0 Reactions
9 Replies
5K Views
Mwenye uzoefu na biashara ya korosho, naomba anijuze .. Kununua na kuuza, korosho
1 Reactions
9 Replies
5K Views
Helow wanagrupu Mambo vipi, Leo Niko na Hili ,, je vijora hupendwa nje ya Dar es Salaam? Niko katika research. Naombeni ushauri wenu.. Nina malengo ya kufanya biashara hii mkoani Picha kutoka fb
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Back
Top Bottom