Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
MREJESHO: Nimefanikiwa kusaidiwa kupata field wakuu, mungu awabariki wote mliotoa mchango wenu wa kimawazo katikabuzi huu. 🙏 Wakuu habari za wakati huu, Wakuu habari za wakati huu, Nakuja...
7 Reactions
76 Replies
4K Views
Kupitia ule muongozo wa walimu kujitolea je kuna mwalimu aliyefanikiwa kujitolea kwa muongozo uliotoka kuna mwalimu anataka ajitolee anataka utaratibu
1 Reactions
4 Replies
881 Views
Wazima wana JF, Kama nilivyoeleza kwenye kichwa cha habari hapo juu. Nina umri wa miaka 31. Nilimaliza shule ya msingi miaka 18 iliyopita sikufanikiwa kuchaguliwa kujiunga na masomo ya...
3 Reactions
21 Replies
4K Views
Habari za muda huu, Bila kupoteza muda nimekuja kijana wenu kuwaomba msaada namna gani naweza kuandika field trip report, vitu muhimu vya kuzingatia na n. k. Nimetembelea ufugaji wa jongoo...
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Habari wanajukwaa la Elimu Napenda Kuwauunganisha Form 6 leavers na Diploma holder Katika Utambuzi Yakinifu wa kozi za kuchagua ktk level ya degree Aina ya kozi nzuri ya KUSOMA kutokana na...
5 Reactions
114 Replies
49K Views
Kama kichwa cha habari kinavyo jieleza, Naomba kwa mwenye Soft copy ya Iyo Guide book wakuu. Nimeingia Kwenye Page Ya TCU nimeona Tangazo kua ilikwisha tolewa from June 9, ila Nimeshindwa kupata...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Yani matokeo huwa yanawahi kwa muda gani na VIP husahihishaji wa masomo ya geography na economics wapendwa
2 Reactions
37 Replies
4K Views
Habari ninaomba kujua pia. Je, mikopo iliyotangazwa na serikali katika vyuo vya kati imeshaanza kutolewa? Maana kuna wengine tulishindwa kuanza masomo kwasababu ya kukosa ada kwa hiyo nategemea...
3 Reactions
17 Replies
9K Views
https://monscareers.com/necta/
1 Reactions
1 Replies
3K Views
Nauliza kuhusu wanafunzi waliochaguliwa kwenda chuo cha ualimu Korogwe niko hapa mmoja kati yenu. Mawasiliano: 0783671666
2 Reactions
12 Replies
2K Views
Form 4 & 6nimemaliza mwaka 2015 &18 respectively umri ni 26. Hawa jamaa wamekosa vigezo vyote vya kunizuia wakatafuta hata ambavyo havipo kwenye vigezo vyao wenyewe. Hii sababu haikuwepo na haipo...
1 Reactions
14 Replies
846 Views
Zipi ni sababu kuu za mwanafunzi kusinzia darasani. Na ni Kwa namna ipi mwanafunzi anaweza kuepuka Hilo?
2 Reactions
14 Replies
1K Views
Ndugu zangu nimekuja hapa kuomba msaada wenu wa haraka. Imebaki wiki mbili wanafunzi wa kidato cha tano wa Report lkn nimepata kesi ya dogo mmoja hapa anahitaji msaada wa haraka maana ni kama...
0 Reactions
0 Replies
989 Views
Kwa matokeo ya A level III G/STUDIES - 'S' GEOGR - 'D' ADV/MATHS - 'E' ECONOMICS - 'E' Anaweza kusomea diploma ya LABORATORY SCIENCE AND TECHNOLOGY Au kwa jinsi mnavyoona nimsomeshe nini...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Jamani kwa wale wazoefu,je mwalimu mwenye degree ya elimu anaweza kupata cheti Cha ustawi wa jamii ili afundishe shule yake ya chekechea?? Maana wakaguzi huwa wanavihitaji wakati wa ukaguzi. Je...
0 Reactions
0 Replies
728 Views
Salaam Ndugu zangu! VITABU vya History vya Mwl. Bakari Madaya ndivyo vinavyoweza kujibu maswali yote ya NECTA bila kuacha swali hata Moja. Ni VITABU hivyo tu ndivyo vyenye content zote zilizopo...
1 Reactions
4 Replies
4K Views
Hello, I’m observing the trends of some O-level graduates ditching A-level selections for NACTVET. Some have 9 A’s. What went wrong in A-level ? Shouldn’t the MoE scrap A-level subjects or...
3 Reactions
9 Replies
1K Views
Effective Communication Skills Growing better communication habits for the future means practicing effective communication skills and being a powerful communicator. But what are the examples of...
3 Reactions
0 Replies
416 Views
Enyi Watanzania hadi lini mtadharau walimu? Walimu Hawa wanao fundisha watoto wenu Kila siku mnawaona kama maskini, roho yangu inauma sana. Hii dhambi ya baadhi ya wapumbavu na wajinga kudharau...
3 Reactions
24 Replies
1K Views
Wakuu heshima kwenu. Hali ya ajira imekuwa ngumu baada ya kukaa mtaani na fani yangu ya Bachelor of human resource bila ajira nimeona nijiongeze nifundishe ata kingereza tuition angalao mkono...
-1 Reactions
18 Replies
989 Views
Back
Top Bottom