Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Mimi naishi Mwanza, na ni mwanafunzi niliye maliza kidato cha nne mwaka Jana na nimebahatika kuchaguliwa kwenda A-level (Bwiru Boys Secondary School) katika mchepuo wa PCM. Nilikuwa naomba kujua...
8 Reactions
68 Replies
4K Views
Wadau mimi nilikua nauliza ukisomea combi ya Hgl huko mbele kuna fursa kama zipi?
2 Reactions
21 Replies
2K Views
Wadau naomba mwenye uelewa juu ya sifa zinazotakiwa ili kujiunga na chuo kikuu huria Tanzania kwa shahada ya kwanza katika elimu(first degree in education).na pia sifa za stashahada(Diploma) ya...
1 Reactions
145 Replies
98K Views
Habari! Mimi nimemalza Diploma ya science and Laboratory Technology, natamani kwenda kusoma bachelor of science in chemistry MUST au nsome ualimu wa physics na chemistry MUM? Naombeni ushauri wenu.
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Habari wana Jf, nawasalimu kwa jina la JAMUHURI. Nisipoteze muda ngoja niende kwenye mada yangu wakuu Mimi ni kijana wa kitanzania naishi Mwanza nilibahatika kumaliza masomo ya kidato cha nne...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari zenu wanajukwaa hili? Bila shaka hamjambo? Aise naomba niende straight kwenye point mimi ni kijana wa kiume mkazi wa Shinyanga. Nilimaliza kidato cha nne mwaka jana na kwa bahati nzuri...
1 Reactions
21 Replies
3K Views
SERA MPYA YA KUSIMAMIA AJIRA YA WALIMU IFIKAPO SEPTEMBA 2023 Wasalaamu wapendwa, natumaini tuwazima wa afya! Nimesikia chama cha Walimu kimepinga vikali. Mimi nadhani kuna mambo tunachanganya...
1 Reactions
9 Replies
3K Views
Nilisoma HGE nina B-history C-Geography na D-Economics E-Bam. Wale wazoefu na soko la ajira na muelekeo naomba mnishauri Degree gan ni nzuri kusoma chuo
2 Reactions
17 Replies
9K Views
Naombe munieleweshe kuhusu hiya kozi sina idea nayo ila nmepata hiv Geo C kisw C bio C hist C eng D phy D chem D civ D math F Naomba ushauri niende kozi ya Human Resource Management au...
1 Reactions
12 Replies
3K Views
Nilitaka nisome PCB, leo wamenichagua HKL, nawezaje kubadili hiyo kitu. Siitaki katu
2 Reactions
28 Replies
3K Views
Naomba anayejua utaratibu wa kumuhamisha mwanafunzi aliyechaguliwa kuingia kidato cha tano PCM katika shule za bweni za serikali kutoka (mikoani) kumpeleka shule ya kutwa (day) hapa Dar es Salaam.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Haki ya kupata Elimu ni ya msingi kwa kila Mtu na inatambuliwa na Mikataba ya Kimataifa ya #HakiZaBinadamu. Haki hii inahakikisha kuwa kila mtu ana fursa sawa ya kupata elimu bila ubaguzi wa aina...
0 Reactions
0 Replies
776 Views
Mwanangu kasoma masomo ya sayansi na yote kafaulu kapata c 3 ya math, phizikia, kemia na biolojia kapata B lengo alitaka kuwa injinia au daktari Sasa wamemchagua hkl nifanyeje wakuu maana analia...
4 Reactions
58 Replies
3K Views
Habari wananzengo! Naomba kujua kwa Arusha mjini je, ni vyuo gani vinatoa kozi ya records management na Human resources pamoja au Public Relation? Msaada tafadhali.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari wakuu...?? Kama kichwa kinavyosomeka ningependa kupata msaada wa kujuzwa kuhusu Mambo yafuatayo:- 1. Je Kuna kozi za postgraduate degree na Kama jibu ni yes zipi sifa za kujiunga nazo na...
1 Reactions
9 Replies
4K Views
Samahani Wana jf, Naomba mnisaidie vitabu vyakusoma katika utafiti wangu unaohusu Ukoloni na Ukoloni Mambo Leo na jinsi yakujinasua katika minyororo hiyo kwa maendeleo ya Africa. Asanteni
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Haya matokeo ndiyo hayo yametoka!! Kila kitu hadharani, sasa ukiwa hapa JF ndo mpango nzima!! Manake watu washaanza kuhoji, mi nina hiki au kile nitafanyaje, haya ngoja nitajaribu kuweka mwongozo...
77 Reactions
1K Replies
469K Views
Habari wakuu! Nimeona majadiliano mengi kuhusiana na maamuzi ya necta kutofanya Ranking!! Mm kwa utafiti wangu nitumie nafasi hii kuwapongeza necta kwa maamuzi haya! Kimsingi hayawezi...
3 Reactions
6 Replies
715 Views
Habari! Mmi ni mfamasia mzalendo niulizeni maswali yyte kuhusu pharmacy ,mfamasia na dawa Aksanteni
2 Reactions
48 Replies
12K Views
Ndugu zangu mwenye join instructions za kujiunga kidato cha tano shule ya sekondari MASONYA iliyopo RUVUMA anisaidie tafadhali. Nimetazama kwenye website ya wizara hakuna info yoyote. with much...
2 Reactions
2 Replies
1K Views
Back
Top Bottom