Kwa wale wajasiriaardhi inatakiwa kujua hii mamboi ili kuepuka kuibiwa.
ekari moja ni sawa na eneo lenye ukubwa wa mita za mraba elfu nne (4000m2) mfano.viwanja vingi vya mpira huwa na urefu wa...
Habari wakuu!!
Mimi ni member wa NBAA nilijisajili mwaka 2011 wakati ule tunafanya module e na f sikufanikiwa kumaliza nikawa nimepiga masters toka kipindi hicho hadi sasa sijawahi fanya tena iyo...
Habari. Jina langu ni Daniel. Ni mtaalamu wa lugha ya Kiingereza. Nafundisha Kiingereza Cha kuongea na kwa muda mfupi tu ukijiunga na kozi yangu utajua Kiingereza vizuri. Nakufata popote ulipo kwa...
Kipindi kile ukipata wastani wa 81 Na kuendelea Kwenye masomo yote unasoma bure ila iyo mitihani ugumu wake na usahihishaji ulivyo Strict wacha kabisa, mnamkumbuka Laurent shilingi aliyesemekana...
Wakuu habarini za majukumu? Ndio muda muafaka wa Mimi kuanza kusoma master degree ili niweze kuingia cheo Cha principal 2 . Nimechukua maamuzi haya baada ya kukamilisha ndoto zangu nilizopanga...
Poleni na majukumu Wakuu,hoja muhimu ni kwamba Imekaaje chuo Chuo kikubwa nchini kam UDOM kukosa kozi tajwa hapo juu ,ikizingatiwa ni chuo chenye uwezo wa kubeba wanafunzi wengi Tanzania.Kwanini...
Elimu nchini Tanzania hutolewa na sekta zote mbili, yaani, sekta za serikali na binafsi. Muundo wake kiujumla ni kama ifuatavyo:[
👉Miaka 2 au 1 elimu ya vidudu/cheke-chea hutolewa kwa wanafunzi...
Sometimes kumbukizi za zamani zinafurahisha!
Nakumbuka hadithi tamu nilizosoma nyakati zile!
Moja ya ambazo sizisahau ni story ya Ali!
Ali ni mtoto mtundu
Alisikia kwamba, ukifuata nyuki utakula...
Habari zenu wadau wa Elimu, naomba msaada kuelimishwa/kueleweshwa kuhusu upangaji wa DIVISION baada ya kufanya mitihani ya NECTA O'level (form IV)
Natambua ni lazima ufanye masomo saba ili uweze...
Habari zenu wakuu,
Nilikuwa naomba msaada kwa anayeelewa Degree ya Metrology and Standardization sehemu atazoweza kufany kazi pamoja na basic salary yake.
Habari wadau wa JF?
UDSM ina hostels Ubungo karibu na Mic hotel au Ubungo bus terminal ambazo ni kwa ajili ya Masters na PhD students.
Naomba kuuliza utaratibu iwapo mwanafunzi wa Masters...
Habari wapendwa,
Nilikuwa naomba kuuliza kwa credit za masomo haya naweza kusoma course gani chuo kwa ngazi ya diploma?
KISW - D
ENG - C
GEO - D
CIV - D
CHEMI - D
PHY - F
BIO - C
MATH - F...
𝗨𝗴𝗼𝗻𝗷𝘄𝗮 𝘄𝗮 𝗸𝘂𝗽𝗲𝗻𝗱𝗮 𝗦𝗶𝗺𝘂
Karibu asilimia 52% ya Watumiaji wa simu za mkononi (smartphone + Simu za kawaida) Wameathilika na ugonjwa wa kupenda sana Simu. Najua wewe ni mmoja wapo ?
Najua akuna...
Jamani Bodi ya mkopo wa Elimu ya juu mbona mnaweka vigezo vya kunyanyasa/ kuwakandamiza wanafunzi waliopitia mfumo wa Diploma? Kunufaika na hizo pesa ambazo baadae wanazirudisha.
Hicho kipengele...
Habari za muda huu wapendwa!
Hii kozi ya Biotechnology and Laboratory sciences ni nzuri? kama ndio je mhitimu anakuwa expert wa field gani? na huwa inatumika wapi sana sana?
Naombeni...
Kwa nini hakuna Combination ya ECA kwenye special school za shule za wasichana?. Kwa kweli inakera na inakatisha tamaa kwa wanafunzi na wazazi. mtoto kapata div.1.7 akiwa na AAA kwenye hesabu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.